MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,018
- 16,802
Kauli ya Injinia Hersi Ligi ikianza
"Kwa jinsi Yanga SC kupitia Sisi GSM tulivyofanya Usajili huu mkubwa naomba kila mwana Yanga SC ajigambe na tusipokuwa Mabingwa Msimu huu wanihoji Mimi na wakiweza wanifanye lolote. GSM tumedhamiria na hatubahatishi na tumeisajilia Yanga SC Wachezaji wakubwa na mahiri ambao hata kwa Wapinzani wetu hawapo na walikuwa wakiwatamani mno tu "
Kauli ya Mhamasishaji Nugaz leo
"Tusidanganyane Yanga SC yetu bado inajengwa na kama ni kuanza kuwa Mabingwa labda kwa baadae ambapo huku Kocha mpya Nasreddine Nabi akiwa ameshaisuka vyema Timu yetu. Tukiwa Mabingwa msimu huu ni bahati tu ila sidhani sitaki niwe Mnafiki na niseme Uwongo katika Mwezi Mtukufu huu tulionao "
Generalist akiwakosoeni hapa mnanuna.
"Kwa jinsi Yanga SC kupitia Sisi GSM tulivyofanya Usajili huu mkubwa naomba kila mwana Yanga SC ajigambe na tusipokuwa Mabingwa Msimu huu wanihoji Mimi na wakiweza wanifanye lolote. GSM tumedhamiria na hatubahatishi na tumeisajilia Yanga SC Wachezaji wakubwa na mahiri ambao hata kwa Wapinzani wetu hawapo na walikuwa wakiwatamani mno tu "
Kauli ya Mhamasishaji Nugaz leo
"Tusidanganyane Yanga SC yetu bado inajengwa na kama ni kuanza kuwa Mabingwa labda kwa baadae ambapo huku Kocha mpya Nasreddine Nabi akiwa ameshaisuka vyema Timu yetu. Tukiwa Mabingwa msimu huu ni bahati tu ila sidhani sitaki niwe Mnafiki na niseme Uwongo katika Mwezi Mtukufu huu tulionao "
Generalist akiwakosoeni hapa mnanuna.