Sure mkuu Mabeyo alitumika bila kujua na alipojua ndipo alipoamua akae pembeni kwahiyo bila shaka atakuwa na Majuto tuNadhani upo sahihi mkuu
Hata hii clip ukijuliza Why? na kutafakari kwa makini utaona kuna ujumbe na pengine majuto pia. Sikilizeni kwa makini na mjiulize kwa nini yamesemwa yaliyosemwa na aliyesema
Hiyo sheria unayotaja hapa uliitunga wewe peke yako? Alitakiwa astaafu lini na kwa sababu ipiNawafahamu CDFs wote mkuu ila kustaafu kwa Mabeyo kuliibua maswali kadhaa kwa waliokuwa wanajua kinachoendelea, ila mwisho wa siku Jibu likawa tu "amestaafu kwa mujibu wa sheria", na wengi kama wewe waliamini kuwa kweli Mabeyo alistaafu kwa mujibu wa sheria, hivyo nilitegemea comment kama hii wala sishangai, ila acha ibaki hivyo hivyo mkuu
DahSababu mojawapo nimeshaizungumzia pale kwenye comment yangu ya kwanza mkuu, it is up to you to take it or leave it, Mabeyo alitumia sababu ile ile ya siku zote na utaratibu ule ule wa ma CDF kustaafu
Lakini nyuma ya pazia hiyo haikuwa sababu kubwa, 'Wahusika' wanadai yeye na Magufuli walishapanga mwaka atakaostaafu, (endapo angeendelea kuwa hai) ambapo haikutakiwa kuwa 2022
Na CDF mpya alikuwa ameshaandaliwa Major General Charles Mbuge, ambaye naye alikuwa ni pro Magufuli, ndio maana kustaafu kwa Mabeyo kuliibua maswali kwa waliokuwa wanajua kinachoendelea
Unamwonea Bashuru tafadhali. Katibu Mkuu Kiongozi ni ngazi ya juu sana ya utawala. Haiendi kwa shule peke yake. Nawashangaa wanaochezea nafasi hiyo kwa kuchaguana kirafiki!!Bashiru ni mjinga lakini kwa hili namtetea
Mkuu naomba karudie interview ya ex mkuu wa majeshi,ina maana hakuna hata mmoja aliyekuwa karibu Naye siku za mwisho za umauti wake??? Hata makamu?? Hata pm majaliwa???Unaposema Magufuli hakuwa mtu wa kumuamini kiongozi wake unamaanisha nini na wakati mwenyewe ndio aliemchagua tena 2020 awe mgombea mwenza, huku Magufuli mwenyewe akiwa ndio mwenyekiti wa chama na raisi wa nchi?
Swala la dini na ukizimkazi hilo halina mantiki yoyote, maana hata baraza lake la mawaziri lilikuwa na 90% ya mawaziri wasiokuwa waislam na bado hakuna aliemletea tatizo au kushindwa kumchagua.
Pia makamu alikuwa na power kwa mujibu wa katiba na sheria za nchi, labda wewe unazungumzia power ya kunyanyua mavyuma au ile ya kufokea fokea watu hovyo ndo ionekane una power kwa wale unaowafokea fokea.
Kuhusu Majaliwa kuwadanganya hilo ni kawaida kwa 85% ya watanzania kuwa waongo. Au umesahau kashfa ya fisadi papa Lowasa aliyovikwa na viongozi wote wa chadema, lkn baadae ikaja kudhihirika kuwa waliudanganya umma wa watanzania? Je na wao walikufanya mtoto mdogo?
walikua sahihi sana, ameonesha kwamba hatoshiRaisi mwenyewe mbona uwa anagusia hilo tukio mara kadhaa. Juzi tu alipokuwa Dar kupongezwa siku ya wanawake kaliongelea tena kuna watu walikuwa wanaulizana ataweza kweli kabla kuapishwa kwake.
Kwa hiyo Magufuli ndio aliandika sheria ya utumishi jeshini. Kwamba kabla ya Magufuli kuja, Majenerali walikuwa hawastaafu?Sababu mojawapo nimeshaizungumzia pale kwenye comment yangu ya kwanza mkuu, it is up to you to take it or leave it, Mabeyo alitumia sababu ile ile ya siku zote na utaratibu ule ule wa ma CDF kustaafu
Lakini nyuma ya pazia hiyo haikuwa sababu kubwa, 'Wahusika' wanadai yeye na Magufuli walishapanga mwaka atakaostaafu, (endapo angeendelea kuwa hai) ambapo haikutakiwa kuwa 2022
Na CDF mpya alikuwa ameshaandaliwa Major General Charles Mbuge, ambaye naye alikuwa ni pro Magufuli, ndio maana kustaafu kwa Mabeyo kuliibua maswali kwa waliokuwa wanajua kinachoendelea
umeiweka vizuri sana mkuu.....Bashiru huyu aliyerudisha mali za CCM zilizowashinda vigogo wa chama asingekubali kutoa bure rasilimali za nchi. Wala Bashiru sio kilaza, hata kama humpendi utakubaliana na hilo.
