Kauli ya kuonja sumu kwa ulimi ni zaidi ya udikteta

Kauli ya kuonja sumu kwa ulimi ni zaidi ya udikteta

Bess

JF-Expert Member
Joined
Oct 4, 2016
Posts
547
Reaction score
656
Ninashangaa chama kinachojiita cha ki-demokrasia, kiongozi wao mkuu anatishia wenzake kwamba wasionje sumu kwa ulimi linapokuja suala la kugusa maslahi yake ndani ya chama.

Ghafla maswali machache yanaibuka:

  • Hicho kikao kilikuwa cha maadui ama ndugu zake katika chama? Kama ni wanachama wenzake, lugha yake kwa adui inakuaje?
  • Kama anafikia kusema hayo wakati hana dola vipi akipata usukani wa vyombo vyote vya dola?
  • Kama anatishia yeyote anayesogelea nafasi yake ambayo ni ndogo tu ya uongozi wa chama, vipi akipewa UAMIRI JESHI MKUU WA MAJESHI YOTE NCHINI?
  • hawa sio wale wanaopiga kelele kila siku kwamba chama tawala hakina demokrasia, wao wanaonesha asubuhi ipi kama mfano wa kuigwa? mbona kwao ni usiku linapokuja suala la uhuru wa kuomba nafasi yoyote ndani ya chama?
  • Hawa sio wale tunaosema ni mbadala wa chama tawala, sasa mbona ni dead-brain katika tabia asili za kidemokrasia?

Kuukubali upinzani Tanzania kwa sasa ni janga ambalo sio tu litapelekea kwenye siasa za kikanda na kikabila, bali zitaua kabisa spirit ya umoja na maendeleo kwa Taifa letu.

Heri tubaki na CCM sababu licha ya mapungufu, wana msamiati wa maendeleo, umoja na amani kwenye kutamka na kutekeleza wanayoamini.
 
Ninashangaa chama kinachojiita cha ki-demokrasia, kiongozi wao mkuu anatishia wenzake kwamba wasionje sumu kwa ulimi linapokuja suala la kugusa maslahi yake ndani ya chama.

Ghafla maswali machache yanaibuka:

  • Hicho kikao kilikuwa cha maadui ama ndugu zake katika chama? Kama ni wanachama wenzake, lugha yake kwa adui inakuaje?
  • Kama anafikia kusema hayo wakati hana dola vipi akipata usukani wa vyombo vyote vya dola?
  • Kama anatishia yeyote anayesogelea nafasi yake ambayo ni ndogo tu ya uongozi wa chama, vipi akipewa UAMIRI JESHI MKUU WA MAJESHI YOTE NCHINI?
  • hawa sio wale wanaopiga kelele kila siku kwamba chama tawala hakina demokrasia, wao wanaonesha asubuhi ipi kama mfano wa kuigwa? mbona kwao ni usiku linapokuja suala la uhuru wa kuomba nafasi yoyote ndani ya chama?
  • Hawa sio wale tunaosema ni mbadala wa chama tawala, sasa mbona ni dead-brain katika tabia asili za kidemokrasia?

Kuukubali upinzani Tanzania kwa sasa ni janga ambalo sio tu litapelekea kwenye siasa za kikanda na kikabila, bali zitaua kabisa spirit ya umoja na maendeleo kwa Taifa letu.

Heri tubaki na CCM sababu licha ya mapungufu, wana msamiati wa maendeleo, umoja na amani kwenye kutamka na kutekeleza wanayoamini.

Usiposikia la mkuu utavunjika guu

Sikio la kufa hujisikii dawa

Mgagaa na upwa hali wali mbavu

Fimbo ya mbali hajuwi nyoka

Bandubandu humaliza gogo

CCM jifunze maudhui ya misemo, nahau ngeli nk ya kiswahili

Msipende kupotosha nje ya malengo ya kilichokusudiwa.

Nikweli usiposikia la mkuu utavunjika guu

Au .....
 
