Kauli utakayosisitizwa na mdada wa JF siku mkionana

Kauli utakayosisitizwa na mdada wa JF siku mkionana

Wanyumbani unaweza kutana na mtu kiroho safi tu labda akakuta alivyokuona ni tofauti na alivyokua anajudhania. Ni vile unatakiwa kuangalia nani unakutana nae. Kuna watu uandishi wao tu unaweza kujua akili yake ya ajabu kiasi gani kwenye maisha ya kawaida.
I see
 
Hata kama anawaza hawez kufunguka kwa sababu anajua mtakwazana. Na wao kabla ya kurusha ndoano huwa wanaweka urafiki kidogo hapo kwenye urafiki anakusoma kwamba je huyu anaonyesha interest kidogo na mimi au ananikazia sana kwenye udada na ukaka. Hivyo hata mkionana hawezi kuvuka zaidi sababu anaona huna muda wa hizo nafasi nyingine
Na ikitokea haingii kwenye reli vizuli urafiki unakufa.
 
Hahaaaaa. Aiseeee.

Watu kama nyie ndio mtafanya watu waogope kuwaona yaani ukishaonana na mwanamke mzuri tu basi umeshabadili mawazo. Mmh.

Mie sijawahi. Nilioonana nao naheshimiana nao na hakuna hata mmoja aliyewaza mambo ya kuunganisha vikojoleo.
Kwani unaounganisha nao vikijoleo hauwaheshim??

Sent from my SM-A8000 using JamiiForums mobile app
 
Hahaaaaa. Aiseeee.

Watu kama nyie ndio mtafanya watu waogope kuwaona yaani ukishaonana na mwanamke mzuri tu basi umeshabadili mawazo. Mmh.

Mie sijawahi. Nilioonana nao naheshimiana nao na hakuna hata mmoja aliyewaza mambo ya kuunganisha vikojoleo.
Mmmngh! Unawezaje kujua mawazo ya mtu?
 
Mmmngh! Unawezaje kujua mawazo ya mtu?
Hahaaa. Nikwambie tu mie kama mie sio mrahisi kuonana na mtu aiseee.

Hivyo mpaka nakukubalia ujue tushachat sana na nishakuchota sana akili hivyo nakuwa kwa asilimia kubwa nishajua mawazo yako yalipo.

Kama ni ya kuunganishana hivyo vikojoleo duu. Utasubiri sana kumuona Emmy. Hahahaaaa.
 
Yani hilo litegemee kabsaa labda kama kuna kitu kimewaunganisha hapo sawa.
Kama mmeungana kirafiki tu tegemea tongozo kama utaelekea kibra
Hahaaaa. Inategemea ntu na ntu hapo bwana.

Na pia mnatutisha sasa jamaani. Ila wapo wengine wana heshima zao yaani hawana hata hayo mawazo aiseee kabisa yaaani hayo mawazo ya kututokea hawana.

Hivyo kaka sio wote wana mawazo hayo.
 
Hahaaa. Nikwambie tu mie kama mie sio mrahisi kuonana na mtu aiseee.

Hivyo mpaka nakubalia ujue tushachat sana na nishakuchota sana akili hivyo nakuwa kwa asilimia kubwa nishajua mawazo yako yalipo.

Kama ni ya kuunganishana hivyo vikojoleo duu. Utasubiri sana kumuona Emmy. Hahahaaaa.
Aiseeeeeee! Sababu ya ww kuwa hivo naijua sana tu
 
Back
Top Bottom