Katuuzia K-Vant feki kisha katutisha. Hakika mwenye pesa mpishe apite!

Nafikiria nguvu nyingi ielekezwe kwenye kuboresha na kuhamasishana matumizi ya uhakiki kwa barcode!
Vita hii mlaji anatakiwa kuwa aggressive kuliko hata mwenye kiwanda og.
 
Ni sawa pia, na mi sio dogo aisee nimekuacha parefu sana.
 
Iv inawezekana kunywa pombe kali ya aina yoyote ukabaki salama? Value, Kvant sijui nini, Hiyo original haiumizi maini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…