Kauli ya kuonja sumu kwa ulimi ni zaidi ya udikteta

Bahati nzuri sana hakuna chama kingine ambacho ni cha raia na kina taasisi kama CCM
 
Suala sio Sumaye, kama jamaa anatema sumu ni hatarr kwa kila mwenye mawazo ya kutaka u'enyekiti

Anzisha chama chako uumpe uenyekiti umtakaye.
 
Ww umeanzisha ukampa nani umtakaye?

Sina tatizo na wenye vyama vyao kukaa nafasi wazitakazo. Siku nikitaka hizo nafasi zao wakagoma, hapo nitaanzisha chama changu.
 
Sina tatizo na wenye vyama vyao kukaa nafasi wazitakazo. Siku nikitaka hizo nafasi zao wakagoma, hapo nitaanzisha chama changu.
Good
 
To be honestly hii mada ilikuwa na ujumbe mzuri, sema wengi hawakuielewa mapema.
 
Sina tatizo na wenye vyama vyao kukaa nafasi wazitakazo. Siku nikitaka hizo nafasi zao wakagoma, hapo nitaanzisha chama changu.
Lisu angekuwa na wazo kama lako kitambo angeanzisha chama chake, maanake huko anapotaka kugombea ni kama vile tayari ashatengenezewa mazingira ya kushindwa kupitia chawa wa mwenyekiti kabla hata ya kuanza mchakato wa uchaguzi.
 
Imepita miaka mingi kidogo japo naona hili andiko linaishi
 
Umejuaje kama atagombea tena au atastaafu,
Ikitokea akastaafu utarudi kuandika Uzi wa ku apologize
 
Exactly
Hakuna vyama vingi Tanzania kuvikubali ilikuwa in chenga ya mwili dhidi ya mabeberu. Ingawa watu wengi walipiga kura ya kuvikataa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…