mangichogo
JF-Expert Member
- Oct 30, 2023
- 837
- 1,482
Afadhali Tundu Lissu ametuondolea sanana ya Yanga kutolewa kwenye CAFCL
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wamejifunika shuka nyeusi kwa aibu.
Nimekumbuka ulisimama na Lissu na kusema hesabu iko vizuri na majira yataongea , kikubwa mmetoa funzo la demokrasia na sio ushamba na maigizo ya kuiba Kura na kukandamiza wengine hongereniHongereni sana ndugu zetu Tundu Lissu na John Heche...
Kwa ushindi wenu huu, hamwezi kujua ni kwa kiasi gani mmeamusha ARI na HAMASA mpya kabisa ya kukiunga mkono chama chenu kwa HALI NA MALI ZETU...
AMA kweli wajumbe siyo watu!Tundu Lissu - Mwenyekiti mpya CHADEMA 2025 - 2029
John Heche Makamu Makamu Mwenyekiti mpya 2025 - 2029
Hongereni sana ndugu zetu Tundu Lissu na John Heche.
Pia soma Pre GE2025 - Freeman Mbowe akubali kushindwa, awapongeza Lissu na Heche kwa ushindi
Kwa ushindi wenu huu, hamwezi kujua ni kwa kiasi gani mmeamusha ARI na HAMASA mpya kabisa ya kukiunga mkono chama chenu kwa HALI NA MALI ZETU...
Tupo pamoja..
Ile propaganda ya chama cha wachaga imekufa.Yaani combination ya Lissu na Heche sio mchezo
Hahahahaaaa, kama kweli upande wa pili walitoa fungu, hii wamefanywa mazoba.AMA kweli wajumbe siyo watu!
Acha nongwa.Sasa mjipange, acheni kijisifia
Ongeza hapo na LemaYaani combination ya Lissu na Heche sio mchezo
Hapana, nipo ila nilikuwa timu Mbowe! Tumepigwa na wajumbe!Hahahahaaaa, kama kweli upande wa pili walitoa fungu, hii wamefanywa mazoba.
Halafu mkuu Manjagata ulihama lini CDM?
Wamewapiga chenga ya mwiliIle propaganda ya chama cha wachaga imekufa.
Sijui Wassira atakuja na propaganda gani!
Basi mkuu nakushauri tumuunge mkono Lissu.Hapana, nipo ila nilikuwa timu Mbowe! Tumepigwa na wajumbe!
Hawatakosa cha kusema ngoja tusubiri, ccm akili zao zipo tumboniIle propaganda ya chama cha wachaga imekufa.
Sijui Wassira atakuja na propaganda gani!
Wajumbe sio watu poa, Lissu HoyeeeeHapana, nipo ila nilikuwa timu Mbowe! Tumepigwa na wajumbe!