Kauli ya Ally Karume kwamba Dkt. Mwinyi na CCM hawajahi kushinda uchaguzi Zanzibari itajibiwa na akina Lusinde na Musukuma?

Kauli ya Ally Karume kwamba Dkt. Mwinyi na CCM hawajahi kushinda uchaguzi Zanzibari itajibiwa na akina Lusinde na Musukuma?

Matangwa

JF-Expert Member
Joined
Jun 12, 2013
Posts
750
Reaction score
1,394
Mtoto wa mwasisi wa mapinduzi ya Zanzibari amelipuka na madai kuwa Dr Hussein Mwinyi Raisi wa Zanzibari na CCM hawajawahi kushinda uchaguzi wowote Zanzibari tangu uchaguzi wa mfumo wa vyama vingi ulipoanzishwa Tanzania.

Ally Karume ni mtu mkubwa kwa siasa za Zanzibar na Tanazania kwa ujumla na ni mwana CCM mkongwe lakin kauli yake itaibua mijadala mizito juu ya siasa za Tanzania na CCM kwa undani wake. Kauli ya Ally Karume inaweza kutafisiliwa kuwa na shambulio la moja kwa moja kwa Raisi wa Zanzibar kuwa hana uhalali wa nafasi anayoikalia kwa sasa.

Kuna wakati Mwana CCM Dr. bashiru alipinga kauli ya Mama anaupiga mwingi wakati nchi ilikuwa inakabiliwa na bei juu ya mzao ya chakula kuwahi kurekodiwa hapa nchini na alishambuliwa na CCM kwa ujumla wake

Swali ni je, kuna mwana CCM anaweza kumshambulia ALLY karume kwa kauli yake ya udhalilishaji juu ya Raisi wa Zanzibar?

Au kuna makundi CCM hayaguswi au ALLY karume ni mjumbe tu wa yale yanayozungumzwa nyuma ya pazia kuwa Dr. Mwinyi Sio chaguo la mama na ni tishio kubwa kwake na lile kundi pendwa kwa sasa?

Lusinde na msukuma tutalajie watatoa kauli nzito juu ya udhalilishaji aliofanyiwa Makamu Mwenyekiti wa CCM, Raisi wa Zanzibari na Mwenyekiti wa Baraza la mapinduzi?

Je, kauli ya Ally Karume ingetolewa na MTANGANYIKA juu ya mama, Mtanganyika huyo angepona kweli?

Nini hatima ya Tanzania kwa siasa za namna hii?
 
KWANI LUSINDE NA MSUKUMA ni Wasemaji wa CCM ZANZIBAR au kwa kuwa ni WAZEE wa VIHEREHERE?
Hao sio kuwa wanatoa kauli nzito bali huwa kwa umbunbunbu wao wanatumika kuropoka kwenye kujibu ujinga.
Ila Lusinde toka aumbuke kwa alivyotumika kwa Kinana na Nape hana hamu tena kufanywa condom
 
@Lusinde na @msukuma tutalajie watatoa kauli nzito juu ya udhalilishaji aliofanyiwa Makamu Mwenyekiti wa CCM, Raisi wa Zanzibari na Mwenyekiti wa Baraza la mapinduzi?
Watakuwa kambini kujifua
 
Fanya ufanyavyo yeyote ATAKAYE chaguliwa Kuwa Rais lazima Kuna kundi halitamkubali hivyo basi njia pekee iliyopo ni kufuata makubaliano ya kimataifa ya kukubali kuto kukubaliana.
 
Mtoto wa mwasisi wa mapinduzi ya Zanzibari amelipuka na madai kuwa Dr Hussein Mwinyi Raisi wa Zanzibari na CCM hawajawahi kushinda uchaguzi wowote Zanzibari tangu uchaguzi wa mfumo wa vyama vingi ulipoanzishwa Tanzania.

Ally Karume ni mtu mkubwa kwa siasa za Zanzibar na Tanazania kwa ujumla na ni mwana CCM mkongwe lakin kauli yake itaibua mijadala mizito juu ya siasa za Tanzania na CCM kwa undani wake. Kauli ya Ally Karume inaweza kutafisiliwa kuwa na shambulio la moja kwa moja kwa Raisi wa Zanzibar kuwa hana uhalali wa nafasi anayoikalia kwa sasa.