Bashiru sio mtu wa kulalamika na kukosa maamuzi au asijue la kufanya. Wala asingesuasua kuendeleza miradi kama bwawa lingekuwa linazalisha umeme muda.
Hata Majaliwa angekuwa nafuu ya sasa. Yani mkuu wa usalama, PM, KM hawakukosea kwa pamoja kuwa na wasiwasi na huyu "kwa kudra za mwenyezi Mungu"
Kundi lipi lililofata katiba au lililotaka kuipuuza katiba?C'moon wadhani alikuwa hafahamu kweli?
Ni uchu wa madaraka ulikuwa katika "despetare state".
Ni pale usemapo kuna vita katika viambaza vya utawala, "desperate measures in desperate times".
Na si kwambani yeyeapewe sifa kwa kutuliza hali bali ni kufikia muafaka baina ya makundi mawili yenye malengo tofauti.
Ni dhahiri kundi lenye nguvu kwa kila kitu ndilo loloshinda.
Hivi mkuu wewe bado haujawajua tu hao wanaolazimisha siasa, katika mambo yasiohitaji siasa!Hiyo sheria unayotaja hapa uliitunga wewe peke yako? Alitakiwa astaafu lini na kwa sababu ipi
CDF anastaafu akiwa na miaka mingapi, na Mabeyo alistaafu akiwa na mingapi. Hujui Mabeyo alikuwa na umri mkubwa kustaafu kabla hata hajawa CDF? Yani mtu alipitiliza umri wa utumishi, anastaafu unalalamika.
Mkuu nimekwambia kwamba Mabeyo ndio alikuwa karibu na mgonjwa muda wote, hivyo ni lazima maelezo yote muhimu apewe yeye. Hata mzazi anapoona muda wake wa kubaki dunia umekwisha, basi hutoa usia wake kwa mtoto aliepo karibu yake ili afikishe ujumbe kwa wenzake waliopo mbali.Mkuu naomba karudie interview ya ex mkuu wa majeshi,ina maana hakuna hata mmoja aliyekuwa karibu Naye siku za mwisho za umauti wake??? Hata makamu?? Hata pm majaliwa???
Kwanini magufuli alimtumia mabeyo??? Angali viongozi wake wa juu wapo???
Angekuwa amuamini makamu basi asingeendelea kuwa makamu wake katika uchaguzi mkuu wa 2020. Kumbuka yeye ndie alikuwa raisi na mwenyekiti wa chama, so angeweza kumchagua yoyote anaemtaka yeye pasipo kupingwa na yoyote. Na kwa vile uchaguzi alikuwa ashajiandaa kushinda basi angeshinda tu hata kama makamu angekuwa fatuma Karume.Magu alimuamini Sana mabeyo, alijiona yupo salama akiwa Naye kuliko kiongozi yoyote.
Hakutaka kuleta taharuki katika jamii, kumbuka kipindi kile kuna kiongozi mmoja wa chama aliekuwa amehifadhiwa na mabeberu huko Ulaya, kila siku ilikuwa kazi yake ni kubwabwaja na kubwata katika mitandao ya kijamii kuhusu afya ya raisi Magufuli. Hivyo Majaliwa hakupenda na yeye kuwa miongoni mwa waliokuwa wanagombania kuleta taharuki katika taifa kutokana na hali ya raisi.Kwanini pm majaliwa aliydanganya Uma kuwa yupo anachapa kazi, angali alikua yupo mahututi akipigania maisha yake??
Mkuu kama ukisoma katikati ya mistari ya kauli zake utaona mjadala ulikuwa unafanywa kwingine, yeye Mabeyo anafanya maamuzi kwa manufaa ya Taifa!..Mabeyo anastahili lawama.
..Kwanini MAKAMU WA RAIS hakuwa mtu wa kwanza kupewa taarifa kuwa Rais amefariki?
..Nimemsikia Mabeyo akisema eti kulikuwa na mjadala wa nani atangaze kifo cha Rais.
