Kauli ya Naibu Spika kwa Waitara siyo ya kiungwana

Kauli ya Naibu Spika kwa Waitara siyo ya kiungwana

Huyo hata chadema nawa vyama vya upinzani wa Ilala walisema mbunge wetu ni huyu tu.

Zungu ni mtu wa watu.

Mnafahamu hilo jina Zungu alilipata vipi?
Sijui nilihisi labda rangi yake lkn nikaona inakuwaje aitwe hivyo Kwakweli sijawahi kufuatilia ila najua ni mtu poa sana
 
Leo Bungeni Waitara alikuwa anajenga hoja ya swali la nyongeza lakini kabla hajamaliza hoja yake Naibu Spika akamwamuru na kusema "Kaa Chini".

Kitendo cha Naibu Spika kumtolea lugha ya kaa chini siyo lugha ya kiungwana na hii inaonyesha ubabe wa Naibu Spika.

Unapokuwa Bungeni unatakiwa uonyeshe kuwa wewe ni kiongozi unawaongoza watu kwa weledi. Kwa kitendo hiki anatakiwa amuombe radhi Waitara.
Hana sura, body language , tone, wala administartive knwolege and skills, achilia mbali skills za kusomea hata ile ya kawaida tu ambayo kila mtu anayo huyu mjamaa hana.. sijawhi kuona anaongoza ispokua kukwaza tu
 
Kwa hiyo FF unamaanosha apuuziwe sababu ya "uchizi" wake?
Huyo huwezi kumpuuza, hana ujinga wa kuweza kupuuzwa na hauna ujanja wa kumsema kuwa ana makosa. Ni mtu anaeelewa anafanya nini.

Mimi nimejaribu kuifafanuwa lugha yake, ni ya kikariakoo na nikaeleea kidogo alikotokea. Ana sifa hizi:

1) kazaliwa mjini, kakulia mjini, enzi za utemi wa mjini.
2) kaanzia kazi jeshini na kaishi huko.
3) Kaishi nje ya nchi kwa miaka mingi (kwa hiyo ana exposure).
4) Kwenye siasa kaanzia mitaani mpaka sasa Naibu Spika, anazijuwa corridor za kisiasa vilivyo.
5) Shule kaenda na Madrassa kaenda. Humwambii kitu.
6) Mbunge wa wilaya ambayo ni kitovu cha utajiri wa Tanzania.
7) Mbunge wa wilaya ambayo ni kitovu cha siasa za Tanzania.
8) Dar ni maarufu, tena maarufu kweli kweli, circle zote anazijuwa, za kisiasa, za kibisashara, za kisomi, za kidini.
9)( wengi hawalijuwi hili, huyo kishakuwa mchezaji mpira mzuri sana. Kilichomrudisha nyuma kwenye mpira ni kwenda jeshini tu, nadhani kitengo chake kule kilikuwa kinahusika na mambo nyeti sana, hakuwa na muda mrefu wa kujiendeleza kimpira.

Mtu kama huyo utamueleza nini wakuja kama wewe?

Elimu humpati, madrassa humpati, utoto wa mjini humpati, umaarufu humpati, exposure humpati, siasa humpati. Umaarufu humpati. Inabidi umuombee mema na azidi kuwa mwema.

Sasa nikueleze alivyo "down to earth". Hivi na uspika wake, kuna siku nimemkuta ghafla kakaa kwenye mabenchi na mkewe (nafahamiana na mkewe) pale Regency wanangoja namba wamuone Doctor, basi kaja kijana kujpendekeza pale, mzee njoo huku, Azzan akanyanyuka akamsikiliza akaja kukaa, nikajuwa kamkatalia kwenda kabla ya aliowakuta hawajaenda mwanzo. Ingawa alitaka kkupewa "priority", akagoma, mkewe ananinong'oneza, huyu mzee mie naumwa, yeye anataka nisote tu hapa, hakubali tuingie mpaka tuliowakuta mbele wamalizike.

Huyo ndiyo Zungu, "a man down to earth".

Allah ampe umri mrefu na amzidishie hekima. Amiin.
 
