Axel Norid
Member
- May 21, 2022
- 46
- 92
Inategemea na situation.
Me hii kauli naichukulia fresh tu kama ambavyo me hufanya kwa wengine.
Mimi ikiwa ninazungumza na rafiki na nikapigiwa simu ya kazini, huwa kawaida nitamwambia rafiki yangu. "samahani, naona kazini wanapiga simu, ngoja niwasikilize kisha nakurudia". ama "oya kuna simu hapa naona ya office, ngoja nipokee maramoja then nakurudia"...hapo kwenye polite language inategemea, tumezoeana vip, how comfortable are we for each other.
Ikiwa ninazungumza na simu kazini lakini kuhusu jambo lisilo muhimu sana na ninapata call kutoka kwa rafiki yangu. Namwambia mfanyakazi wangu ama mwenzangu ama boss wangu au ama yoyote hapo kazini. "Samahani, kuna simu inaingia, inaweza kuwa muhimu/emergency ngoja nipokee kisha nakurudia". kisha napokea ya rafiki yangu yule yule ambaye pia nasubilishaga.
So inategemea kulingana na simu ambayo ina uharaka zaidi, ama umuhimu zaidi, lakin siangalii mtu Mimi...unajua kuna zile emergency call lazima nipokee na kumjulisha mwingine nitampigia tena haijarishi ni nani. sasa wewe kisa boss au mtu mwenye hadhi yako lakin ukute tunaongea jambo lisilo muhimu basi niache simu za wengine!, Hapana!,..labda kama anaepiga nae nijue huwa hana jambo la muhimu hapo sawa. lakin sio kwamba eti Hana umuhimu kwangu
Me hii kauli naichukulia fresh tu kama ambavyo me hufanya kwa wengine.
Mimi ikiwa ninazungumza na rafiki na nikapigiwa simu ya kazini, huwa kawaida nitamwambia rafiki yangu. "samahani, naona kazini wanapiga simu, ngoja niwasikilize kisha nakurudia". ama "oya kuna simu hapa naona ya office, ngoja nipokee maramoja then nakurudia"...hapo kwenye polite language inategemea, tumezoeana vip, how comfortable are we for each other.
Ikiwa ninazungumza na simu kazini lakini kuhusu jambo lisilo muhimu sana na ninapata call kutoka kwa rafiki yangu. Namwambia mfanyakazi wangu ama mwenzangu ama boss wangu au ama yoyote hapo kazini. "Samahani, kuna simu inaingia, inaweza kuwa muhimu/emergency ngoja nipokee kisha nakurudia". kisha napokea ya rafiki yangu yule yule ambaye pia nasubilishaga.
So inategemea kulingana na simu ambayo ina uharaka zaidi, ama umuhimu zaidi, lakin siangalii mtu Mimi...unajua kuna zile emergency call lazima nipokee na kumjulisha mwingine nitampigia tena haijarishi ni nani. sasa wewe kisa boss au mtu mwenye hadhi yako lakin ukute tunaongea jambo lisilo muhimu basi niache simu za wengine!, Hapana!,..labda kama anaepiga nae nijue huwa hana jambo la muhimu hapo sawa. lakin sio kwamba eti Hana umuhimu kwangu