Kauli 10 zenye changamoto kwa Tanzania

Kauli 10 zenye changamoto kwa Tanzania

by default

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2011
Posts
839
Reaction score
215
Top 10 ya kauli zenye changamoto.
1. Hata nyasi mtakula, ndege ya rais lazma inunuliwe- Mramba
2. Foleni Dar ni ishara ya maisha bora - JK
3. Acheni wivu wa kike - Msekwa
4. Asiyeweza kulipa nauli apige mbizi - Magufuli
5. Baada ya ku2mia helikopta ya Jeshi kwenda nayo Urambo mlitaka nipande PUNDA - Kapuya
6. Wabunge wa Dar wanafikiria kwa ku2mia makalio - Masabuli
7. Ukitaka kula lazma uliwe - JK
8. Mnauliza mvua kwani me waziri wa mvua? - Wasira
9. Kila mwananchi atabeba msalaba wake - Mkulo
10. Wanafunzi kupata mimba ni viherehere vyao- JK #tafakari, chukua hatua#
 
Nyongeza mupya-ukimwi ni ugonjwa wa kujitakia JK Arusha 2012 uzinduzi wa jiji
 
Top 10 ya kauli zenye changamoto.
1. Hata nyasi mtakula, ndege ya rais lazma inunuliwe- Mramba
2. Foleni Dar ni ishara ya maisha bora - JK
3. Acheni wivu wa kike - Msekwa
4. Asiyeweza kulipa nauli apige mbizi - Magufuli
5. Baada ya ku2mia helikopta ya Jeshi kwenda nayo Urambo mlitaka nipande PUNDA - Kapuya
6. Wabunge wa Dar wanafikiria kwa ku2mia makalio - Masabuli
7. Ukitaka kula lazma uliwe - JK
8. Mnauliza mvua kwani me waziri wa mvua? - Wasira
9. Kila mwananchi atabeba msalaba wake - Mkulo
10. Wanafunzi kupata mimba ni viherehere vyao- JK #tafakari, chukua hatua#

Prezidaa mkareee!! Garbage in garbage out!!!!
 
Back
Top Bottom