Waitara huyu huyu ambaye anaonekana akilia Bungeni asubuhi alafu jioni anapiga makofi na kupendekeza watu waitwe mama wa taifa?
Leo Bungeni Waitara alikuwa anajenga hoja ya swali la nyongeza lakini kabla hajamaliza hoja yake Naibu Spika akamwamuru na kusema "Kaa Chini".

Kitendo cha Naibu Spika kumtolea lugha ya kaa chini siyo lugha ya kiungwana na hii inaonyesha ubabe wa Naibu Spika.

Unapokuwa Bungeni unatakiwa uonyeshe kuwa wewe ni kiongozi unawaongoza watu kwa weledi. Kwa kitendo hiki anatakiwa amuombe radhi Waitara.
 
Leo Bungeni Waitara alikuwa anajenga hoja ya swali la nyongeza lakini kabla hajamaliza hoja yake Naibu Spika akamwamuru na kusema "Kaa Chini".

Kitendo cha Naibu Spika kumtolea lugha ya kaa chini siyo lugha ya kiungwana na hii inaonyesha ubabe wa Naibu Spika.

Unapokuwa Bungeni unatakiwa uonyeshe kuwa wewe ni kiongozi unawaongoza watu kwa weledi. Kwa kitendo hiki anatakiwa amuombe radhi Waitara.
Huyo Zungu ni Katili na hafai sijui ilikuwaje ccm wakampitisha huyo Mzee hana busara na ana jazba hata Tulia akasome.
 
Leo Bungeni Waitara alikuwa anajenga hoja ya swali la nyongeza lakini kabla hajamaliza hoja yake Naibu Spika akamwamuru na kusema "Kaa Chini".

Kitendo cha Naibu Spika kumtolea lugha ya kaa chini siyo lugha ya kiungwana na hii inaonyesha ubabe wa Naibu Spika.

Unapokuwa Bungeni unatakiwa uonyeshe kuwa wewe ni kiongozi unawaongoza watu kwa weledi. Kwa kitendo hiki anatakiwa amuombe radhi Waitara.
Haaàaa akae chin tuu, Bora amemuwahi mana mura hakawii kulia
 
Huyo huwezi kumpuuza, hana ujinga wa kuweza kupuuzwa na hauna ujanja wa kumsema kuwa ana makosa. Ni mtu anaeelewa anafanya nini.

Mimi nimejaribu kuifafanuwa lugha yake, ni ya kikariakoo na nikaeleea kidogo alikotokea. Ana sifa hizi:

1) kazaliwa mjini, kakulia mjini, enzi za utemi wa mjini.
2) kaanzia kazi jeshini na kaishi huko.
3) Kaishi nje ya nchi kwa miaka mingi (kwa hiyo ana exposure).
4) Kwenye siasa kaanzia miytaani mpaka sasa Naibu Spika, anazijuwa corridor za kisiasa vilivyo.
5) Shule kaenda na Madrassa kaenda. Humwambii kitu.
6) Mbunge wa wilaya ambayo ni kitovu cha utajiri wa Tanzania.
7) Mbunge wa wilaya amabyo ni kitovu cha siasa za Tanzania.
8) Dar ni maarufu, tena maarufu kweli kweli, circle zote anazijuwa, za kisiasa, za kibisashara, za kisomi, za kidini.
9)( wengi hawalijuwi hili, huyo kishakuwa mchezaji mpira mzuri sana. Kilichomrudisha nyuma kwenye mpira ni kwenda jeshini tu, nadhani kitengo chake kule kilikuwa kinahusika na mambo nyeti sana, hakuwa na muda mrefu wa kujiendeleza kimpira.


Mtu kama huyo utamueleza nini wakuja kama wewe?

Elimu humoati, madrassa humati, utoto wa mjini humpati, umaarufu humpati, exposure humpati, siasa humpati. Umaarfufu humpati. Inabidi umuombee mema na zzidi kuwa mwema.

Sasa nikueleze alivyo 'doen to earth". Hivi na uspika wake, kuna siku nimekuta ghafla kakaa kwenye mabenchi na mkewe (nafahamiana na mkewe) pale Regency wanangoja namba wamuone Doctor, basi kaja kijana kuji-endekezeza pale, mzee njoo hku, Azzan akanyanyuka akamsikiliza akaja kukaa, nikajuwa kamkatalia kwenda n kablla ya aliowakuta hawajaenda mwanzo. Ingawa alitaka kupewa [rority akagoma, mkewe ananinong'oneza, huyu mzee mie naumwa, yeye anataka nisote tu hapa, hakubali tuingie mpaka tuliowakuta mbele wamalizike.

