Kauli utakayosisitizwa na mdada wa JF siku mkionana

Kauli utakayosisitizwa na mdada wa JF siku mkionana

Mkuu inawezekana huwa wanakupa taarifa mapema maana ukikutanaga nao wanakuonaga Mapepe sana au Limbukeni wa Mambo... Hapo tu tayari ushaonesha we LIMBUKENI Samahani lakini...!!
 
sijakataa wapo wakali,bt mademu wengi wa jf wabovu....nimekutana na sampuli nyingi ndo maana nikaconclude,mademu wengi wa hum mashauzi mengi bt wabovu....kuna mmoja ana nyonyo cjawah ona duniani labda mars...
Mweeeh
 
"Chondechonde usinifungulie uzi"
Aliirudia kama mara mia.
Ukiiona hii post najua utacheka sana lkn ndo hvyo. Kanali nimefuzu kuficha nyeti zangu kuliko siri za moyoni. Nimeshindwa mpka nmeona niufungue tu uzi maana roho ilikuwa inakereketa
Hivi huwa mnakutana nao wapi nami niende.....!!??
 
Aaah watamu kama na wewe utamjingia kimalaya. Mi nilimpenda fulani nahisi ndo maana nilishindwa umalaya wake. Mwanaume kila mwanamke wa mji huu anamjua. Mtu anakuuliza unatoka na B hivi huogopi yule kaka alivyo malaya. Wengine washkaji zake wanasema tunavyokujua we sio mwanamke wa kutoka na B. Nabaki tu atabadilika. Nilishindwa mwenyewe nikampigia simu nikamwambia B it's over. Na kweli sikumrudia tena. Kuna muda tulivyoachana nilikua namiss kibamia ila kula kibamia na magonjwa hapana.
Mmmh mzigua kacharuka...[emoji85] [emoji125]
 
Tunauziana mpaka vimeo humu hilo halina shaka halimo kabsaa
Umesahau na kutapeliana hahaa [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Jf full package aisee

Wazuri vs wabovu
Malaya vs waaminifu
Matapeli vs wakweli
Matajiri vs maskini
Wasomi vs Ngumbaru
Foreigners vs local
...............................
 
Back
Top Bottom