Kuna wakati Mwana CCM Dr. bashiru alipinga kauli ya Mama anaupiga mwingi wakati nchi ilikuwa inakabiliwa na bei juu ya mzao ya chakula kuwahi kurekodiwa hapa nchini na alishambuliwa na CCM kwa ujumla wake

Swali ni je, kuna mwana CCM anaweza kumshambulia ALLY karume kwa kauli yake ya udhalilishaji juu ya Raisi wa Zanzibar?

Au kuna makundi CCM hayaguswi au ALLY karume ni mjumbe tu wa yale yanayozungumzwa nyuma ya pazia kuwa Dr. Mwinyi Sio chaguo la mama na ni tishio kubwa kwake na lile kundi pendwa kwa sasa?

Lusinde na msukuma tutalajie watatoa kauli nzito juu ya udhalilishaji aliofanyiwa Makamu Mwenyekiti wa CCM, Raisi wa Zanzibari na Mwenyekiti wa Baraza la mapinduzi?

Je, kauli ya Ally Karume ingetolewa na MTANGANYIKA juu ya mama, Mtanganyika huyo angepona kweli?

Nini hatima ya Tanzania kwa siasa za namna hii?
Karume anachukuliwa kama mlevi tu ingawa alichosema ni ukweli mtupu.
 
Rais Mwinyi kasema jana kuwa zimebaki barabara jumla kilometa zaidi ya 200 tu nchi nzima kujengwa kwa lami.Yaani zikimalizika hizo nchi nzima inakuwa na barabara za lami.
 
Mwezi mei majina ya Ally yametawala sana kwani kuna uhusiano gani wa majina haya na huu mwezi?
Ally Karume
Ally Kamwe
Ahmed Ally
 
Rais Mwinyi kasema jana kuwa zimebaki barabara jumla kilometa zaidi ya 200 tu nchi nzima kujengwa kwa lami.Yaani zikimalizika hizo nchi nzima inakuwa na barabara za lami.
Hapa tunahitaji ufafanuzi wa kina kuhusu nchi.Maana hata Dar imebakiza km chache tu yote iwe na barabara za lami.
 
Mtoto wa mwasisi wa mapinduzi ya Zanzibari amelipuka na madai kuwa Dr Hussein Mwinyi Raisi wa Zanzibari na CCM hawajawahi kushinda uchaguzi wowote Zanzibari tangu uchaguzi wa mfumo wa vyama vingi ulipoanzishwa Tanzania.

Ally Karume ni mtu mkubwa kwa siasa za Zanzibar na Tanazania kwa ujumla na ni mwana CCM mkongwe lakin kauli yake itaibua mijadala mizito juu ya siasa za Tanzania na CCM kwa undani wake. Kauli ya Ally Karume inaweza kutafisiliwa kuwa na shambulio la moja kwa moja kwa Raisi wa Zanzibar kuwa hana uhalali wa nafasi anayoikalia kwa sasa.

Kuna wakati Mwana CCM Dr. bashiru alipinga kauli ya Mama anaupiga mwingi wakati nchi ilikuwa inakabiliwa na bei juu ya mzao ya chakula kuwahi kurekodiwa hapa nchini na alishambuliwa na CCM kwa ujumla wake

Swali ni je, kuna mwana CCM anaweza kumshambulia ALLY karume kwa kauli yake ya udhalilishaji juu ya Raisi wa Zanzibar?

Au kuna makundi CCM hayaguswi au ALLY karume ni mjumbe tu wa yale yanayozungumzwa nyuma ya pazia kuwa Dr. Mwinyi Sio chaguo la mama na ni tishio kubwa kwake na lile kundi pendwa kwa sasa?

Lusinde na msukuma tutalajie watatoa kauli nzito juu ya udhalilishaji aliofanyiwa Makamu Mwenyekiti wa CCM, Raisi wa Zanzibari na Mwenyekiti wa Baraza la mapinduzi?

Je, kauli ya Ally Karume ingetolewa na MTANGANYIKA juu ya mama, Mtanganyika huyo angepona kweli?

Nini hatima ya Tanzania kwa siasa za namna hii?
Dr. Mwinyi Sio chaguo la mama na ni tishio kubwa kwake ---- Una uhakika na hayo! Kwamba watoto wa baba mmoja mzee ruksa wakosane!? SSH ni Hassan Mwinyi - Mzee Ruksa
Dr Mwinyi yeye inajulikana. Hii ni familia!

Familia ya Karume ni ma - Bold fulani hivi hata Amani nadhani hayuko na Mwinyi
 
Mtoto wa mwasisi wa mapinduzi ya Zanzibari amelipuka na madai kuwa Dr Hussein Mwinyi Raisi wa Zanzibari na CCM hawajawahi kushinda uchaguzi wowote Zanzibari tangu uchaguzi wa mfumo wa vyama vingi ulipoanzishwa Tanzania.

