Katuuzia K-Vant feki kisha katutisha. Hakika mwenye pesa mpishe apite!


Hapa mwenyewe unaona kama umeandika kichekesho au umeonesha ni mjanja. Kumbe fala bwege, mshamba na umeonesha huna akili. Kubwa jinga.
 
Baada ya kunywa konyagi fake na smart gin nikaamua kustaafu rasmi pombe kali zote na badaye zote.
 
Ni muda wa kustaafu pombe sasa.
 
Mi nafurahi kusikia taarifa kama hizi.. ulevi ni laana
 
Bora ninywe pombe amabzo si popular kama value,hanschoice
 
Kwa hiyo jamaa ana nguvu kuliko polisi? ☹️
 
Tan,ania inamilikiwa na wenye misuli
 
Hapa mwenyewe unaona kama umeandika kichekesho au umeonesha ni mjanja. Kumbe fala bwege, mshamba na umeonesha huna akili. Kubwa jinga.
Sawa kima msengeπŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ¦
 
Sawa kima msengeπŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ¦
Nashukuru sana ndugu. Hayo maneno anayeyasema ndiyo yaliyokujaa. hayana athari kwangu hata kidogo. Nakuonea tu huruma maisha uliyochagua kuishi.
 
Nashukuru sana ndugu. Hayo maneno anayeyasema ndiyo yaliyokujaa. hayana athari kwangu hata kidogo. Nakuonea tu huruma maisha uliyochagua kuishi.
Usianze kutoka watu km huwezi kuvumilia matusi.
By the way hapa tunachangamsha baraza tu.
Sasa ukitukana unatukanwa.
We call a spade,Spade no blah blah
 
Nilikuwa napenda sana konyagi,eti nayo siku hz ina feki yake tena ile ladha yake ya ukali ya miwa hata huisikii,sahv inabid niwe nakunywa bia tu
Kabisaa mkuu...kuna sehemu nlikaa juz nikawa napiga size ya kati...jamaa kaja nae alikuwa anaichukua hapo hapo kweny pombe shop...Sasa kwny simu ana ile scanner ya kuscan codes zile...Cha ajabu hazikusoma hata moja...tangia hyo siku nmeacha kunywa nyag..acha nihamie kweny captain Morgan kwa muda
 
Usianze kutoka watu km huwezi kuvumilia matusi.
By the way hapa tunachangamsha baraza tu.
Sasa ukitukana unatukanwa.
We call a spade,Spade no blah blah

No. Mi sina tatizo kabisa mtu anapodhani ananitukana hanitukani. Huwa napenda tu kujua wazazi wa mtu walikosea au patia wapi. Then nasema anhaaaah... Kumbe huyu kaharibikiwa kwa upande huu. Sisi kwetu hatukuwa hata tuna fahamu maana ya hilo neno. Ndo imebidi niulize kwa mtu maana yake nini. Akanielezea. Nikasema "ooooh ndo mazingira yaliyomkuza huyu dogo." Maana kimtokacho mtu ndicho kiujazacho moyo wake.

Sisi kwetu kuna terms tunatumia. Ubarikiwe, very good, shukrani, samahani, usifanye kitu cha kijinga etc(maana ni werevu) hilo ndo neno kubwa kumuonya mtu.

So mimi huwa sikasirishwi kabisa najifunza tu madogo wa siku hizi wamelelewaje? Mitaa gani, waZazi wao walikuwa watu wa namna gani? Wana stress kiasi gani? Umaskini umewaathiri vipi bongo na akili zao? Wana makasiriko kiasi gani? Athari za ugumu wa maisha? Ndo najifunza kwao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…