Immortal Techniques
JF-Expert Member
- Aug 9, 2023
- 262
- 409
#Weak points,Bashiru huyu aliyerudisha mali za CCM zilizowashinda vigogo wa chama asingekubali kutoa bure rasilimali za nchi. Wala Bashiru sio kilaza, hata kama humpendi utakubaliana na hilo.
Bashiru sio mtu wa kulalamika na kukosa maamuzi au asijue la kufanya. Wala asingesuasua kuendeleza miradi kama bwawa lingekuwa linazalisha umeme muda.
Hata Majaliwa angekuwa nafuu ya sasa. Yani mkuu wa usalama, PM, KM hawakukosea kwa pamoja kuwa na wasiwasi na huyu "kwa kudra za mwenyezi Mungu"
Katiba ndio Muongozo wetu,mlipo mchagua Mama awe makamu wa Raisi hamkuwa na wasiwasi hawezi, yaliyo tokea yametokea Uraisi ni Taasisi , hizo kenge zilizo taka kupindisha Katiba ningekuwa mshauri wa mama wote kwenye system wangekuwa nje wanacheza na vijukuu nyumbani,Tuheshimu Katiba yetu hayo hawezi au ana weza mkenjipanga kabla ya kumpa Umakamo wa Raisi.