Nakuona unavyotaka kuharibu mbona mii na wewe marafiki kausha bhanaaHamna bwana. Wengine urafiki tu. Sio mpaka kutaka unaoonana nao mgegedane
Eti tujue ameonana na mtu.Kwenye hii dunia bado kuna mianaume menzetu misnitch namna hii?
Sasa hewa kama huyu akipewa uchi hivi itakuaje?
Aisee,this is sad kabisa!
Unafungua uzi so what?Au unawaambia watu so what?
You need help aisee!
Unakufa kabisa.Na ikitokea haingii kwenye reli vizuli urafiki unakufa.
Hahahaaa. Aiseee nimecheka sana yaani kwa hapo ulipopasimamia. Ila niseme tu kwangu mie hapana.Rafiki kabsaa meshibana kapata kahoma anakuita umpikie uji huwezi kataa najua sasa basi bahati mbaya au nzuri kasimama atakuomba umkalishe jee utakataa?
Akili yako iko kwenye mapenzi mkuu,Kwa akili zangu me au ke humu akitengeneza mazingila ya kuonana cha lengo kuu ni hilo mengine itokee tu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Wasifu wa mlaini mgumu au bwawa au speedo?Kufunguliana uzi imepitwa na Wakati,sasa hivi ni kurushiana picha na kusimuliana wasifu.!
Urafiki unaodumu ni kati ya mwanamke na mwanaume ambaye labda sio mjanja mjanja au hana tamaa ...ila hamba kitu risk kama kuamini mwanamke ataweza kuvumilia mikiki mikiki ya mwanaume mjanja...neveeer ...Hahahaaaa. Itakuwa mie niko nyuma aiseee! Sinaga imani hizo wala mawazo hayo aisee.
wowote tu.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Wasifu wa mlaini mgumu au bwawa au speedo?
Eti tujue ameonana na mtu.
Halafu unakuta ni ndoto za mchana.
Leo jua limeanza mapema kweli.
Kaka huku kuna wadada Wakali hatari!! sena ndio hivyo wengi wameolewa.narudia tena na tena,mademu wa jf wengi wabovu.lakini wana mbwembwe hatari.kuna mmoja huyo kila baada ya dk anakuja nauzi mpya kuhusu wanaume.
Hahahaaaa kulee kwenye magroup ya wozap[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Wasifu wa mlaini mgumu au bwawa au speedo?
Jamaa ana utani mpaka mda mwingine nahisi ndo gia zake za kuwaingia mana kuna watu ni wabunifu khatar[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Saint Ivuga tangu lini mi najuana na wewe eti?
Ila kupigwa mashine sio mbaya pia. Humu tunaishi jinsia tofauti. Ikitokea watu wamekutanisha vikojoleo hata sio story. Labda kama mmoja wenu alitaka kukutanisha vikojoleo akajisifu kakutanisha kikojoleo na mtu humu. Ila kama tunakutanisha vikojoleo vyetu kiuutu uzima hamna kusikia kwa nani wala nani mbona sio mbaya jamani.Mnaanzaga hivi hivi sijui kushibana mara anapigwa mtu mashine......wanawake washamba wanapotea duniani hence waolewaji wanapotea[emoji23][emoji23][emoji23]
Hahahaaa. Umeanza kujikanyaga sasa. Hivyo unaamini wanaume wasio na tamaa wapo?Urafiki unaodumu ni kati ya mwanamke na mwanaume ambaye labda sio mjanja mjanja au hana tamaa ...ila hamba kitu risk kama kuamini mwanamke ataweza kuvumilia mikiki mikiki ya mwanaume mjanja...neveeer ...
Hahaaa hapana aiseehahahaaa
Muwe makini na vitoto vya namna hii dada!
Unakiitia mzigo halafu unakuja kujuta baadae!Hahahaaaa
Ita wandewa!
Hahahahaaaa
Nakubaliana na wewe siyo wadada hata wanaume pia.Kaka huku kuna wadada Wakali hatari!! sena ndio hivyo wengi wameolewa.
Ila wapo na wanaji heshimu, makuzi wanaleta hapa ila PM ni wastaarabu tuu.
sijakataa wapo wakali,bt mademu wengi wa jf wabovu....nimekutana na sampuli nyingi ndo maana nikaconclude,mademu wengi wa hum mashauzi mengi bt wabovu....kuna mmoja ana nyonyo cjawah ona duniani labda mars...Kaka huku kuna wadada Wakali hatari!! sena ndio hivyo wengi wameolewa.
Ila wapo na wanaji heshimu, makuzi wanaleta hapa ila PM ni wastaarabu tuu.
Sio kikatili lakini mana kawaida yetu huweka akiba hutegemea tuuu mpaka mwisho wa kuonana.Unakufa kabisa.
Kwa maono yako inaonekana uu mkamilifu sana mkuu,sijakataa wapo wakali,bt mademu wengi wa jf wabovu....nimekutana na sampuli nyingi ndo maana nikaconclude,mademu wengi wa hum mashauzi mengi bt wabovu....kuna mmoja ana nyonyo cjawah ona duniani labda mars...
wapi hapo kwenye komenti kuna neno ukamilifu?Kwa maono yako inaonekana uu mkamilifu sana mkuu,
Hongera.