Kauli ya "Mama anaupiga mwingi" Ilianzishwa na Wapinzani

Tena aliianzisha Lema akiwa ukimbizini alikokimbilia kuepuka madeni za zaidi ya mil 600. Yaani iko hivi, Lema baada ya dili ujambazi na wizi wa magari, alisunda kama mil 600 akakopa na kuwekeza kwenye forex, zikatapeliwa zote akaanza kuhaha
 
Lisu aliwatahadhalisha wavute subra kwanza kabda ya kusifu
 
Hii kauli ilianzishwa na Godlisten Malisa na kina Lema wakifikiri wanamkomoa marehemu.

Kuna watu wapumbavu dunia hii
[emoji23][emoji23][emoji23]
Sisi tunachofurai mhutu yuko motoni
 
Hata sukuma gang
 
Mwingine huyu, hawa watu ni wapuuiz sana
 
Hayo ni mambo yenu wenyewe huko CCM vita baina ya Sukuma Gang na Msoga Gang, ila mna kawaida kila mkivurugana lazima muisingizie Chadema. Sisi katika hii vita yenu hatuna upande kazi yetu ni kuchochea kuni ili muuane kabisa kwa vile nyie ni hayawani kwenu ni mwituni tu.
 

Mkuu mbona unaniingiza Kwa walamba Asali Wakati Mimi nilienda tuu kutoa Mahari?😄
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…