Mpigania uhuru wa pili
JF-Expert Member
- Apr 12, 2023
- 3,380
- 6,376
Juzi wakati wa mgomo wa wafanyabiashara mkuu wa mkoa wa dar es salaam ambayo ilizua maswali mengi sana kama tutawashughulikia kama serekali ilivyomshughulikia manji ni kauli ya hovyo sana kutolewa na mtu kama yeye
Nauhakika manji alivyosikia ile kauli ni kama iliyonesha kidonda ambacho kilikua hakijapona inauma sana kuja gundua kwamba utajiri wako serekali iliaamua kuuchukua kibabe kuzaliwa Tanzania na afrika kwa ujumla ni changamoto sana.
Nauhakika manji alivyosikia ile kauli ni kama iliyonesha kidonda ambacho kilikua hakijapona inauma sana kuja gundua kwamba utajiri wako serekali iliaamua kuuchukua kibabe kuzaliwa Tanzania na afrika kwa ujumla ni changamoto sana.