Ujinga sio tusi bali na hali kutokujua jambo fulani. Kila mtu mjinga kwa jambo fulani. Ujinga sio upumbavuNimemsikia mbunge wa Mbeya mjini Joseph Mbilinyi aka Sugu kupitia ayo tv akidai alipigiwa simu na Katibu mkuu wa CCM Dr Bashiru Ally ili ajiunge nao lakini amemkatalia.
Sugu amedai kuwa sura yake siyo ya CCM na kwamba wanaohamia chama tawala ni wale Wajinga wajinga.
Hizi lugha za kihuni hazipaswi kutumiwa na wabunge wamwachie Hajji Manara.
Maendeleo hayana vyama!
Pascal Mayalla unasimamia maneno yako? Nani mwenye jeuri ya kuacha marupurupu baada ya kutumikia ubunge/udiwani kwa miaka minne eti kisa amejitambua na kuamua kurudi chama mbadala ambacho kwa vyovyote atapoteza haki zake zote alizotumikia kwa miaka minne? Nakuelewa sana ila; Je, inaingia akilini?Alichosema Sugu, kama ni kweli wanatongozwa na wao kukubali, hao ni malaya wa kisiasa na wanachofanya ni tabia ya umalaya malaya alioizungumzia Baba wa Taifa.
Ila sio wote wanaohamia CCM wametongozwa, kuna wengine ni wamejitambua, hawa waliojitambua, wasibezwe!.
Wanaohamia CCM wasibezwe! Wanaona mbali, 2020 Majimbo yote kurejeshwa. Je, tunarejea nchi ya chama kimoja?
Wanabodi. Hili ni bandiko la swali kuhusu Trend Reading. Wanaohamia CCM Wasibezwe, Wanaona Mbali, 2020 Majimbo Yote Kurejeshwa?, Jee Tunarejea Kuwa Nchi Chama Kimoja? Trend reading sio utabiri, bali ni matumizi ya analitical na logical thinking kwa kila jambo lililofanyika huangalii tuu hilo...www.jamiiforums.com
P
Ile lugha ya Mkapa kwa wapinzani ilikuwa nzuri?Nimemsikia mbunge wa Mbeya mjini Joseph Mbilinyi aka Sugu kupitia ayo tv akidai alipigiwa simu na Katibu mkuu wa CCM Dr Bashiru Ally ili ajiunge nao lakini amemkatalia.
Sugu amedai kuwa sura yake siyo ya CCM na kwamba wanaohamia chama tawala ni wale Wajinga wajinga.
Hizi lugha za kihuni hazipaswi kutumiwa na wabunge wamwachie Hajji Manara.
Maendeleo hayana vyama!
Kwani Sumaye alikuwa mpinzani?
Tofautisha mtu mjinga na mpumbavu. Sugu hajatukana. Mjinga ni mtu ambaye hajui ila akieleweshwa atajua asilolijua.Nimemsikia mbunge wa Mbeya mjini Joseph Mbilinyi aka Sugu kupitia ayo tv akidai alipigiwa simu na Katibu mkuu wa CCM Dr Bashiru Ally ili ajiunge nao lakini amemkatalia.
Sugu amedai kuwa sura yake siyo ya CCM na kwamba wanaohamia chama tawala ni wale Wajinga wajinga.
Hizi lugha za kihuni hazipaswi kutumiwa na wabunge wamwachie Hajji Manara.
Maendeleo hayana vyama!
Nimekuelewa bwashee!Tofautisha mtu mjinga na mpumbavu. Sugu hajatukana. Mjinga ni mtu ambaye hajui ila akieleweshwa atajua asilolijua.
Mpumbavu akili zake ni kidogo au hana akili kabisa akili za utambuzi. Huyu hata umfundishe vipi hawezi kuelewa.
Kuwa maelezo hayo mafupi umenielwa kwa vlle wewe si mpumbavu.
Sasa mtu kama Waitara ana ujinga ujinga gani?
Kibajaj alikuwa CUF akaenda Chadema na sasa yuko CCM!
Waliokuwa wanaita wengine "makapi" walikuwa wanatumia lugha ya kistaarabu ya ccm?Nimemsikia mbunge wa Mbeya mjini Joseph Mbilinyi aka Sugu kupitia ayo tv akidai alipigiwa simu na Katibu mkuu wa CCM Dr Bashiru Ally ili ajiunge nao lakini amemkatalia.
Sugu amedai kuwa sura yake siyo ya CCM na kwamba wanaohamia chama tawala ni wale Wajinga wajinga.
Hizi lugha za kihuni hazipaswi kutumiwa na wabunge wamwachie Hajji Manara.
Maendeleo hayana vyama!
Hahahaaaaaa........ Nimekusamehe bure bwashee!
Labda ye sugu angetuambia kwa nini yupo chadema na kwa nini mpaka leo chadema haina ofisi ya makao makuu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Alichosema Sugu, kama ni kweli wanatongozwa na wao kukubali, hao ni malaya wa kisiasa na wanachofanya ni tabia ya umalaya malaya alioizungumzia Baba wa Taifa.
Ila sio wote wanaohamia CCM wametongozwa, kuna wengine ni wamejitambua, hawa waliojitambua, wasibezwe!.
Wanaohamia CCM wasibezwe! Wanaona mbali, 2020 Majimbo yote kurejeshwa. Je, tunarejea nchi ya chama kimoja?
Wanabodi. Hili ni bandiko la swali kuhusu Trend Reading. Wanaohamia CCM Wasibezwe, Wanaona Mbali, 2020 Majimbo Yote Kurejeshwa?, Jee Tunarejea Kuwa Nchi Chama Kimoja? Trend reading sio utabiri, bali ni matumizi ya analitical na logical thinking kwa kila jambo lililofanyika huangalii tuu hilo...www.jamiiforums.com
P
Mjinga ni yule anashawishi ujinga kufanyika, katika hili KK hakwepi sifa hii. Nenda Tanzania Visiwani nenda sehemu yoyote ile kwenye siasa makini za ushindani, huwezi kukuta ujinga kama huu wa kuwanunua wapinzani wako ili waunge juhudi.
Upuuzi huu umeandikwa kwa wino wa "kinyesi cha kitimoto" ambao watoto na wajukuu wao watakuja kuwadharau daima, upuuzi ambao waasisi wa taifa letu ijapokuwa walikuwa ndio waasisi wa CCM, lkn katu wasingelithubutu kuutenda.
Sent using Jamii Forums mobile app