Pang Fung Mi
JF-Expert Member
- Nov 10, 2022
- 6,653
- 13,919
Hiyo kauli yake iko wapi sasa?Shalom,
Mungu alituumba kipekee sana na kila mtu ana uhuru wake wa kufikiria aidha kupata, kupambana upate na kupambana usikose.
Juma Nkamia kasema ukweli wake ambao hata katika utawala huu wa Bi Hassan tunayaona mengi sana, yeye mwenyewe alisema ana chawa wake.
Wakati wa hatari kuna namna nyingi za kujiokoa na sio kila mmoja anapaswa kujua uzito na ukubwa wa hatari ambayo mtu anapambana nayo au alipambana nayo.
Hivyo ni heri kunipa uzito kauli ya Juma Nkamia. Kitanda usichalala kunguni wake huwajui tulia.
Tunamshukuru Mama Bi Hassan anatajwa Kila pahala kila Kona
Hayo tu
Wadiz
Shuka kwenye hyo Bodaboda ndio uandike kwa utulivu mkuuShalom,
Mungu alituumba kipekee sana na kila mtu ana uhuru wake wa kufikiria aidha kupata, kupambana upate na kupambana usikose.
Juma Nkamia kasema ukweli wake ambao hata katika utawala huu wa Bi Hassan tunayaona mengi sana, yeye mwenyewe alisema ana chawa wake.
Wakati wa hatari kuna namna nyingi za kujiokoa na sio kila mmoja anapaswa kujua uzito na ukubwa wa hatari ambayo mtu anapambana nayo au alipambana nayo.
Hivyo ni heri kunipa uzito kauli ya Juma Nkamia. Kitanda usichalala kunguni wake huwajui tulia.
Tunamshukuru Mama Bi Hassan anatajwa Kila pahala kila Kona
Hayo tu
Wadiz
Oya unawahi kwa mwamposa au wapi mkuu😂😂😂Shalom,
Mungu alituumba kipekee sana na kila mtu ana uhuru wake wa kufikiria aidha kupata, kupambana upate na kupambana usikose.
Juma Nkamia kasema ukweli wake ambao hata katika utawala huu wa Bi Hassan tunayaona mengi sana, yeye mwenyewe alisema ana chawa wake.
Wakati wa hatari kuna namna nyingi za kujiokoa na sio kila mmoja anapaswa kujua uzito na ukubwa wa hatari ambayo mtu anapambana nayo au alipambana nayo.
Hivyo ni heri kunipa uzito kauli ya Juma Nkamia. Kitanda usichalala kunguni wake huwajui tulia.
Tunamshukuru Mama Bi Hassan anatajwa Kila pahala kila Kona
Hayo tu
Wadiz
Hiyo kauli yake iko wapi sasa?Shalom,
Mungu alituumba kipekee sana na kila mtu ana uhuru wake wa kufikiria aidha kupata, kupambana upate na kupambana usikose.
Juma Nkamia kasema ukweli wake ambao hata katika utawala huu wa Bi Hassan tunayaona mengi sana, yeye mwenyewe alisema ana chawa wake.
Wakati wa hatari kuna namna nyingi za kujiokoa na sio kila mmoja anapaswa kujua uzito na ukubwa wa hatari ambayo mtu anapambana nayo au alipambana nayo.
Hivyo ni heri kunipa uzito kauli ya Juma Nkamia. Kitanda usichalala kunguni wake huwajui tulia.
Tunamshukuru Mama Bi Hassan anatajwa Kila pahala kila Kona
Hayo tu
Wadiz
Ndio chawa hao, wana fikra fupi sana.Hiyo kauli yake iko wapi sasa?
weka uzi unaoeleweka na kila mtu.
Wakati wa hatari gani? Unajua maana ya uongozi? Kufukuzwa uanachama wa chama cha siasa au kuondolewa kwenye cheo ni hatari? Hujui kuwa siasa ni sehemu ya kujitolea kuwatumikia wananchi na muda wowote unaweza kuondolewa? Wananchi mnapokuwa na msimamo finyu namna hii hufanya viongozi wadhani siasa ni ujasiriamali.Shalom,
Mungu alituumba kipekee sana na kila mtu ana uhuru wake wa kufikiria aidha kupata, kupambana upate na kupambana usikose.
Juma Nkamia kasema ukweli wake ambao hata katika utawala huu wa Bi Hassan tunayaona mengi sana, yeye mwenyewe alisema ana chawa wake.
Wakati wa hatari kuna namna nyingi za kujiokoa na sio kila mmoja anapaswa kujua uzito na ukubwa wa hatari ambayo mtu anapambana nayo au alipambana nayo.
Hivyo ni heri kunipa uzito kauli ya Juma Nkamia. Kitanda usichalala kunguni wake huwajui tulia.
Tunamshukuru Mama Bi Hassan anatajwa Kila pahala kila Kona
Hayo tu
Wadiz
Kauli ya Juma Nkamia si ajabu NI vile tu Yeye kasema. Lakini hiyo ni cancer imeenea Serikalini na Watawala wameonyesha kuipenda sana.Shalom,
Mungu alituumba kipekee sana na kila mtu ana uhuru wake wa kufikiria aidha kupata, kupambana upate na kupambana usikose.
Juma Nkamia kasema ukweli wake ambao hata katika utawala huu wa Bi Hassan tunayaona mengi sana, yeye mwenyewe alisema ana chawa wake.
Wakati wa hatari kuna namna nyingi za kujiokoa na sio kila mmoja anapaswa kujua uzito na ukubwa wa hatari ambayo mtu anapambana nayo au alipambana nayo.
Hivyo ni heri kunipa uzito kauli ya Juma Nkamia. Kitanda usichalala kunguni wake huwajui tulia.
Tunamshukuru Mama Bi Hassan anatajwa Kila pahala kila Kona
Hayo tu
Wadiz
Huo hapoHiyo kauli yake iko wapi sasa?
weka uzi unaoeleweka na kila mtu.
Hakika. Zinazalisha vijana wapumbavu wasioweza kufikiri kwa mapanaSiasa za uchawa ni siasa za kipuuzi zikemewe kwa nguvu zote