..Hivi Mabeyo na usomi wake, kutumikia jeshini kwa miongo kadhaa, na kutembelea nchi mbalimbali, hajui nani ana mamlaka ya kutangaza kifo cha Raisi? Kwamba walihitaji majadiliano?
Hiyo sheria unayotaja hapa uliitunga wewe peke yako? Alitakiwa astaafu lini na kwa sababu ipi
CDF anastaafu akiwa na miaka mingapi, na Mabeyo alistaafu akiwa na mingapi. Hujui Mabeyo alikuwa na umri mkubwa kustaafu kabla hata hajawa CDF? Yani mtu alipitiliza umri wa utumishi, anastaafu unalalamika.
Kwa hiyo Magufuli ndio aliandika sheria ya utumishi jeshini. Kwamba kabla ya Magufuli kuja, Majenerali walikuwa hawastaafu?
Na kama alikuwa ameishapanga Mabeyo astaafu lini, ni lazima iwe hivyo hata kwa Rais aliyefuatia. Hujui kwamba katiba inampa mamlaka Rais kuteua CDF, kwamba ni lazima Samia aishi katika kivuli cha Magufuli?
Kumbe alijua anakufa...what happened to him...
Mkuu chunguza kwa wakati ule nani alikuwa anaratibu shughuli za Rais Ikulu ikiwemo ratiba ya the trio! Hapo ndipo jibu lako ilipo!Wataka kusema Sa100 alikwenda Tanga na kukaa kule bila kufahamu kinoendelea?
No, na ndo maana mother alimuondoa faster Bashiru ikulu, Bashiru na ndugai kuna jambo walitaka kupindisha ila aliyewatibulia ni mabeyo...Bashiru ni mjinga lakini kwa hili namtetea
Haya mambo yalijulikana na tuliyajadili hapa.Habari zenu wanaJF wenzangu, ama baada ya salam ningependa kuendelea na mada yangu hapa jukwaani.
Ndugu zangu kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu. Wakati raisi Samia alipoingia madarakani, haikupita hata miezi sita akaanza pangua pangua ya viongozi wakubwa pale ikulu akiwemo aliekuwa katibu mkuu kiongozi mhe Dr Bashiru ambae alikuwa amechukua nafasi hiyo muda mfupi tu baada ya aliekuwepo kufariki.
Wengi walianza kulalamika na kumlaumu Rais kwa hatua yake hiyo ya pangua pangua pale state house, mpaka wengine wakafikia hatua ya kusema kuwa raisi ana ugomvi sijui na sukuma gang, team Magufuli nk. Ila nyuma ya pazia hawakuwa wanajua ni kwanini raisi aliamua kufanya vile na kwa sababu gani.
Cheo cha katibu mkuu kiongozi ni cheo kikubwa sana kimamlaka, hivyo sio rahisi kuondolewa tu hivi hivi kienyeji bila kuwa na sababu ya msingi. Hivyo raisi kumuondoa mhe Bashiru katika nafasi ile ghafla bin vuu kulikuwa na sababu maalumu ambayo wengi hawakuijua.
Leo hii ukisikiliza kwa makini ile interview ya CDF mstaafu mhe Mabeyo, na kile kilichotokea baada ya mama kuingia (pangua pangua) utaona kabisa ni kina nani ambao walikuwa na mpango wa kupindisha katiba. Nakumbuka CDF Mabeyo wakati wa hotuba yake pale msibani alimwambia mhe raisi kuwa ana ujumbe wake ambao atamwambia pindi watapokuwa falagha kati yake na raisi.
Miezi kadhaa mbele baada ya msiba kuisha Rais Samia akaanza pangua pangua ambayo ilipelekea mhe Bashiru kuwa miongoni mwa waliotenguliwa, huku waziri mkuu na mawaziri wengine wakiendelea kubaki na vyeo vyao hadi leo.
So Rais anapotengua au kutea mtu huwa anafanya hivyo baada ya kupata taarifa za kutosha za anaeteuliwa au tenguliwa.
Leo niishie hapa.
Mi nadhani hapa ilotumika ile mfumo dume kwamba wazri kwakuwa ni mwanaume pamoja na katibu mkuu pia ni mwanaume basi tuwaite kwanza wao maana wanawake na hisia wako karibu sana hawachelewi kupiga mayowe wakati kunahitajika utulivu kwanza ili ijulikane nini kinafanyika maana jambo lenyewe nila kustuaJiulize kama alijua makamu ndie second kwa nn wamuite waziri mkuu kwanza? Je na yy alikua anaingiwa na kile kishawishi cha kina bashiru?
Ningekua Mobeyo ningekaa kimya tu, nikala benefit of the doubt