Ally Karume ni mtu mkubwa kwa siasa za Zanzibar na Tanazania kwa ujumla na ni mwana CCM mkongwe lakin kauli yake itaibua mijadala mizito juu ya siasa za Tanzania na CCM kwa undani wake. Kauli ya Ally Karume inaweza kutafisiliwa kuwa na shambulio la moja kwa moja kwa Raisi wa Zanzibar kuwa hana uhalali wa nafasi anayoikalia kwa sasa.

Kuna wakati Mwana CCM Dr. bashiru alipinga kauli ya Mama anaupiga mwingi wakati nchi ilikuwa inakabiliwa na bei juu ya mzao ya chakula kuwahi kurekodiwa hapa nchini na alishambuliwa na CCM kwa ujumla wake

Swali ni je, kuna mwana CCM anaweza kumshambulia ALLY karume kwa kauli yake ya udhalilishaji juu ya Raisi wa Zanzibar?

Au kuna makundi CCM hayaguswi au ALLY karume ni mjumbe tu wa yale yanayozungumzwa nyuma ya pazia kuwa Dr. Mwinyi Sio chaguo la mama na ni tishio kubwa kwake na lile kundi pendwa kwa sasa?

Lusinde na msukuma tutalajie watatoa kauli nzito juu ya udhalilishaji aliofanyiwa Makamu Mwenyekiti wa CCM, Raisi wa Zanzibari na Mwenyekiti wa Baraza la mapinduzi?

Je, kauli ya Ally Karume ingetolewa na MTANGANYIKA juu ya mama, Mtanganyika huyo angepona kweli?

Nini hatima ya Tanzania kwa siasa za namna hii?
Kwani yeye Baba yake naye si alipewa Urais baada ya kumfukuza Rais wa kwanza wa Zanzibar Field Marshal John Okello!
Kaka yake Amani Karume pia alipewa Urais Badala ya Dr Bilali pamoja na kushindwa kura za maoni za kumteua mgombea Urais CCM visiwani.
Kwa mara ya kwanza ndani ya CCM kura za kumpata mgombea Urais wa Zanzibar kihalali kabisa na kwa uwazi zilifanywa na CCM chini ya Mwenyekiti Dr Magufuli mwaka 2020.
 
Mtoto wa mwasisi wa mapinduzi ya Zanzibari amelipuka na madai kuwa Dr Hussein Mwinyi Raisi wa Zanzibari na CCM hawajawahi kushinda uchaguzi wowote Zanzibari tangu uchaguzi wa mfumo wa vyama vingi ulipoanzishwa Tanzania.

Ally Karume ni mtu mkubwa kwa siasa za Zanzibar na Tanazania kwa ujumla na ni mwana CCM mkongwe lakin kauli yake itaibua mijadala mizito juu ya siasa za Tanzania na CCM kwa undani wake. Kauli ya Ally Karume inaweza kutafisiliwa kuwa na shambulio la moja kwa moja kwa Raisi wa Zanzibar kuwa hana uhalali wa nafasi anayoikalia kwa sasa.

Kuna wakati Mwana CCM Dr. bashiru alipinga kauli ya Mama anaupiga mwingi wakati nchi ilikuwa inakabiliwa na bei juu ya mzao ya chakula kuwahi kurekodiwa hapa nchini na alishambuliwa na CCM kwa ujumla wake

Swali ni je, kuna mwana CCM anaweza kumshambulia ALLY karume kwa kauli yake ya udhalilishaji juu ya Raisi wa Zanzibar?

Au kuna makundi CCM hayaguswi au ALLY karume ni mjumbe tu wa yale yanayozungumzwa nyuma ya pazia kuwa Dr. Mwinyi Sio chaguo la mama na ni tishio kubwa kwake na lile kundi pendwa kwa sasa?

Lusinde na msukuma tutalajie watatoa kauli nzito juu ya udhalilishaji aliofanyiwa Makamu Mwenyekiti wa CCM, Raisi wa Zanzibari na Mwenyekiti wa Baraza la mapinduzi?

Je, kauli ya Ally Karume ingetolewa na MTANGANYIKA juu ya mama, Mtanganyika huyo angepona kweli?

Nini hatima ya Tanzania kwa siasa za namna hii?
Kama hawajawahi kushinda wanaingiaje madarakani?
 
Back
Top Bottom