Kauli ya kuonja sumu kwa ulimi ni zaidi ya udikteta

Kauli ya kuonja sumu kwa ulimi ni zaidi ya udikteta

Sasa mwanaume mzima unaitisha vyombo vya habari unasema umeambiwa sumu hailambwi kisha unajitoa kwenye chama, angeambiwa alambe sumu si angehama nchi? Mngemuuliza Sumaye toka amekwenda cdm amefungua matawi mangapi ya cdm mpaka autake uwenyekiti wa cdm? Mtu anasema hana tamaa ya madaraka lakini ndani ya miaka minne anataka uwenyekiti, kama sio wendawazimu ni nini?

Lile kosa alilolifanya Mbowe la kumpa nafasi yule mzee mwingine tapeli toka ccm, kugombea urais mpaka saa bado tuna hasira nalo, saa hii huu mzigo mwingine nao unataka uwenyekiti, ili iweje kwa mfano? Mnaweza kupiga propaganda mtakavyo lakini hakuna yoyote anayemtaka Sumaye. Sio wote tunamfagilia Mbowe kuendelea kuwa mwenyekiti wa cdm, lakini hatuko tayari kuona takataka yoyote toka ccm inapewa madaraka makubwa ndani ya cdm. Wao warudi ccm wakaunge mkono juhudi za Magufuli.
Lile kosa alilolifanya Mbowe la kumpa nafasi yule mzee mwingine tapeli toka ccm,
[emoji867]
Hili sio kosa kwa mbowe ni biashara yake hiyo unadhani aillingia bure alishavutwa mpunga wa kutosha maana ya mbowe mtoto wa mjini ndo hii
 
Mku kwani huko hamutaki nguvu mpya? Unahitajika ubunifu pia katika kuendesha chama hasa kile cha Demokrasia. Yani hapo ndo kuna transparency.

Nguvu mpya ndio Sumaye? Mbowe ana 58 sasa na hata yeye tunaona hafai, huku Sumaye ana 65+, hapo kuna nguvu mpya? Cdm haina wodi ya diabetics tafadhali.
 
Lile kosa alilolifanya Mbowe la kumpa nafasi yule mzee mwingine tapeli toka ccm,
[emoji867]
Hili sio kosa kwa mbowe ni biashara yake hiyo unadhani aillingia bure alishavutwa mpunga wa kutosha maana ya mbowe mtoto wa mjini ndo hii

Hilo la kuvuta mpunga wala halina mjadala, lakini alipaswa kuangalia na mpunga wa kuvuta, as a result kuna watu hatutaki kumuona wala kusikia anataka kuendelea kuwa mwenyekiti.
 
Sasa mwanaume mzima unaitisha vyombo vya habari unasema umeambiwa sumu hailambwi kisha unajitoa kwenye chama, angeambiwa alambe sumu si angehama nchi? Mngemuuliza Sumaye toka amekwenda cdm amefungua matawi mangapi ya cdm mpaka autake uwenyekiti wa cdm? Mtu anasema hana tamaa ya madaraka lakini ndani ya miaka minne anataka uwenyekiti, kama sio wendawazimu ni nini?

Lile kosa alilolifanya Mbowe la kumpa nafasi yule mzee mwingine tapeli toka ccm, kugombea urais mpaka saa bado tuna hasira nalo, saa hii huu mzigo mwingine nao unataka uwenyekiti, ili iweje kwa mfano? Mnaweza kupiga propaganda mtakavyo lakini hakuna yoyote anayemtaka Sumaye. Sio wote tunamfagilia Mbowe kuendelea kuwa mwenyekiti wa cdm, lakini hatuko tayari kuona takataka yoyote toka ccm inapewa madaraka makubwa ndani ya cdm. Wao warudi ccm wakaunge mkono juhudi za Magufuli.
Na mtaishia kuwa wapinza daima kwa upumbavu wenu. Uchaguzi wa mwakani mkipata hata viti vitano nahama nchi.
 
Na mtaishia kuwa wapinza daima kwa upumbavu wenu. Uchaguzi wa mwakani mkipata hata viti vitano nahama nchi.
Mku viti vitano navyo lazima watwambie watatufanyia nini sisi wananchi wa kawaida huko vijijini. Wakija na ahadi za kutaka eti tuwape wapiganie Katiba mpya mara eti Tume huru ya Uchaguzi hata hivyo viti 5 vitapatikana kwa MBINDE. Waje na sera zinazosomeka kama zamani 2015 hoja nzito nzito ndo maana hata hizo kura 6 million zilipatikana na wabunge kibao wakaongezeka kwa upinzani. Lazima 2020 waje kimukakati.
 
Kutenda kosa sio kosa bali kurudia kosa.
...kwaiyo kosa mmekitambua baada ya kuleta makapi yakavuruga chama au basi kama mnakili kosa muombeni Dr slaa na wapenda mabadiliko wa kweli kama sisi samahani kwa kutuletea oil chafu 2015
 
Na mtaishia kuwa wapinza daima kwa upumbavu wenu. Uchaguzi wa mwakani mkipata hata viti vitano nahama nchi.

Uwezo wa kupata viti vya kutosha tunao na uhakika huo upo, tena sio viwili tu bali vya kumwaga. Ila huo uchaguzi wa Magufuli ni sawa na kupindua nchi, kiongozi anayeyejisifia kuongoza chama imara ananajisi box la kura ili wagombea wake wapite bila kupigiwa kura zaidi ya 80%, hapo unaweza kusimama na kuongea mbele ya wanaume kwamba wapinzani hawatapata hata viti viwili? Kwenye serikali za kijeshi kina uchaguzi?
 