Ninashangaa chama kinachojiita cha ki-demokrasia, kiongozi wao mkuu anatishia wenzake kwamba wasionje sumu kwa ulimi linapokuja suala la kugusa maslahi yake ndani ya chama.

Ghafla maswali machache yanaibuka:

  • Hicho kikao kilikuwa cha maadui ama ndugu zake katika chama? Kama ni wanachama wenzake, lugha yake kwa adui inakuaje?
  • Kama anafikia kusema hayo wakati hana dola vipi akipata usukani wa vyombo vyote vya dola?
  • Kama anatishia yeyote anayesogelea nafasi yake ambayo ni ndogo tu ya uongozi wa chama, vipi akipewa UAMIRI JESHI MKUU WA MAJESHI YOTE NCHINI?
  • hawa sio wale wanaopiga kelele kila siku kwamba chama tawala hakina demokrasia, wao wanaonesha asubuhi ipi kama mfano wa kuigwa? mbona kwao ni usiku linapokuja suala la uhuru wa kuomba nafasi yoyote ndani ya chama?
  • Hawa sio wale tunaosema ni mbadala wa chama tawala, sasa mbona ni dead-brain katika tabia asili za kidemokrasia?

Kuukubali upinzani Tanzania kwa sasa ni janga ambalo sio tu litapelekea kwenye siasa za kikanda na kikabila, bali zitaua kabisa spirit ya umoja na maendeleo kwa Taifa letu.

Heri tubaki na CCM sababu licha ya mapungufu, wana msamiati wa maendeleo, umoja na amani kwenye kutamka na kutekeleza wanayoamini.

Sasa mwanaume mzima unaitisha vyombo vya habari unasema umeambiwa sumu hailambwi kisha unajitoa kwenye chama, angeambiwa alambe sumu si angehama nchi? Mngemuuliza Sumaye toka amekwenda cdm amefungua matawi mangapi ya cdm mpaka autake uwenyekiti wa cdm? Mtu anasema hana tamaa ya madaraka lakini ndani ya miaka minne anataka uwenyekiti, kama sio wendawazimu ni nini?

Lile kosa alilolifanya Mbowe la kumpa nafasi yule mzee mwingine tapeli toka ccm, kugombea urais mpaka saa bado tuna hasira nalo, saa hii huu mzigo mwingine nao unataka uwenyekiti, ili iweje kwa mfano? Mnaweza kupiga propaganda mtakavyo lakini hakuna yoyote anayemtaka Sumaye. Sio wote tunamfagilia Mbowe kuendelea kuwa mwenyekiti wa cdm, lakini hatuko tayari kuona takataka yoyote toka ccm inapewa madaraka makubwa ndani ya cdm. Wao warudi ccm wakaunge mkono juhudi za Magufuli.
 
Ninashangaa chama kinachojiita cha ki-demokrasia, kiongozi wao mkuu anatishia wenzake kwamba wasionje sumu kwa ulimi linapokuja suala la kugusa maslahi yake ndani ya chama.

Ghafla maswali machache yanaibuka:

  • Hicho kikao kilikuwa cha maadui ama ndugu zake katika chama? Kama ni wanachama wenzake, lugha yake kwa adui inakuaje?
  • Kama anafikia kusema hayo wakati hana dola vipi akipata usukani wa vyombo vyote vya dola?
  • Kama anatishia yeyote anayesogelea nafasi yake ambayo ni ndogo tu ya uongozi wa chama, vipi akipewa UAMIRI JESHI MKUU WA MAJESHI YOTE NCHINI?
  • hawa sio wale wanaopiga kelele kila siku kwamba chama tawala hakina demokrasia, wao wanaonesha asubuhi ipi kama mfano wa kuigwa? mbona kwao ni usiku linapokuja suala la uhuru wa kuomba nafasi yoyote ndani ya chama?
  • Hawa sio wale tunaosema ni mbadala wa chama tawala, sasa mbona ni dead-brain katika tabia asili za kidemokrasia?

