Kauli ya kuonja sumu kwa ulimi ni zaidi ya udikteta

Kauli ya kuonja sumu kwa ulimi ni zaidi ya udikteta

KUNA KILA DALILI NA KUNA KILA AINA YA USHAHIDI KUWA MBOWE ANAHUSIKA KATIKA KUPIGWA RISASI KWA MH TUNDU LISU.SERIKALI KAMATENI MBOWE NA MUANZE KUMSHUGHULIKIA MARA MOJA BILA TASHWISHWI NA BILA KUPEPESA MACHO.
Upuuzi kamq huu hata mama yako hakuungi mkono, kaa na wapumbavu wenzio mchekelee.
 
wewe sio chadema kabisa na hupendi Mbowe awe mwenyekiti...

Miaka 4 haimtoshi Sumaye kugombea uenyekiti? katiba ama?

Sumu haionjwi

Mimi ni shabiki wa kutupwa wa cdm, ila sikubaliani na kiongozi wa aina yoyote ile duniani kukaa madarakani zaidi ya miaka kumi, iwe Mbowe au Magufuli, siwezi kukubali hilo na kwa utetezi wa aina yoyote ile.

Sumaye apewe uenyekiti wa cdm kwa kukaa miaka minne ndani ya cdm? Amefungua matawi mangapi toka amekuja cdm? Sasa kama mwanaume mzima anaambiwa sumu haionjwi kwa kuilamba anajitoa kwenye chama, je akipimwa mkojo na vyombo vya dola si atakimbia nchi kabisa? Arudi haraka ccm kwenye siasa za mbeleko.
 
be honest... wewe ni chadema...
Sio shabiki wala half mpenzi wa chadema.

Mawazo mazuri against Sumaye yaje kwenye chaguzi huru na sio kushughulikiwa.

Mimi ni shabiki wa kutupwa wa cdm, ila sikubaliani na kiongozi wa aina yoyote ile duniani kukaa madarakani zaidi ya miaka kumi, iwe Mbowe au Magufuli, siwezi kukubali hilo na kwa utetezi wa aina yoyote ile.

Sumaye apewe uenyekiti wa cdm kwa kukaa miaka minne ndani ya cdm? Amefungua matawi mangapi toka amekuja cdm? Sasa kama mwanaume mzima anaambiwa sumu haionjwi kwa kuilamba anajitoa kwenye chama, je akipimwa mkojo na vyombo vya dola si atakimbia nchi kabisa? Arudi haraka ccm kwenye siasa za mbeleko.
 
Chadema iliondokaga na Dr. Slaa, hii ya Mbowe genge tu, muulizeni je sasa anaelewa maana ya liability? Wanachama washabiki wake nadhani vichwa vyao vina matatizo
...kweli mkuu walipapatikia makapi ya ccm na kumtukana kamanda wa kweli dr slaa leo hii wanaona aibu mpaka mr ziro kachana mkeka 🤣🤣🤣🏃
 
Mimi ni shabiki wa kutupwa wa cdm, ila sikubaliani na kiongozi wa aina yoyote ile duniani kukaa madarakani zaidi ya miaka kumi, iwe Mbowe au Magufuli, siwezi kukubali hilo na kwa utetezi wa aina yoyote ile.

Sumaye apewe uenyekiti wa cdm kwa kukaa miaka minne ndani ya cdm? Amefungua matawi mangapi toka amekuja cdm? Sasa kama mwanaume mzima anaambiwa sumu haionjwi kwa kuilamba anajitoa kwenye chama, je akipimwa mkojo na vyombo vya dola si atakimbia nchi kabisa? Arudi haraka ccm kwenye siasa za mbeleko.
...leo umetema madini hongera sana
 
Mimi ni shabiki wa kutupwa wa cdm, ila sikubaliani na kiongozi wa aina yoyote ile duniani kukaa madarakani zaidi ya miaka kumi, iwe Mbowe au Magufuli, siwezi kukubali hilo na kwa utetezi wa aina yoyote ile.