Huyo ndiyo Zungu, "a man down to earth".

Allah ampe umri mrefu na amzidishie hekima. Amiin.
Hana lolote.
Hajakutana tu na machizi zaidi yake.
Hao wabunge wanaamua tu kuheshimu cheo chake
 
Msiyemfahamu Zungu, hilo toto la Kiarabu la kariakoo, limekiwa na manunda wa Gerezani na mchikichini, enzi alizokulia huyo mitaa yake yote ni ubabe tu, ukiwa bwege bwege unaonewa, kama haitoshi, kutoka hapo akachaguliwa kwenda jeshini kutokea shule. X soldier huyo, wengi tunaomfahamu huyo Kariakoo tukawa tuna uhakika huyo ni mtu wa system. Enzi za Nyerere ukichaguliwa kwenda jeshini ili uwe "system" juwa huyo ni kipanga "multi-talented".

Sikilizeni vizuri lugha yake bungeni, hataki wala hapendi longolongo na amri zake zimekaa kijeshi na kibabe, zimechanganyika pamoja. Mtajaza wenyewe.

Zamani niliwaambia watu, huyo ni 99% "chizi kapewa rungu" msije mkashanga siku akimwambia mbunge "we msenge kaa chini".


Huyu mimi naamini na uzee wake sasa hivi, ukimletea ujinga anakurukia kichwa.
Sasa ww Habari za kujua waarabu za nini hivi tufanye nn ili ujue ww sio muarabu .ww pia sio mrundi mbona huwaongelei
 
Leo Bungeni Waitara alikuwa anajenga hoja ya swali la nyongeza lakini kabla hajamaliza hoja yake Naibu Spika akamwamuru na kusema "Kaa Chini".

Kitendo cha Naibu Spika kumtolea lugha ya kaa chini siyo lugha ya kiungwana na hii inaonyesha ubabe wa Naibu Spika.

Unapokuwa Bungeni unatakiwa uonyeshe kuwa wewe ni kiongozi unawaongoza watu kwa weledi. Kwa kitendo hiki anatakiwa amuombe radhi Waitara.
Waitara hajawahi kuongea kitu cha maana hata siku moja. Ningekuwa mimi ndio spika au naibu nisingempa huyo mjinga nafasi ya kuongea bungeni maana ni kupoteza bule muda wa bunge
 
Leo Bungeni Waitara alikuwa anajenga hoja ya swali la nyongeza lakini kabla hajamaliza hoja yake Naibu Spika akamwamuru na kusema "Kaa Chini".

Kitendo cha Naibu Spika kumtolea lugha ya kaa chini siyo lugha ya kiungwana na hii inaonyesha ubabe wa Naibu Spika.

Unapokuwa Bungeni unatakiwa uonyeshe kuwa wewe ni kiongozi unawaongoza watu kwa weledi. Kwa kitendo hiki anatakiwa amuombe radhi Waitara.
Duh... Mhe. Zungu ni mtoto wa mjini, born town, hatakagi ujinga ujinga!. Vicky Kamata Anastahili Pongezi!, Asimama Kidete Kupinga Uonevu, Ubabe na Double Standards za Zungu!
P
 
Msiyemfahamu Zungu, hilo toto la Kiarabu la kariakoo, limekiwa na manunda wa Gerezani na mchikichini, enzi alizokulia huyo mitaa yake yote ni ubabe tu, ukiwa bwege bwege unaonewa, kama haitoshi, kutoka hapo akachaguliwa kwenda jeshini kutokea shule. X soldier huyo, wengi tunaomfahamu huyo Kariakoo tukawa tuna uhakika huyo ni mtu wa system. Enzi za Nyerere ukichaguliwa kwenda jeshini ili uwe "system" juwa huyo ni kipanga "multi-talented".

