Mzee makoti
JF-Expert Member
- Jul 27, 2016
- 3,482
- 4,673
Jiwe ndio kaumiza watu wengi mnoooChura kiziwi anajifanya mwema ila utawala wake unaumiza watu wengi sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jiwe ndio kaumiza watu wengi mnoooChura kiziwi anajifanya mwema ila utawala wake unaumiza watu wengi sana
Pressure ilimpanda baada ya kauli ya Chalamilakwani amekufa
Kuna watu wa kuwatetea ila sio huyo manji na rostam aziz tatizo Tanzania sisi ni wapole sana hao jamaa wametufanyia unyama na kutudharau sana aisee.Juzi wakati wa mgomo wa wafanyabiashara mkuu wa mkoa wa dar es salaam ambayo ilizua maswali mengi sana kama tutawashughulikia kama serekali ilivyomshughulikia manji ni kauli ya hovyo sana kutolewa na mtu kama yeye
Nauhakika manji alivyosikia ile kauli ni kama iliyonesha kidonda ambacho kilikua hakijapona inauma sana kuja gundua kwamba utajiri wako serekali iliaamua kuuchukua kibabe kuzaliwa Tanzania na afrika kwa ujumla ni changamoto sana.
View attachment 3030028
Ni kweli ila serekali haikutakiwa kukiri wazi-waziKuna watu wa kuwatetea ila sio huyo manji na rostam aziz tatizo Tanzania sisi ni wapole sana hao jamaa wametufanyia unyama na kutudharau sana aisee.
Huyu mpum*** alisema hivyo? Alimwongezea msongo wa mawazo! Na jiwe alikuwa na visasi vya hovyo sana!Juzi wakati wa mgomo wa wafanyabiashara mkuu wa mkoa wa dar es salaam ambayo ilizua maswali mengi sana kama tutawashughulikia kama serekali ilivyomshughulikia manji ni kauli ya hovyo sana kutolewa na mtu kama yeye
Nauhakika manji alivyosikia ile kauli ni kama iliyonesha kidonda ambacho kilikua hakijapona inauma sana kuja gundua kwamba utajiri wako serekali iliaamua kuuchukua kibabe kuzaliwa Tanzania na afrika kwa ujumla ni changamoto sana.
View attachment 3030028
Live chalamila alisema ni jumatatu iliyopita itakua baada ya kuwa alisikia hii kauli manji alipata high blood pressure ambayo itakua iligoma kushukaHuyu mpum*** alisema hivyo? Alimwongezea msongo wa mawazo! Na jiwe alikuwa na visasi vya hovyo sana!
Alikua mwizi a.k.a fisadiIla Manji alipiga sana za Food Aid Counterpart kwa kushirikiana na Wanasiasa, Quality Plaza, Quality Center, Quality Motors majengo msururu ya pale Pugu road serekali ilitaifisha yote
😀😀😀😀😀 walimwengu jamani😀😀😀😀Juzi wakati wa mgomo wa wafanyabiashara mkuu wa mkoa wa dar es salaam ambayo ilizua maswali mengi sana kama tutawashughulikia kama serekali ilivyomshughulikia manji ni kauli ya hovyo sana kutolewa na mtu kama yeye
Nauhakika manji alivyosikia ile kauli ni kama iliyonesha kidonda ambacho kilikua hakijapona inauma sana kuja gundua kwamba utajiri wako serekali iliaamua kuuchukua kibabe kuzaliwa Tanzania na afrika kwa ujumla ni changamoto sana.
View attachment 3030059
Mkuu wa mkoa mropokaji bila kuangalia athari za atakachoongea.Huyu chalamila hajakua Kama alivyoambiwa na Rais. Anapenda kuropoka Kama mjinga. Kulikuwa Kuna haja gani ya kumtaja Manji kwenye kusanyiko Kama lile?. Very stupid guy.
Wakuu naomba kuuliza, Kwani Yusufu Manji ameumwa nini hadi mauti kumpata?Juzi wakati wa mgomo wa wafanyabiashara mkuu wa mkoa wa dar es salaam ambayo ilizua maswali mengi sana kama tutawashughulikia kama serekali ilivyomshughulikia manji ni kauli ya hovyo sana kutolewa na mtu kama yeye
Nauhakika manji alivyosikia ile kauli ni kama iliyonesha kidonda ambacho kilikua hakijapona inauma sana kuja gundua kwamba utajiri wako serekali iliaamua kuuchukua kibabe kuzaliwa Tanzania na afrika kwa ujumla ni changamoto sana.
View attachment 3030059
Apumzike kwa amani