Kauli inayoleta mfadhaiko kwenye ndoa

Kauli inayoleta mfadhaiko kwenye ndoa

clearmind

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2013
Posts
813
Reaction score
1,913
"Niseme tu ukweli mme wangu, yaani toka tuoane huu ni mwaka wa pili sasa, sijawahi kufurahia tendo la ndoa kabisa. Ninafanya tu kukuridhisha lakini sifurahii kitu chochote". Ha! yaani hakuna lugha nzuri ya kuwasiliana kuhusu hili kweli, nyie wana ndoa.
 
Itakuwa ulionjwa na wengi sana kabla ya ndoa na ndio maana unaona mumeo hakuridhishi. Na pengine unawaza kurudi kwake ili muendeleze zile pigo zenu za kipindi hicho.

Cha muhimu muelekeze mumeo jinsi atakavyoweza kufanya ili wote mfurahie.
 
"Niseeme tu ukweli mme wangu, yaani toka tuoane huu ni mwaka wa pili sasa, sijawahi kufurahia tendo la ndoa kabisa. Ninafanya tu kukuridhisha lakini sifurahii kitu chochote". Ha! yaani hakuna lugha nzuri ya kuwasiliana kuhusu hili kweli, nyie wana ndoa.
Unamsaidiaje kwa mfano?
 
Kosa ni la kwako mwanaume. Actually mnatakiwa kuongea mara kwa mara kuhusu mwenendo wenu wa mapenzi.

Be open to each other. Baada ya game muulize vipi ume enjoy...unataka nikufanyie nini next next round.. Ongeni mara kwa mara ili u mfahamiane maeneo gani ya kugusa, style ipi anakojoa haraka..nini anapenda etc.

Sasa kama kila siku ikifika wakati wa tendo kimya kimya unapiga kifo cha mende ukiamaliza mnapeana migongo mpaka kesho tena..lazima hali kama hii itajitokeza. Au unaweza kusaidiwa nje kimya kimya.
 
Mi nakuchana tu,"nitombe vizuri bhana” sema nini.... Mchezo wa kwanza ukiisha hakikisha mwanamke wewe ndo unajishughulisha kuuinua mkuyenge ili ndo akusugue vyema...Mara nyingi mwanaume akishamwaga mchezo wa kwanza nguvu hupotea ivo inabidi kuzibusti kimtindo...wakishamwaga mchezo wa kwanza wanaanza kuona matako ya mwanamke kama nundu tu,guu la bia wanaanza kuona kama unamatende,chuchu SAA sits anaanza kuona kama tujipu uchungu😏....niliyosahau muendelee wanaume kutaja😔
 
Back
Top Bottom