Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii kauli mbona kama vile inazidi kutuchafua huwenda alikua na mawazo mazuri lakino uwasilishaji umekua mbovu
View attachment 2270389
Alitaka kufanya utani wa Simba na Yanga lakini bahati mbaya amepitia njia mbovuHii kauli mbona kama vile inazidi kutuchafua huwenda alikua na mawazo mazuri lakino uwasilishaji umekua mbovu
View attachment 2270389
Huyu bado anakiburi snMwalimu Nyerere aliwahi kusema ubaguzi ni kama kula nyama ya binadamu ukianza mara moja huachi huyu ndiye alikiri kutoa rushwa kuwanunua madiwani wa upinzani pale Arusha. Hawa ndiyo vile vikundi vya kudhalilisha na kutesa watu ule mfumo bado upo kichwani mwao.
Kujenga diplomasia ni gharama kuiharibu ni mara moja huyu avuliwe ubunge kuitia doa sera yetu ya Diplomasia.
Huyu ana masters, Msukuma na Kishimba hawana lakini kwanini hoja zao zina nguvu?Nadhani wabunge angalau wawe na degree
Basi kuna tatizo kubwa sana.Huyu ana masters, Msukuma na Kishimba hawana lakini kwanini hoja zao zina nguvu?
Kufaulu darasani na uraiani ni vitu viwili tofauti snBasi kuna tatizo kubwa sana.
Ni mlevi kupita kiasi huenda pombe inasumbua kichwaniHuyo mbunge ni kichaa, awahishwe mirembe.
Huu ndo ukweli! Ujinga huu wa kusaidia nchi jirani hata Nyerere aliufanya lakini hakuna tulichopata! Hata Marekani wanakusaidia wakiwa na masrahi na wewe! Sie tunasaidia tu lakini nothing we gain!Hii kauli mbona kama vile inazidi kutuchafua huwenda alikua na mawazo mazuri lakino uwasilishaji umekua mbovu
View attachment 2270389
Nadhani wabunge angalau wawe na degree
Mnyeti zao la Mwendazake 2025 kunako maajaliwa wajinga wajinga wote fyekelea mbalifala uyu