John Haramba
JF-Expert Member
- Feb 4, 2022
- 365
- 1,374
Mara baada ya kufunga mabao mawili katika ushindi wa mabo 3-0 ambao wameupata dhidi ya Kagera Sugar, straika wa Yanga, Fiston Mayele amezungumza kwa ufupi kuhusu ushindi huo, mbio za ubingwa na kasi yake katika kuwania Tuzo ya Mfungaji Bora Msimu wa 2021/22:
“Namshukuru Mungu kwa matokeo haya, Kagera Sugar ni timu nzuri, walikuwa wakitafuta pointi tatu.
“Mungu ametusaidia tumepata ushindi, Yanga malengo yetu ni ubingwa, tumeshaanza mzunguko wa pili, bado mechi kumi na nne, tutapambana ili kushinda.
“Kuhusu ufungaji bora nitaendelea kupambana na Mungu atasaidia ili niweze kuchukua, mashabiki waendelee kutuunga mkono na wasali kwa ajili ya timu yao.”
“Namshukuru Mungu kwa matokeo haya, Kagera Sugar ni timu nzuri, walikuwa wakitafuta pointi tatu.
“Mungu ametusaidia tumepata ushindi, Yanga malengo yetu ni ubingwa, tumeshaanza mzunguko wa pili, bado mechi kumi na nne, tutapambana ili kushinda.
“Kuhusu ufungaji bora nitaendelea kupambana na Mungu atasaidia ili niweze kuchukua, mashabiki waendelee kutuunga mkono na wasali kwa ajili ya timu yao.”