Sumaye apewe uenyekiti wa cdm kwa kukaa miaka minne ndani ya cdm? Amefungua matawi mangapi toka amekuja cdm? Sasa kama mwanaume mzima anaambiwa sumu haionjwi kwa kuilamba anajitoa kwenye chama, je akipimwa mkojo na vyombo vya dola si atakimbia nchi kabisa? Arudi haraka ccm kwenye siasa za mbeleko.
hello kama mliweza kumpa lowassa dhamana kubwa nchini ya kugombeea Uraisi kwa tiketi ya CDM na alikuwa na miezi tu kwa nn sumaye asipewe nafasi ya kuwa mwenyekiti baada ya miaka minne
 
hello kama mliweza kumpa lowassa dhamana kubwa nchini ya kugombeea Uraisi kwa tiketi ya CDM na alikuwa na miezi tu kwa nn sumaye asipewe nafasi ya kuwa mwenyekiti baada ya miaka minne
Kwanini hampi Membe uenyekiti wa Ccm?
 
be honest... wewe ni chadema...
Sio shabiki wala half mpenzi wa chadema.

Mawazo mazuri against Sumaye yaje kwenye chaguzi huru na sio kushughulikiwa.

Sijawahi miliki kadi yoyote ya chama cha siasa, lakini cdm nimekuwa nikiipa support ya hali na mali, na watu Kibao wameikubali na kuipa cdm kura kwa ushawishi wangu. Lakini sihitaji kadi yao wala ya chama chochote cha siasa hasa ccm, narudia tena hasa kadi ya chama cha maibilisi ccm.

Ni hivi, Sumaye hawezi siasa za ushindani kwani alitoka ccm kwenye siasa za mbeleko ya vyombo vya dola na tume ya uchaguzi, hivyo anapokutana na ushindani halisi wa kisiasa hawezi kutoboa. Ingekuwa kwenye uchaguzi kulitokea vurugu ili kuhujumu box la kura hapo utetezi wake ungekuwa na mashiko. Au tungeona box la kura likitolewa nje ya chumba cha kura kisha kwenda kupunguza kura zake, hapo angekuwa na Utetezi wenye mashiko. Hilo neno kushughulikiwa analitumia kuficha aibu ya kushindwa.

Kama alitegemea atashinda kwa upendeleo basi ameumia, yeye arudi ccm ili arudishiwe mali zake za wizi alizopata akiwa madarakani. Mpigie simu kisha muulize alifungua matawi mangapi ya cdm toka alipojiunga, akikupa hiyo idadi uje umtetee. Anataka kuchuma kwenye shamba walilolima wanaume wenzake, aende ACT , ama arudi ccm, au aanzishe chama chake awe mwenyekiti kama Zito fullstop.
 
hello kama mliweza kumpa lowassa dhamana kubwa nchini ya kugombeea Uraisi kwa tiketi ya CDM na alikuwa na miezi tu kwa nn sumaye asipewe nafasi ya kuwa mwenyekiti baada ya miaka minne

Kutenda kosa sio kosa bali kurudia kosa.
 
Kwa anayejua uchaguzi wa mwenyekiti wa CCM Taifa umefanyika lini mara ya mwisho hapa Tanzania atuambie.
 
Sasa mwanaume mzima unaitisha vyombo vya habari unasema umeambiwa sumu hailambwi kisha unajitoa kwenye chama, angeambiwa alambe sumu si angehama nchi? Mngemuuliza Sumaye toka amekwenda cdm amefungua matawi mangapi ya cdm mpaka autake uwenyekiti wa cdm? Mtu anasema hana tamaa ya madaraka lakini ndani ya miaka minne anataka uwenyekiti, kama sio wendawazimu ni nini?

Lile kosa alilolifanya Mbowe la kumpa nafasi yule mzee mwingine tapeli toka ccm, kugombea urais mpaka saa bado tuna hasira nalo, saa hii huu mzigo mwingine nao unataka uwenyekiti, ili iweje kwa mfano? Mnaweza kupiga propaganda mtakavyo lakini hakuna yoyote anayemtaka Sumaye. Sio wote tunamfagilia Mbowe kuendelea kuwa mwenyekiti wa cdm, lakini hatuko tayari kuona takataka yoyote toka ccm inapewa madaraka makubwa ndani ya cdm. Wao warudi ccm wakaunge mkono juhudi za Magufuli.
Mku kwani huko hamutaki nguvu mpya? Unahitajika ubunifu pia katika kuendesha chama hasa kile cha Demokrasia. Yani hapo ndo kuna transparency.
 
Kwa anayejua uchaguzi wa mwenyekiti wa CCM Taifa umefanyika lini mara ya mwisho hapa Tanzania atuambie.
Swali rahisi kabisa hata mshika mkia darasani ndo swali la kujidai nalo. Mwisho ilikuwa mwaka 2015 na kila baada ya miaka 10 anapatikana Mwenyekiti mpya kabisa tangu enzi ya Rais Mwinyi
 
Back
Top Bottom