Umemaliza kutukana dada yetu au kuna tusi jingine?!!! Kama lipo lilete tu labda itakupunguzia hasira ulizonazo za kuzidiwa akili na uwezo na huyo makamba. Kwa mtazamo wa kawaida tu (sisi watu wazima tunajua) we hauko salama, umeshafumuliwa zamani sana huko kwenye tigo yako......unajaribu kutumia matusi kujuficha ila hakuna kutu huko, kumefumuliwa. Ptuuuuuuuu!Mkewe asije kuwa humu ndani akawa anasoma hizi texts zako....mtagombana sana....🤣🤣🤣🤣🤣wake huwa wanakuwa very sensitive na wanashtukia mambo haraka sana.
wajane gani tenaLabda anamaanisha wajane wamepanga kumuua.
Labda yeye ndio atakuwa anajua alimaanisha niniNimejaribu kutafakari kauli ya Waziri wa Nishati, Januari Makamba aliyotuambia Watanzania wapuuzi tu na kama hatuamini sababu za kukatika umeme na kutokamilika kwa bwawa la nyerere tukamuue imenipa tafakari nyingi sana
Mosi ina maana Makamba anawaita watanzania ni wapuuzi na kamwe hawezi kutoka kwenye kiti alichokalia labda kifo ndio kimuondoe .
Pili ni kosa la jinai kutangaza mauaji kwanini yeye Makamba ametangaza auawawe
Tatu Shughuli za Umma kwanini asifananishe na maisha yake binafsi
Mwisho Mwenye mkataba na wananchi ni Rais wa JMT, H.E Samia Suluhu Hassan yeye Makamba ni hana mkataba na wananchi kwanini afikie hatua ya kuwadharau watanzania
Cc. WASAFI MEDIA
Sidhani kama unatambua unachoandikaIna maana kuwa si kwa nguvu zake kuwa hapo bali ni Mungu aliyeamua na kwamba si kwa chuki zenu atatoka bali ni pale Mungu atakapoamua na kama hampendezwi na maamuzi ya Mungu ya kumuweka hapo bali jitwisheni mamlaka ya uungu na mmuue ili atoweke mfurahi.
Ila makamba anawapeleka puta nyie watu si mchezo!!!
Huyu jamaa naona anazidi kujichanganya. Ngoja tuendelee kusubiri kuna jambo kubwa linakujaNimejaribu kutafakari kauli ya Waziri wa Nishati, Januari Makamba aliyotuambia Watanzania wapuuzi tu na kama hatuamini sababu za kukatika umeme na kutokamilika kwa bwawa la nyerere tukamuue imenipa tafakari nyingi sana
Mosi ina maana Makamba anawaita watanzania ni wapuuzi na kamwe hawezi kutoka kwenye kiti alichokalia labda kifo ndio kimuondoe .
Pili ni kosa la jinai kutangaza mauaji kwanini yeye Makamba ametangaza auawawe
Tatu Shughuli za Umma kwanini asifananishe na maisha yake binafsi
Mwisho Mwenye mkataba na wananchi ni Rais wa JMT, H.E Samia Suluhu Hassan yeye Makamba ni hana mkataba na wananchi kwanini afikie hatua ya kuwadharau watanzania
Cc. WASAFI MEDIA
kabaki kuwa dalali wa gesi ya swahiba wa baba yake.Naona mzimu wa Dkt Magufuli unamtafuna vibaya sana. Ni kukata tamaa tu.
Ukitambua ulichoandika wewe inatosha!Sidhani kama unatambua unachoandika
Ila kwa Magufuli ni jambo dogo..mkuki kwa nguruwe.Kutamka kuuwa siyo jambo dogo
MkuuNimejaribu kutafakari kauli ya Waziri wa Nishati, Januari Makamba aliyotuambia Watanzania wapuuzi tu na kama hatuamini sababu za kukatika umeme na kutokamilika kwa bwawa la Nyerere tukamuue imenipa tafakari nyingi sana
Mosi ina maana Makamba anawaita watanzania ni wapuuzi na kamwe hawezi kutoka kwenye kiti alichokalia labda kifo ndio kimuondoe .
Pili ni kosa la jinai kutangaza mauaji kwanini yeye Makamba ametangaza auawawe
Tatu Shughuli za Umma kwanini asifananishe na maisha yake binafsi
Mwisho Mwenye mkataba na wananchi ni Rais wa JMT, H.E Samia Suluhu Hassan yeye Makamba ni hana mkataba na wananchi kwanini afikie hatua ya kuwadharau watanzania
Cc. WASAFI MEDIA
nchi ngumu sana hiiIna maana kuwa si kwa nguvu zake kuwa hapo bali ni Mungu aliyeamua na kwamba si kwa chuki zenu atatoka bali ni pale Mungu atakapoamua na kama hampendezwi na maamuzi ya Mungu ya kumuweka hapo bali jitwisheni mamlaka ya uungu na mmuue ili atoweke mfurahi.
Ila makamba anawapeleka puta nyie watu si mchezo!!!