Kauli ya Januari Makamba kama hawampendi wamuue ina maana gani?

Kauli ya Januari Makamba kama hawampendi wamuue ina maana gani?

Mtumishiwetu

Senior Member
Joined
Jul 13, 2022
Posts
196
Reaction score
346
Nimejaribu kutafakari kauli ya Waziri wa Nishati, Januari Makamba aliyotuambia Watanzania wapuuzi tu na kama hatuamini sababu za kukatika umeme na kutokamilika kwa bwawa la Nyerere tukamuue imenipa tafakari nyingi sana

Mosi ina maana Makamba anawaita watanzania ni wapuuzi na kamwe hawezi kutoka kwenye kiti alichokalia labda kifo ndio kimuondoe .

Pili ni kosa la jinai kutangaza mauaji kwanini yeye Makamba ametangaza auawawe

Tatu Shughuli za Umma kwanini asifananishe na maisha yake binafsi

Mwisho Mwenye mkataba na wananchi ni Rais wa JMT, H.E Samia Suluhu Hassan yeye Makamba ni hana mkataba na wananchi kwanini afikie hatua ya kuwadharau watanzania

Cc. WASAFI MEDIA
 
Ina maana kuwa si kwa nguvu zake kuwa hapo bali ni Mungu aliyeamua na kwamba si kwa chuki zenu atatoka bali ni pale Mungu atakapoamua na kama hampendezwi na maamuzi ya Mungu ya kumuweka hapo bali jitwisheni mamlaka ya uungu na mmuue ili atoweke mfurahi.

Ila makamba anawapeleka puta nyie watu si mchezo!!!
 
Wapuuzi huwa wanaongozwa na werevu?
Sisi ni wapuuzi sawa,na tunalipokea kwa moyo mkunjufu wala hatuna haja ya kumuua.
Ni jambo la wakati tu,atatoka.
 
Katiba mpya itawasimamia viongozi dhidi ya kauli mbaya zitakazo ligawa Taifa na kuleta sintofahamu!

Pia itaondoa vijana wahuni wahuni wasishike uongozi kama Hawa!

"Rasimu ya Warioba irudi mezani SASA iwe KATIBA MPYA"
 
Nimejaribu kutafakari kauli ya Waziri wa Nishati, Januari Makamba aliyotuambia Watanzania wapuuzi tu na kama hatuamini sababu za kukatika umeme na kutokamilika kwa bwawa la nyerere tukamuue imenipa tafakari nyingi sana

Mosi ina maana Makamba anawaita watanzania ni wapuuzi na kamwe hawezi kutoka kwenye kiti alichokalia labda kifo ndio kimuondoe .

Pili ni kosa la jinai kutangaza mauaji kwanini yeye Makamba ametangaza auawawe

Tatu Shughuli za Umma kwanini asifananishe na maisha yake binafsi

Mwisho Mwenye mkataba na wananchi ni Rais wa JMT, H.E Samia Suluhu Hassan yeye Makamba ni hana mkataba na wananchi kwanini afikie hatua ya kuwadharau watanzania

Cc. WASAFI MEDIA

Bado Ni mchanga kichwani.
 
Bado Ni mchanga kichwani.
Sio Mchanga JM ni msomi mkubwa sana kwa Mujibu wa Mbunge wa Bunda, Getere Makamba ni Msomi wa CHUO KIKUU CHA HAVARD MAREKANI MSIKILIZE HAPA KWA HIYO MAKAMBA SIO MCHANGA KICHWANI

 
😂😂😂😂😂😂 sawa muheshimiwa tumekusikia lakini ngoja nikuambie kitu, ni kwamba sisi hatuna muda wa kuwaza huo upumbavu, Asante kwa dharau zako
 
Sio Mchanga JM ni msomi mkubwa sana kwa Mujibu wa Mbunge wa Bunda, Getere Makamba ni Msomi wa CHUO KIKUU CHA HAVARD MAREKANI MSIKILIZE HAPA KWA HIYO MAKAMBA SIO MCHANGA KICHWANI


Kuwa msomi sio kuwa ndio kunakufanya uwe matured kichwani mkuu. Kusoma unakariri unatapika kwenye mtihani yote unapata first class.
Am lost ,am failures,am failing how to explain to you.
Labda unaweza unanielewa. Am fckd already
 
Zamani nilikuwa nadhani Ile harufu ya bange pale ferry inawaharibu viongozi pale magogoni na mlipohamia dodoma nikajuwa shida imeisha lakini Sasa ni zaidi ya wavuta bange wa pale ferry namba moja nae utadhani anafukuzwa na mlio wa nyuki dodoma hakukaliki magogoni hapamtoshi,kikienda znz hicho kinaenda ulaya,mara uarabuni mara usa
 
Kwa kauli hii angalau mtu mstaarabu unaanza kwa kusema sorry, kumradhi, ashakm si matusi n.k ili kukulindia heshima. Yeye hayo hata hamna!

Kwanza nahisi kimejaa deko!
 
Nimejaribu kutafakari kauli ya Waziri wa Nishati, Januari Makamba aliyotuambia Watanzania wapuuzi tu na kama hatuamini sababu za kukatika umeme na kutokamilika kwa bwawa la nyerere tukamuue imenipa tafakari nyingi sana

Mosi ina maana Makamba anawaita watanzania ni wapuuzi na kamwe hawezi kutoka kwenye kiti alichokalia labda kifo ndio kimuondoe .

Pili ni kosa la jinai kutangaza mauaji kwanini yeye Makamba ametangaza auawawe

Tatu Shughuli za Umma kwanini asifananishe na maisha yake binafsi

Mwisho Mwenye mkataba na wananchi ni Rais wa JMT, H.E Samia Suluhu Hassan yeye Makamba ni hana mkataba na wananchi kwanini afikie hatua ya kuwadharau watanzania

Cc. WASAFI MEDIA
Makamba ni mojawapo ya chupi za mama ...hata ziwe chafu kiasi gani na kunuka uvundo kiasi gani ila azitupwi zinafuliwa na kutunzwa kwa matumizi ya siku zote
 
Mzimu wa Ben saanane unamtafuna nani?
Unamtafuna mbowe ....ina maana ujui? Toka JPM kafa uliwai kumsikia Mbowe akimzungumzia Ben Saa8 au unadhani kasahau

Kwa habari yako ....mtuhumiwa no 1 wa kesi ya mauaji ya Saa8 ni Mbowe ndiyo maana chadema wamenyamaza kimya maana ukweli wanaujua
 
Nimejaribu kutafakari kauli ya Waziri wa Nishati, Januari Makamba aliyotuambia Watanzania wapuuzi tu na kama hatuamini sababu za kukatika umeme na kutokamilika kwa bwawa la nyerere tukamuue imenipa tafakari nyingi sana
 
Back
Top Bottom