Kuukubali upinzani Tanzania kwa sasa ni janga ambalo sio tu litapelekea kwenye siasa za kikanda na kikabila, bali zitaua kabisa spirit ya umoja na maendeleo kwa Taifa letu.

Heri tubaki na CCM sababu licha ya mapungufu, wana msamiati wa maendeleo, umoja na amani kwenye kutamka na kutekeleza wanayoamini.
CCM siyo Mungu wa Tanzania ,neno kuonja sumu kwa ulimu linahusika vp na ubora wa Chama?
Mmeshikwa papaya mmejaribu kumnunua Mbowe mkashindwa sasa mmechanganyikiwa, mbwa nyie
 
Mwaka kesho CHADEMA haitakuwa na Mbunge wala Diwani wala mtendaji wa kata hawatapata ruzuku kwa mantiki hiyo kitajifia na kufa kifo cha mende
Aliyekuambia serikali inatoa ruzuku ni nani?
Ruzuku huwa ni Pesa za mabeberu,huwa zinapitia serikalini ,serikali ya kishenzi ya CCM itoe ruzuku kwa upinzani?
Ku*ma kweli wewe
 
Mwaka kesho CHADEMA haitakuwa na Mbunge wala Diwani wala mtendaji wa kata hawatapata ruzuku kwa mantiki hiyo kitajifia na kufa kifo cha mende

Ni hivi kama ni cdm kufa acha ife kuliko kuongozwa na hizo mbolea toka ccm. Tunajitambua na tuna uhakika cdm inaungwa mkono na wananchi, hatujinyenyekezi kwa mtu yoyote yule. Ccm iendelee kutegemea mabavu ya dola na kuongoza nchi kwa kupandikiza hofu kwa wananchi, lakini mabadiliko ya kweli tutayapata tu.
 
Mafiosoo Mbowe Mwacheni huyo ni mtoto wa mjini

Sijaona wa kumrithi Mbowe labda yule Mtoto wake anayesoma Uingereza

Acha mtoto wake, hata mjukuu wake ni poa tu, lakini sio hizo takataka toka ccm. Mngejuwa jinsi hizo takataka toka ccm zilivyotumika kuharibu haiba ya cdm zikiongozwa na Lowassa, msingekuja hapa kutuambia habari za kuwapa ccm madaraka ndani ya cdm. Tupa takataka yoyote ndani ya dustbin.
 
Ninashangaa chama kinachojiita cha ki-demokrasia, kiongozi wao mkuu anatishia wenzake kwamba wasionje sumu kwa ulimi linapokuja suala la kugusa maslahi yake ndani ya chama.

Ghafla maswali machache yanaibuka:

  • Hicho kikao kilikuwa cha maadui ama ndugu zake katika chama? Kama ni wanachama wenzake, lugha yake kwa adui inakuaje?
  • Kama anafikia kusema hayo wakati hana dola vipi akipata usukani wa vyombo vyote vya dola?
  • Kama anatishia yeyote anayesogelea nafasi yake ambayo ni ndogo tu ya uongozi wa chama, vipi akipewa UAMIRI JESHI MKUU WA MAJESHI YOTE NCHINI?
  • hawa sio wale wanaopiga kelele kila siku kwamba chama tawala hakina demokrasia, wao wanaonesha asubuhi ipi kama mfano wa kuigwa? mbona kwao ni usiku linapokuja suala la uhuru wa kuomba nafasi yoyote ndani ya chama?
  • Hawa sio wale tunaosema ni mbadala wa chama tawala, sasa mbona ni dead-brain katika tabia asili za kidemokrasia?

Kuukubali upinzani Tanzania kwa sasa ni janga ambalo sio tu litapelekea kwenye siasa za kikanda na kikabila, bali zitaua kabisa spirit ya umoja na maendeleo kwa Taifa letu.

