View attachment 451096
Mkuu ongezea na hivi...Jaribu kuvitafuta;au nikipata wasaa huku nilipo nitakununulia ila uwe tayari tu "kurefund"....Ukisoma hivi,si tu utajielimisha,bali pia imani yako itakuwa,na hutaiegemeza kwa mtu(binadamu/Kiongozi wa dini).
Bali imani yako itaidumisha ktk Kanisa moja,katoliki la mitume...Ambalo lenyewe litaendelea kuwepo na hawa wengine watakuja na kupita.Maana tuliambiwa...Hili ndio Kanisa alilokabidhiwa Petro,na baadae akawaachia makhalifa wake,ambao ndio hao Mapapa...
View attachment 451095