💯🤝Cha muhimu muelekeze mumeo jinsi atakavyoweza kufanya ili wote mfurahie.
Unamsaidiaje kwa mfano?"Niseeme tu ukweli mme wangu, yaani toka tuoane huu ni mwaka wa pili sasa, sijawahi kufurahia tendo la ndoa kabisa. Ninafanya tu kukuridhisha lakini sifurahii kitu chochote". Ha! yaani hakuna lugha nzuri ya kuwasiliana kuhusu hili kweli, nyie wana ndoa.
Mnaambiwaa kila siku humuu..foreplay matters...hamuelewiii tuuuuWanaume kazi tunayo maana wanawake wa siku hizi wanataka watombwe kisawasawa yaani mchezee aridhike
Chizi wewe🤣Wakiambiwa watombane kabla ya ndoa wanajifanya wana maadili
Ni Mkurya?
Akitaka anakuambia rara chari panua miguuu?
🤣🤣🤣