Kauli ya Mbunge Mnyeti mnaitafsirije?

Kauli ya Mbunge Mnyeti mnaitafsirije?

na ww ni mjinga
Uko sahihi! Ila nikwambie tu hakuna kitu tunapata kutokana na kufanya ulinzi wa amani! Nikupoteza vijana wetu kwenye mambo yasiyo ya msingi! Ushawahi kujiuliza kwa nini Mexico the drug nation ajabu lakini marekani hahangaiki nao! Congo ni wapuuzi sana hususani ikitokea uko kwao wanasumbua na hawana habari kama tunawasaidia!
 
Ni aina ya kuutweza utu wa wengine, nafikiri kulikuwa na namna nzuri ya kueleza kwa staha kuliko hivi.
 
Tatizo hamtaki ukweli huu ujinga hata mimi sikubaliani nao! Hata Nyerere aliufanya akiamini Africa itakuwa moja! At the end ulikuwa upumbavu na hata ukienda huko South Africa hawakutambui wala kukuheshimu!
 
Huu ndo ukweli! Ujinga huu wa kusaidia nchi jirani hata Nyerere aliufanya lakini hakuna tulichopata! Hata Marekani wanakusaidia wakiwa na masrahi na wewe! Sie tunasaidia tu lakini nothing we gain!
Statehood ni sawa sawa na familia

Hii coment yako inaonyesha jinsi ulivyo mtu wa hovyo, mbinafsi ambaye upo karibu na famila yako na wengine unawaona kama kenge tuu

Inonyesha , hata jirani yako akivamiwa na majambazi akapiga mwano huwezi kwenda kutoa msaada kwa sababu sii kwako, na unaofia labda wale majambazi wanaweza kukudhuru, Lakini wewe ukipata janga unapiga kelele zinakwenda mpaka kijiji cha pili, aje nani wakati wewe wenzako yakiwakuta hotokei unachungulia dirishani tuu, hovyo kabisa

Hata kwenye mataifa, kuna kumjali mwenzako anapopata tatizo unatoka kwenda kumsaidia mwenzako aliye na shida, kuna ongeza trust, umoja na undugu na jamii ya kimataifa inakuweka katika orodha ya mataifa yaliostaarabika na yenye kiwango kikubwa cha diplomasia na kujali utu wa b inaadamu, hilo Tanzania tunalo siku nyingi na limeijengea nchi yetu heshima kubwa ya kimataifa.

Ndio maana hata leo taifa lolote likijifanya kunyanyua mkono dhidi ya taifa letu , watashambuliwa kila kona ya dunia kwa sababu ya mbegu ambayo nchi yetu imeipanda kimataifa kwa kupigania utu wa binaadamu popote pale duniani bila kujali
 
Hii kauli mbona kama vile inazidi kutuchafua huwenda alikua na mawazo mazuri lakino uwasilishaji umekua mbovu
View attachment 2270389
Apana uyo ni mbunge wa hovyo na mawazo yake ni ya hovyo mno huwezi kuwa mwakilishi wa wananchi bungeni alafu ukaenda kuongea upupu kama huu ikiwa jimboni kwake ni 2% tu ya wananchi wa jimbo lake wanaopata maji safi na salama kaongea mbunge lakini aibu naona mimi!!
 
Safi sana. Kauli za kupasua majipu hizi — hakuna kubembelezana bembelezana.

Hatuwezi kupeleka ndugu zetu kupambana vita za wajinga.

Huyo Tshesekedi sijui shesekedi ndio kibaraka mkuu wa mabeberu. Anawaingiza wenzie mkenge huku nyuma ya pazia anawang'ong'a.

Tena hapo mnyeti ameongea kiupole sana, alitakiwa kupasua jipu kwa bisibisi.
 
Statehood ni sawa sawa na familia

Hii coment yako inaonyesha jinsi ulivyo mtu wa hovyo, mbinafsi ambaye upo karibu na famila yako na wengine unawaona kama kenge tuu

Inonyesha , hata jirani yako akivamiwa na majambazi akapiga mwano huwezi kwenda kutoa msaada kwa sababu sii kwako, na unaofia labda wale majambazi wanaweza kukudhuru, Lakini wewe ukipata janga unapiga kelele zinakwenda mpaka kijiji cha pili, aje nani wakati wewe wenzako yakiwakuta hotokei unachungulia dirishani tuu, hovyo kabisa

Hata kwenye mataifa, kuna kumjali mwenzako anapopata tatizo unatoka kwenda kumsaidia mwenzako aliye na shida, kuna ongeza trust, umoja na undugu na jamii ya kimataifa inakuweka katika orodha ya mataifa yaliostaarabika na yenye kiwango kikubwa cha diplomasia na kujali utu wa b inaadamu, hilo Tanzania tunalo siku nyingi na limeijengea nchi yetu heshima kubwa ya kimataifa.

Ndio maana hata leo taifa lolote likijifanya kunyanyua mkono dhidi ya taifa letu , watashambuliwa kila kona ya dunia kwa sababu ya mbegu ambayo nchi yetu imeipanda kimataifa kwa kupigania utu wa binaadamu popote pale duniani bila kujali
Acha kujiliza liza.

Congo ni kitovu cha mabeberu na vibaraka wake.

Hatuwezi kupigana vita za wendawazimu.
 
Nanukuu
Vijana wetu wanaenda kupigana vita zao halafu WANARUDI wamekufa”

Kweli kuwa mbunge huhitaji kusoma kabisa
Sijamuelewa kabisa na ni mchonganishi hafai kuwa hapo alipo
 
Hii kauli mbona kama vile inazidi kutuchafua huwenda alikua na mawazo mazuri lakino uwasilishaji umekua mbovu
View attachment 2270389
Kuna eneo la kufanya utani na kuna issue za kujadili kwa kina. sasa sioni ubaya wowote wa mcheza mprira kutafuta riziki yake kihalali au kwa kufunga asishangilie. inamaana nchi zote zenye matatizo wananchi wake hawana haki ya kufanya shughuli zingine za kiuchumi? yaani alitaka ndugu zetu wakongo waondoke hapa kweli? Mayele ni mcheza mpira siyo mwanajeshi afadhali angesema wanajeshi wa kongo wanakula raha huku wanajeshi wa Tanzania wanapigana hapo sawa.Ningekuwa spika ningemwambia afute kauli aisee hii ni kali
 
Back
Top Bottom