Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
soon ⚰linamuhusuNimejaribu kutafakari kauli ya Waziri wa Nishati, Januari Makamba aliyotuambia Watanzania wapuuzi tu na kama hatuamini sababu za kukatika umeme na kutokamilika kwa bwawa la nyerere tukamuue imenipa tafakari nyingi sana
Mosi ina maana Makamba anawaita watanzania ni wapuuzi na kamwe hawezi kutoka kwenye kiti alichokalia labda kifo ndio kimuondoe .
Pili ni kosa la jinai kutangaza mauaji kwanini yeye Makamba ametangaza auawawe
Tatu Shughuli za Umma kwanini asifananishe na maisha yake binafsi
Mwisho Mwenye mkataba na wananchi ni Rais wa JMT, H.E Samia Suluhu Hassan yeye Makamba ni hana mkataba na wananchi kwanini afikie hatua ya kuwadharau watanzania
Cc. WASAFI MEDIA
Mungu gani kamuweka hapo.Acha kumuhusisha Mungu na vitu vyakijinga.Ina maana kuwa si kwa nguvu zake kuwa hapo bali ni Mungu aliyeamua na kwamba si kwa chuki zenu atatoka bali ni pale Mungu atakapoamua na kama hampendezwi na maamuzi ya Mungu ya kumuweka hapo bali jitwisheni mamlaka ya uungu na mmuue ili atoweke mfurahi.
Ila makamba anawapeleka puta nyie watu si mchezo!!!
Acha ujinga wewe.maisha ya mtu sio yakufanyia ujinga kama unaotaka kutuonyesha hapa.Mbowe ndiye amekua jeshi la polisi sasa hivi.mjinga mkubwa wewe.Unamtafuna mbowe ....ina maana ujui ??? Toka jpm kafa uliwai kumsikia mbowe akimzungumzia ben saa8 au unadhani kasahau
Kwa habari yako ....mtuhumiwa no 1 wa kesi ya mauaji ya saa8 ni mbowe ndiyo maana chadema wamenyamaza kimya maana ukweli wanaujua
Time will tell. SA hawamtaki Ramaphosa nac mda utafika acha watambe.Wapuuzi huwa wanaongozwa na werevu?
Sisi ni wapuuzi sawa,na tunalipokea kwa moyo mkunjufu wala hatuna haja ya kumuua.
Ni jambo la wakati tu,atatoka.
Hivi nyie watu ni wazima kichwaniii au?!!!! Unajua mnashangazaMungu gani kamuweka hapo.Acha kumuhusisha Mungu na vitu vyakijinga.
HUO NDIYO UKWELI KUHUSU BEN SAA3 MBOWE NDIYO MTUHUMIWA NO 1 ....SHIKA SANA HAYA MANENO YANGUAcha ujinga wewe.maisha ya mtu sio yakufanyia ujinga kama unaotaka kutuonyesha hapa.Mbowe ndiye amekua jeshi la polisi sasa hivi.mjinga mkubwa wewe.
Aa kumbe ali-copy kama lilivyo akalibwaga pwhaaaaa!!Kijana wa mitandao yule...huo msemo maarufu sana huko jamhuri ya twitter!
Nimejaribu kutafakari kauli ya Waziri wa Nishati, Januari Makamba aliyotuambia Watanzania wapuuzi tu na kama hatuamini sababu za kukatika umeme na kutokamilika kwa bwawa la nyerere tukamuue imenipa tafakari nyingi sana
Mosi ina maana Makamba anawaita watanzania ni wapuuzi na kamwe hawezi kutoka kwenye kiti alichokalia labda kifo ndio kimuondoe .
Pili ni kosa la jinai kutangaza mauaji kwanini yeye Makamba ametangaza auawawe
Tatu Shughuli za Umma kwanini asifananishe na maisha yake binafsi
Mwisho Mwenye mkataba na wananchi ni Rais wa JMT, H.E Samia Suluhu Hassan yeye Makamba ni hana mkataba na wananchi kwanini afikie hatua ya kuwadharau watanzania
Cc. WASAFI MEDIA
Ndio kundi lililomuua JPMNimejaribu kutafakari kauli ya Waziri wa Nishati, Januari Makamba aliyotuambia Watanzania wapuuzi tu na kama hatuamini sababu za kukatika umeme na kutokamilika kwa bwawa la nyerere tukamuue imenipa tafakari nyingi sana
Mosi ina maana Makamba anawaita watanzania ni wapuuzi na kamwe hawezi kutoka kwenye kiti alichokalia labda kifo ndio kimuondoe .
