Kauli ya Naibu Spika kwa Waitara siyo ya kiungwana

Kauli ya Naibu Spika kwa Waitara siyo ya kiungwana

Msiyemfahamu Zungu, hilo toto la Kiarabu la kariakoo, limekiwa na manunda wa Gerezani na mchikichini, enzi alizokulia huyo mitaa yake yote ni ubabe tu, ukiwa bwege bwege unaonewa, kama haitoshi, kutoka hapo akachaguliwa kwenda jeshini kutokea shule. X soldier huyo, wengi tunaomfahamu huyo Kariakoo tukawa tuna uhakika huyo ni mtu wa system. Enzi za Nyerere ukichaguliwa kwenda jeshini ili uwe "system" juwa huyo ni kipanga "multi-talented".

Sikilizeni vizuri lugha yake bungeni, hataki wala hapendi longolongo na amri zake zimekaa kijeshi na kibabe, zimechanganyika pamoja. Mtajaza wenyewe.

Zamani niliwaambia watu, huyo ni 99% "chizi kapewa rungu" msije mkashanga siku akimwambia mbunge "we msenge kaa chini".


Huyu mimi naamini na uzee wake sasa hivi, ukimletea ujinga anakurukia kichwa.
Huyu mtu bwege sana na akipewa uspika full huyu hamna Usalama wa nchi
 
Leo Bungeni Waitara alikuwa anajenga hoja ya swali la nyongeza lakini kabla hajamaliza hoja yake Naibu Spika akamwamuru na kusema "Kaa Chini".

Kitendo cha Naibu Spika kumtolea lugha ya kaa chini siyo lugha ya kiungwana na hii inaonyesha ubabe wa Naibu Spika.

Unapokuwa Bungeni unatakiwa uonyeshe kuwa wewe ni kiongozi unawaongoza watu kwa weledi. Kwa kitendo hiki anatakiwa amuombe radhi Waitara.
Ubwa tu huyo hafai
 
Ila Dada Faiza umenichekesha sana juu ya historia ya maisha ya Zungu.Mzee mtata sana yule!
Kuna siku alimwambia Halima Kaa chini usijifanye unajua sana kanuni za Bunge,watu tunalala nazo kitandani!🤣
Zungu anajua sana jinsi ya kuwathibiti wabunge wanaopoteza muda bila kuchangia hoja za maana! Hata walipokuwepo wabunge wa vyama vingine alikuwa anaendesha vikao bila upendeleo tofauti na yule mgogo!!
 
Leo Bungeni Waitara alikuwa anajenga hoja ya swali la nyongeza lakini kabla hajamaliza hoja yake Naibu Spika akamwamuru na kusema "Kaa Chini".

Kitendo cha Naibu Spika kumtolea lugha ya kaa chini siyo lugha ya kiungwana na hii inaonyesha ubabe wa Naibu Spika.

Unapokuwa Bungeni unatakiwa uonyeshe kuwa wewe ni kiongozi unawaongoza watu kwa weledi. Kwa kitendo hiki anatakiwa amuombe radhi Waitara.
Mm hata Spika na naibu spika wa siku hz siwajui kwa sababu lile sio Bunge ila ni kundi la ngedere wanaofanya kazi ya kuiba mahindi kwenye shamba la mkulima.
 
Msiyemfahamu Zungu, hilo toto la Kiarabu la kariakoo, limekiwa na manunda wa Gerezani na mchikichini, enzi alizokulia huyo mitaa yake yote ni ubabe tu, ukiwa bwege bwege unaonewa, kama haitoshi, kutoka hapo akachaguliwa kwenda jeshini kutokea shule. X soldier huyo, wengi tunaomfahamu huyo Kariakoo tukawa tuna uhakika huyo ni mtu wa system. Enzi za Nyerere ukichaguliwa kwenda jeshini ili uwe "system" juwa huyo ni kipanga "multi-talented".

Sikilizeni vizuri lugha yake bungeni, hataki wala hapendi longolongo na amri zake zimekaa kijeshi na kibabe, zimechanganyika pamoja. Mtajaza wenyewe.