...kwaiyo kosa mmekitambua baada ya kuleta makapi yakavuruga chama au basi kama mnakili kosa muombeni Dr slaa na wapenda mabadiliko wa kweli kama sisi samahani kwa kutuletea oil chafu 2015

Tukuombe msamaha ww au Dr. Slaa nyie kama nani? Kosa la kumpokea Lowassa tuko tuliopiga kelele toka siku ya kwanza mpaka juzi aliporudi ccm, na huyo Mbowe tunampa ukweli wake kuwa pale alichemsha na sasa akae kushoto kwenye cheo cha uenyekiti. Na hakuna popote tulipowahi kupongeza upuuzi ule wa kumpokea Lowassa. Lakini hata hivyo Mabadiliko ya kweli ulikuwa unasubiri uletewe na cdm tu? Ungeweza kuanzisha chama chako ww na Dr. Slaa mkaleta hayo mabadiliko ya kweli. Kumbuka Slaa hakufukuzwa na yoyote bali aliondoka kwa kuzira, japo wengi hutukuafiki kukatwa kwake kwani alikuwa mgombea sahihi wa cdm.
 
Ni kweli, hata mjukuu wake ni shega tu, lakini Sumaye atasubiri sana.
Kawaachia Saccos yenu,kwa hali hii hamtakaa mshinde Urais. Be warned,mwakani hampati mbunge hata mmoja. Ruzuku bye bye.
 
Kawaachia Saccos yenu,kwa hali hii hamtakaa mshinde Urais. Be warned,mwakani hampati mbunge hata mmoja. Ruzuku bye bye.

Acha urais ama ubunge, hata cdm ikifutwa poa tu lakini hatuwezi kuikubali ccm wala Magufuli. Kwani Sumaye alipokuwepo alikuwa na msaada gani useme hivi sasa ndio cdm itapoteza? Toka amekuja Magufuli ananajisi box la kura kimachomacho na hajawahi kufanya lolote, mikutano imezuiwa nchi nzima na Ametii kama zoba, juzi uchaguzi wa serikali za mitaa umebakwa waziwazi na hajafanya lolote. Isitoshe hapo alipo yeye mwenyewe mali zake za wizi zimetaifishwa na hajafanya lolote ndio ataisaidia cdm? Muulize alifungua matawi mangapi cdm ambapo akiondoka yatakufa? Kama mlitegemea cdm itatetemeka kwa Sumaye kuondoka basi mmechemsha, hapa tulipo tunakunywa bia kwa raha zetu huyo boya kaondoka.

Kuna hicho kitisho mnachotumia eti 2020 cdm haitapata hata kiti kimoja, ingekuwa haitapata kwa kuwa kuna uchaguzi wa ukweli na ccm inakubalika na wananchi kuliko cdm hapo ingetuumiza, lakini hiyo ya ccm kupita bila kupingwa wala hatutingishiki. Kwa hiyo 2020 sio Magufuli na ccm kujitangaza washindi tu, bali agaie hata familia yake vyeo vyote vya juu, na akiona hajafurahi aseme kuanzia saa kumi na mbili jioni ni marufuku kutoka nje kama huna kadi ya ccm. Lakini hatuwezi kuikubali ccm wala kumsujudia yeye.
 
Mbowe na genge lake wameicheza vibaya hii episode. Logically wanachama wapiga kura kwa akili ya kawaida sana ingekuwa ngumu kumchagua Sumaye kuwa Mwenyekiti. Kwao huyu bado ana chembechembe za CCM, kakulia huko, kawa PM kwa 10 years na bado analindwa na TISS ambao kimsingi ni wanachama hai wa CCM

Ingekuwa labda Mbowe anapambana na Sugu au Mnyika au Heche (wanaoaminika kuwa CHADEMA asili), hapo hofu ingekuw justified. Sasa kwa ujuha wa wanachama na wapambe wa Mbowe ambao wanaamini eti kuonyesha nia ya kumchallenge Mwamba wao ni kosa la jinai,ni kama wamehalarisha huo umangi na unkurunzinza wa Mbowe. Wangeacha fitna na vitisho vya wazi ili mzee aingie kwenye barrot na kupigwa fairly
 
Mbowe na genge lake wameicheza vibaya hii episode. Logically wanachama wapiga kura kwa akili ya kawaida sana ingekuwa ngumu kumchagua Sumaye kuwa Mwenyekiti. Kwao huyu bado ana chembechembe za CCM, kakulia huko, kawa PM kwa 10 years na bado analindwa na TISS ambao kimsingi ni wanachama hai wa CCM

Ingekuwa labda Mbowe anapambana na Sugu au Mnyika au Heche (wanaoaminika kuwa CHADEMA asili), hapo hofu ingekuw justified. Sasa kwa ujuha wa wanachama na wapambe wa Mbowe ambao wanaamini eti kuonyesha nia ya kumchallenge Mwamba wao ni kosa la jinai,ni kama wamehalarisha huo umangi na unkurunzinza wa Mbowe. Wangeacha fitna na vitisho vya wazi ili mzee aingie kwenye barrot na kupigwa fairly
Ndio maana napata wakati mgumu kuamini maneno ya Sumaye,
Hoja zake hazina mantiki, inawezekana hata angeshinda kanda akashindwa taifa bado angelalamikia figisu
 
Back
Top Bottom