Pili ni kosa la jinai kutangaza mauaji kwanini yeye Makamba ametangaza auawawe
Tatu Shughuli za Umma kwanini asifananishe na maisha yake binafsi
Mwisho Mwenye mkataba na wananchi ni Rais wa JMT, H.E Samia Suluhu Hassan yeye Makamba ni hana mkataba na wananchi kwanini afikie hatua ya kuwadharau watanzania
Cc. WASAFI MEDIA
Mama yakoMzimu wa Ben saanane unamtafuna nani?
Kwa kauli yako na andikp lako unamaanisha Samia aliemteua Makamba ni sawa na MUNGU sio?Ina maana kuwa si kwa nguvu zake kuwa hapo bali ni Mungu aliyeamua na kwamba si kwa chuki zenu atatoka bali ni pale Mungu atakapoamua na kama hampendezwi na maamuzi ya Mungu ya kumuweka hapo bali jitwisheni mamlaka ya uungu na mmuue ili atoweke mfurahi.
Ila makamba anawapeleka puta nyie watu si mchezo!!!
Una matatizo ya kijinsia wewe, si bure!Kwa kauli yako na andikp lako unamaanisha Samia aliemteua Makamba ni sawa na MUNGU sio?
Je!
Nikikuita taahira nitakuwa nimekukosea?
Punguza tope kichwani kwenye fuvu.
Nimejaribu kutafakari kauli ya Waziri wa Nishati, Januari Makamba aliyotuambia Watanzania wapuuzi tu na kama hatuamini sababu za kukatika umeme na kutokamilika kwa bwawa la nyerere tukamuue imenipa tafakari nyingi sana
Mosi ina maana Makamba anawaita watanzania ni wapuuzi na kamwe hawezi kutoka kwenye kiti alichokalia labda kifo ndio kimuondoe .
Pili ni kosa la jinai kutangaza mauaji kwanini yeye Makamba ametangaza auawawe
Tatu Shughuli za Umma kwanini asifananishe na maisha yake binafsi
Mwisho Mwenye mkataba na wananchi ni Rais wa JMT, H.E Samia Suluhu Hassan yeye Makamba ni hana mkataba na wananchi kwanini afikie hatua ya kuwadharau watanzania
Cc. WASAFI MEDIA
Nimejaribu kutafakari kauli ya Waziri wa Nishati, Januari Makamba aliyotuambia Watanzania wapuuzi tu na kama hatuamini sababu za kukatika umeme na kutokamilika kwa bwawa la nyerere tukamuue imenipa tafakari nyingi sana
Mosi ina maana Makamba anawaita watanzania ni wapuuzi na kamwe hawezi kutoka kwenye kiti alichokalia labda kifo ndio kimuondoe .
Pili ni kosa la jinai kutangaza mauaji kwanini yeye Makamba ametangaza auawawe
Tatu Shughuli za Umma kwanini asifananishe na maisha yake binafsi
Mwisho Mwenye mkataba na wananchi ni Rais wa JMT, H.E Samia Suluhu Hassan yeye Makamba ni hana mkataba na wananchi kwanini afikie hatua ya kuwadharau watanzania
Cc. WASAFI MEDIA
Shida ni kauli ambayo imetoka kinywani mwake sio kwamba amezushiwa na watuKwa kauli hii angalau mtu mstaarabu unaanza kwa kusema sorry,kumradhi,ashakm si matusi n.k ili kukulindia heshima.Yeye hayo hata hamna!
Kwanza nahisi kimejaa deko!
Mkewe asije kuwa humu ndani akawa anasoma hizi texts zako....mtagombana sana....🤣🤣🤣🤣🤣wake huwa wanakuwa very sensitive na wanashtukia mambo haraka sana.Ina maana kuwa si kwa nguvu zake kuwa hapo bali ni Mungu aliyeamua na kwamba si kwa chuki zenu atatoka bali ni pale Mungu atakapoamua na kama hampendezwi na maamuzi ya Mungu ya kumuweka hapo bali jitwisheni mamlaka ya uungu na mmuue ili atoweke mfurahi.
Ila makamba anawapeleka puta nyie watu si mchezo!!!
Januari ni Kiongozi wa Umma na anatumikia umma kwa nafasi yakeMkewe asije kuwa humu ndani akawa anasoma hizi texts zako....mtagombana sana....🤣🤣🤣🤣🤣wake huwa wanakuwa very sensitive na wanashtukia mambo haraka sana.