Kauli inayoleta mfadhaiko kwenye ndoa

Kauli inayoleta mfadhaiko kwenye ndoa

NI bora waseme hawatosheki baada tu ya kuwa pamoja. Over two years jamani!
 
Itakuwa ulionjwa na wengi sana kabla ya ndoa na ndio maana unaona mumeo hakuridhishi. Na pengine unawaza kurudi kwake ili muendeleze zile pigo zenu za kipindi hicho.

Cha muhimu muelekeze mumeo jinsi atakavyoweza kufanya ili wote mfurahie.
Huo ni uongoo kabisa hujui tunayopitia kunawatu hadi wanang'ata Chuchu na shingo wanafinya maziwa utasema ni mbwa amekupanda halafu wengine wanakuvua nguo tu wanaanza shughuli basi wakimaliza haoo kama machizi
 
Ni kweli hajui tunayopitia kunawatu hadi wanang'ata Chuchu na shingo wanafinya maziwa utasema ni mbwa amekupanda halafu wengine wanakuvua nguo tu wanaanza shughuli basi wakimaliza haoo kama machizi
 
Kuna mapenzi for lovers na mapenzi biasharaaa mjueee piaa kutofautisha hivi vituuuuu
Kwa mwanamume hata yawe mapenzi biashara lakini mautundu anayapata tunaenjoy tu. Yule wa mapenzi for lovers lakini chauvivu ataambulia kimoja chali
 
Kama ni Mimi Sina tatizioooo kbsaaaa....Mimi Ni team foreplay inatoshaaaa kwanguuuuu😅😅😅
Wengine tukishawapiga foreplay za kwenda utasikia babe basi ingiza hapo sasa wanataka uanze kuwasugua kisawasawa ndo wanaenjoy
 
Back
Top Bottom