Kauli ya Ahmed Ali kusema " Adui namba Moja wa Simba ni Yanga, wa pili ni Singida" yamtia matatani

Kauli ya Ahmed Ali kusema " Adui namba Moja wa Simba ni Yanga, wa pili ni Singida" yamtia matatani

Wanamuonea tu mbona lugha ya kuwa Simba na Yanga ni mahasimu ni ya kawaida sana, uadui wao ni wa kimchezo siyo wa kushikiana mapanga.
 
Wanamuonea tu mbona lugha ya kuwa Simba na Yanga ni mahasimu ni ya kawaida sana, uadui wao ni wa kimchezo siyo wa kushikiana mapanga.
Tofautisha uadua na ushindani
Wale ni washindani sio maadui
 
Tofautisha uadua na ushindani
Wale ni washindani sio maadui
Uadui ni kimichezo tu na si lugha ngeni kati ya vilabu hivi viwili labda kama umeanza kushabikia hizi timu enzi za Mayele, walioshitaki hawana hoja zaidi ya kutaka kubalance matukio tu na mchecheto wa tarehe 8 March.
 
Back
Top Bottom