Heri tubaki na CCM sababu licha ya mapungufu, wana msamiati wa maendeleo, umoja na amani kwenye kutamka na kutekeleza wanayoamini.
KUNA KILA DALILI NA KUNA KILA AINA YA USHAHIDI KUWA MBOWE ANAHUSIKA KATIKA KUPIGWA RISASI KWA MH TUNDU LISU.SERIKALI KAMATENI MBOWE NA MUANZE KUMSHUGHULIKIA MARA MOJA BILA TASHWISHWI NA BILA KUPEPESA MACHO.
 
Ninashangaa chama kinachojiita cha ki-demokrasia, kiongozi wao mkuu anatishia wenzake kwamba wasionje sumu kwa ulimi linapokuja suala la kugusa maslahi yake ndani ya chama.

Ghafla maswali machache yanaibuka:

  • Hicho kikao kilikuwa cha maadui ama ndugu zake katika chama? Kama ni wanachama wenzake, lugha yake kwa adui inakuaje?
  • Kama anafikia kusema hayo wakati hana dola vipi akipata usukani wa vyombo vyote vya dola?
  • Kama anatishia yeyote anayesogelea nafasi yake ambayo ni ndogo tu ya uongozi wa chama, vipi akipewa UAMIRI JESHI MKUU WA MAJESHI YOTE NCHINI?
  • hawa sio wale wanaopiga kelele kila siku kwamba chama tawala hakina demokrasia, wao wanaonesha asubuhi ipi kama mfano wa kuigwa? mbona kwao ni usiku linapokuja suala la uhuru wa kuomba nafasi yoyote ndani ya chama?
  • Hawa sio wale tunaosema ni mbadala wa chama tawala, sasa mbona ni dead-brain katika tabia asili za kidemokrasia?

Kuukubali upinzani Tanzania kwa sasa ni janga ambalo sio tu litapelekea kwenye siasa za kikanda na kikabila, bali zitaua kabisa spirit ya umoja na maendeleo kwa Taifa letu.

Heri tubaki na CCM sababu licha ya mapungufu, wana msamiati wa maendeleo, umoja na amani kwenye kutamka na kutekeleza wanayoamini.
katika uchaguzi Wa mwaka 2020 chadema ikipata wabunge hata watano nitaenda nitajinyonga na kuresti in peace
 
wewe sio chadema kabisa na hupendi Mbowe awe mwenyekiti...

Miaka 4 haimtoshi Sumaye kugombea uenyekiti? katiba ama?

Sumu haionjwi
Sasa mwanaume mzima unaitisha vyombo vya habari unasema umeambiwa sumu hailambwi kisha unajitoa kwenye chama, angeambiwa alambe sumu si angehama nchi? Mngemuuliza Sumaye toka amekwenda cdm amefungua matawi mangapi ya cdm mpaka autake uwenyekiti wa cdm? Mtu anasema hana tamaa ya madaraka lakini ndani ya miaka minne anataka uwenyekiti, kama sio wendawazimu ni nini?

Lile kosa alilolifanya Mbowe la kumpa nafasi yule mzee mwingine tapeli toka ccm, kugombea urais mpaka saa bado tuna hasira nalo, saa hii huu mzigo mwingine nao unataka uwenyekiti, ili iweje kwa mfano? Mnaweza kupiga propaganda mtakavyo lakini hakuna yoyote anayemtaka Sumaye. Sio wote tunamfagilia Mbowe kuendelea kuwa mwenyekiti wa cdm, lakini hatuko tayari kuona takataka yoyote toka ccm inapewa madaraka makubwa ndani ya cdm. Wao warudi ccm wakaunge mkono juhudi za Magufuli.
 
Agenda na Sumaye kushughulikiwa.
Mbowe ni msaada kwa ccm....
Heche na Lissu wangekuwa tishio kwa ccm
CCM siyo Mungu wa Tanzania ,neno kuonja sumu kwa ulimu linahusika vp na ubora wa Chama?
Mmeshikwa papaya mmejaribu kumnunua Mbowe mkashindwa sasa mmechanganyikiwa, mbwa nyie
 
Back
Top Bottom