Kauli ya mkuu wa mkoa Chalamila, kwenye mgomo wa wafanyabiashara ilimrudishia Yusuf Manji maumivu makubwa sana

Mpigania uhuru wa pili

JF-Expert Member
Joined
Apr 12, 2023
Posts
3,380
Reaction score
6,376
Juzi wakati wa mgomo wa wafanyabiashara mkuu wa mkoa wa dar es salaam ambayo ilizua maswali mengi sana kama tutawashughulikia kama serekali ilivyomshughulikia manji ni kauli ya hovyo sana kutolewa na mtu kama yeye

Nauhakika manji alivyosikia ile kauli ni kama iliyonesha kidonda ambacho kilikua hakijapona inauma sana kuja gundua kwamba utajiri wako serekali iliaamua kuuchukua kibabe kuzaliwa Tanzania na afrika kwa ujumla ni changamoto sana.
Your browser is not able to display this video.
 
Chalamila nuksi sana
 
Hakika kuna wakati napata ukakasi na kauli za huyu jamaa RC wa Dar🙃🙃
 
Ccm walimfuata kumpa Dili awasaidie kuiba ndo matunda yake hayo

Nakumbuka issue za mogodown ya nssf ilikuwa ni utata mtupu
 
Wobongo kwa kuunganisha matukio hamjambo.
 
Una uhakika!!!???
 
Kichwa cha habari na kilichomo ndani ya habari haviendani hata kidogo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…