T14 Armata
JF-Expert Member
- Mar 7, 2017
- 12,362
- 41,886
Bashiru huyu aliyerudisha mali za CCM zilizowashinda vigogo wa chama asingekubali kutoa bure rasilimali za nchi. Wala Bashiru sio kilaza, hata kama humpendi utakubaliana na hilo.Kwa uhaini huo huyo Bashiru hakutakiwa kuwa hai, achili huo Ubunge. Alikuwa na malengo gani na yenye maslahi ya kina nani?
Bashiru sio mtu wa kulalamika na kukosa maamuzi au asijue la kufanya. Wala asingesuasua kuendeleza miradi kama bwawa lingekuwa linazalisha umeme muda.
Hata Majaliwa angekuwa nafuu ya sasa. Yani mkuu wa usalama, PM, KM hawakukosea kwa pamoja kuwa na wasiwasi na huyu "kwa kudra za mwenyezi Mungu"