Sikilizeni vizuri lugha yake bungeni, hataki wala hapendi longolongo na amri zake zimekaa kijeshi na kibabe, zimechanganyika pamoja. Mtajaza wenyewe.

Zamani niliwaambia watu, huyo ni 99% "chizi kapewa rungu" msije mkashanga siku akimwambia mbunge "we msenge kaa chini".

Huyu mimi naamini na uzee wake sasa hivi, ukimletea ujinga anakurukia kichwa.
Naunga mkono hoja, Vicky Kamata Anastahili Pongezi!, Asimama Kidete Kupinga Uonevu, Ubabe na Double Standards za Zungu!
P
 
Waitara mshenzi sana hata kama ataongea cha maaana ia ni lifara sana. Kwanza lilipitabkwa hisani ya mwendazake halaf tena juzi hapa nalisikia linamkejeli
 
Angekuwa Spika ajaye kama CCCm itashinda 2025!!
 
X soldier huyo
Kwa faida ambao hatukuwepo, nimeingia tovuti rasmi ya Bunge kuondoa dhana kuwa inaweza kuwa story za corner ya Saigon Kariakoo Darslam na kuthibitisha ni kweli habari hii

0.67804200%201485860446.png



Hon. Mussa Azzan Zungu​


Constituent : Ilala

Education History :​


School Name/LocationCourse/Degree/AwardFromToLevel
Tanzania Mozambique Centre for Foreign RelationsDiplomatic Studies20212021Executive Certificate
Institute of International Relations Cairo, EgyptDiplomatic Studies20072007Executive Certificate
National Defence CollegeEleventh Capstone Course20212021Executive Certificate
Military College of Aviation - Tanzania / CanadaPrincipal Aircraft Maintanance Engineer19791982Professional Certificate
Kinondoni Secondary SchoolCSEE19661968Secondary School
Tambaza Secondary SchoolACSEE19681969Secondary School
St. Joseph Primary SchoolCPEE19581965Primary School

Employment History :​


Company/InstitutionPositionFromTo
Field Aviation - Toronto, CanadaEngineer19801980
Military College of Aviation - Airwing Tanzania / CanadaAircraft Engineer - Level One19731974
Military College of Aviation - Airwing Tanzania / CanadaAircraft Engineer - Level Three19701971
Military College of Aviation - Airwing Tanzania / CanadaAircraft Engineer - Level
Source : Parliament of Tanzania
 
Leo Bungeni Waitara alikuwa anajenga hoja ya swali la nyongeza lakini kabla hajamaliza hoja yake Naibu Spika akamwamuru na kusema "Kaa Chini".

Kitendo cha Naibu Spika kumtolea lugha ya kaa chini siyo lugha ya kiungwana na hii inaonyesha ubabe wa Naibu Spika.

Unapokuwa Bungeni unatakiwa uonyeshe kuwa wewe ni kiongozi unawaongoza watu kwa weledi. Kwa kitendo hiki anatakiwa amuombe radhi Waitara.
Huyu zungu ana ubaguzi "Uarabu" dhidi ya watu weusi. Ningekuwa Waitara ningemtukana.
 
Msiyemfahamu Zungu, hilo toto la Kiarabu la kariakoo, limekiwa na manunda wa Gerezani na mchikichini, enzi alizokulia huyo mitaa yake yote ni ubabe tu, ukiwa bwege bwege unaonewa, kama haitoshi, kutoka hapo akachaguliwa kwenda jeshini kutokea shule. X soldier huyo, wengi tunaomfahamu huyo Kariakoo tukawa tuna uhakika huyo ni mtu wa system. Enzi za Nyerere ukichaguliwa kwenda jeshini ili uwe "system" juwa huyo ni kipanga "multi-talented".

Sikilizeni vizuri lugha yake bungeni, hataki wala hapendi longolongo na amri zake zimekaa kijeshi na kibabe, zimechanganyika pamoja. Mtajaza wenyewe.

Zamani niliwaambia watu, huyo ni 99% "chizi kapewa rungu" msije mkashanga siku akimwambia mbunge "we msenge kaa chini".


Huyu mimi naamini na uzee wake sasa hivi, ukimletea ujinga anakurukia kichwa.
Ni mpumbavu tu.
 
Back
Top Bottom