Kauli ya mkuu wa mkoa Chalamila, kwenye mgomo wa wafanyabiashara ilimrudishia Yusuf Manji maumivu makubwa sana

Kauli ya mkuu wa mkoa Chalamila, kwenye mgomo wa wafanyabiashara ilimrudishia Yusuf Manji maumivu makubwa sana

Mpigania uhuru wa pili

JF-Expert Member
Joined
Apr 12, 2023
Posts
3,380
Reaction score
6,376
Juzi wakati wa mgomo wa wafanyabiashara mkuu wa mkoa wa dar es salaam ambayo ilizua maswali mengi sana kama tutawashughulikia kama serekali ilivyomshughulikia manji ni kauli ya hovyo sana kutolewa na mtu kama yeye

Nauhakika manji alivyosikia ile kauli ni kama iliyonesha kidonda ambacho kilikua hakijapona inauma sana kuja gundua kwamba utajiri wako serekali iliaamua kuuchukua kibabe kuzaliwa Tanzania na afrika kwa ujumla ni changamoto sana.
 
Juzi wakati wa mgomo wa wafanyabiashara mkuu wa mkoa wa dar es salaam ambayo ilizua maswali mengi sana kama tutawashughulikia kama serekali ilivyomshughulikia manji ni kauli ya hovyo sana kutolewa na mtu kama yeye

Nauhakika manji alivyosikia ile kauli ni kama iliyonesha kidonda ambacho kilikua hakijapona inauma sana kuja gundua kwamba utajiri wako serekali iliaamua kuuchukua kibabe kuzaliwa Tanzania na afrika kwa ujumla ni changamoto sana
Chalamila nuksi sana
 
Juzi wakati wa mgomo wa wafanyabiashara mkuu wa mkoa wa dar es salaam ambayo ilizua maswali mengi sana kama tutawashughulikia kama serekali ilivyomshughulikia manji ni kauli ya hovyo sana kutolewa na mtu kama yeye

Nauhakika manji alivyosikia ile kauli ni kama iliyonesha kidonda ambacho kilikua hakijapona inauma sana kuja gundua kwamba utajiri wako serekali iliaamua kuuchukua kibabe kuzaliwa Tanzania na afrika kwa ujumla ni changamoto sana
Hakika kuna wakati napata ukakasi na kauli za huyu jamaa RC wa Dar🙃🙃
 
Juzi wakati wa mgomo wa wafanyabiashara mkuu wa mkoa wa dar es salaam ambayo ilizua maswali mengi sana kama tutawashughulikia kama serekali ilivyomshughulikia manji ni kauli ya hovyo sana kutolewa na mtu kama yeye

Nauhakika manji alivyosikia ile kauli ni kama iliyonesha kidonda ambacho kilikua hakijapona inauma sana kuja gundua kwamba utajiri wako serekali iliaamua kuuchukua kibabe kuzaliwa Tanzania na afrika kwa ujumla ni changamoto sana
Ccm walimfuata kumpa Dili awasaidie kuiba ndo matunda yake hayo

Nakumbuka issue za mogodown ya nssf ilikuwa ni utata mtupu
 
Juzi wakati wa mgomo wa wafanyabiashara mkuu wa mkoa wa dar es salaam ambayo ilizua maswali mengi sana kama tutawashughulikia kama serekali ilivyomshughulikia manji ni kauli ya hovyo sana kutolewa na mtu kama yeye

Nauhakika manji alivyosikia ile kauli ni kama iliyonesha kidonda ambacho kilikua hakijapona inauma sana kuja gundua kwamba utajiri wako serekali iliaamua kuuchukua kibabe kuzaliwa Tanzania na afrika kwa ujumla ni changamoto sana
Wobongo kwa kuunganisha matukio hamjambo.
 
Juzi wakati wa mgomo wa wafanyabiashara mkuu wa mkoa wa dar es salaam ambayo ilizua maswali mengi sana kama tutawashughulikia kama serekali ilivyomshughulikia manji ni kauli ya hovyo sana kutolewa na mtu kama yeye

Nauhakika manji alivyosikia ile kauli ni kama iliyonesha kidonda ambacho kilikua hakijapona inauma sana kuja gundua kwamba utajiri wako serekali iliaamua kuuchukua kibabe kuzaliwa Tanzania na afrika kwa ujumla ni changamoto sana
Una uhakika!!!???
 
Juzi wakati wa mgomo wa wafanyabiashara mkuu wa mkoa wa dar es salaam ambayo ilizua maswali mengi sana kama tutawashughulikia kama serekali ilivyomshughulikia manji ni kauli ya hovyo sana kutolewa na mtu kama yeye

Nauhakika manji alivyosikia ile kauli ni kama iliyonesha kidonda ambacho kilikua hakijapona inauma sana kuja gundua kwamba utajiri wako serekali iliaamua kuuchukua kibabe kuzaliwa Tanzania na afrika kwa ujumla ni changamoto sana
Kichwa cha habari na kilichomo ndani ya habari haviendani hata kidogo.
 
Back
Top Bottom