Zamani niliwaambia watu, huyo ni 99% "chizi kapewa rungu" msije mkashanga siku akimwambia mbunge "we msenge kaa chini".


Huyu mimi naamini na uzee wake sasa hivi, ukimletea ujinga anakurukia kichwa.

Tegemeeni na haya mambo kuyaona bandarini.
 
Leo Bungeni Waitara alikuwa anajenga hoja ya swali la nyongeza lakini kabla hajamaliza hoja yake Naibu Spika akamwamuru na kusema "Kaa Chini".

Kitendo cha Naibu Spika kumtolea lugha ya kaa chini siyo lugha ya kiungwana na hii inaonyesha ubabe wa Naibu Spika.

Unapokuwa Bungeni unatakiwa uonyeshe kuwa wewe ni kiongozi unawaongoza watu kwa weledi. Kwa kitendo hiki anatakiwa amuombe radhi Waitara.
Acha apambane na hali yake,laana hizo zimeanza
 
Hilo ni toto la Kariakoo typical.

Kuwa toto la Kariakoo ni sifa kubwa sana, wageni wengi wa Dar kupitia hapo ni sifa kwao. Seuse waliozaliwa hapo.

Nyerere alipitia hapo, tena mtaa mmoja na Zungu, Aggrey Street, kabla ya hapo ukiitwa Stanley, sasa unaitwa Max Mbwana.

Mkapa alipita hapo. Kikwete alipita hapo, kijiwe kimoja na Zungu, Saigon.

Hata wewe siku ukija Dar, kama hujafika Kariakoo inakuwa hujafika Dar.
Hamna lolote Kariakoo, sasa wananunuliwa na wa kuja. Wachagga na Wakinga kibao.
Tunajua weakness zenu watoto wa mjini kupenda vijisifa vingi.
Nikutaarifu kuwa nimesoma na watoto wa mzee Max, pamoja na marehemu Ahmed.
Kina Marijani Shabaan, Jabali la muziki, tupo wote miaka hiyo Tambaza Sec.
Cha msingi hao watoto wa mjini, zaidi ya starehe wame achieve nini hutuelezi.
Sie tuliotoka uswekeni sasa kariakoo tunaikamata.
 
Bado yupo ndani ya boksi huyo Tulyansha.Kila amuonapo mbunge aliyetokea ukinzani anadhani ni adui yake wakati wote wapo "Sisyemu" tu.
Umeshindwa kumuelewa kabisa Zungu.

Huyo I ina Waitara anawafahamu ujeuri wao kuanzia jeshini, kishwachapa sana vichwa jeshoni mpaka wakamheshimu.

Huyo alikuwa "role model" ya vijana wa Kariakoo walioenda jeshini enzi za Nyerere. Licha ya wengi wengine, minunda ya Kiarabu ya Kariakoo iliyoenda jeshini alikuwa huyo na kama mliwahi kumsikia na matmrehem TamTamim, rubani wa ndege za kivita, alikufa siku ya sherehe pale uwanja wa taifa. Alijitahidi sana akaidondosha ndege nje ya uwanja, la sivyo ingekuwa janga la kitaifa, ingedondokwa bdani ya uwanja, ingeuwa wengi sana. Mwenyezi Mungu amrehemu.

Hao mashujaa wetu Kariakoo.
 
Leo Bungeni Waitara alikuwa anajenga hoja ya swali la nyongeza lakini kabla hajamaliza hoja yake Naibu Spika akamwamuru na kusema "Kaa Chini".

Kitendo cha Naibu Spika kumtolea lugha ya kaa chini siyo lugha ya kiungwana na hii inaonyesha ubabe wa Naibu Spika.

Unapokuwa Bungeni unatakiwa uonyeshe kuwa wewe ni kiongozi unawaongoza watu kwa weledi. Kwa kitendo hiki anatakiwa amuombe radhi Waitara.
Wala hii tabia sio mpya, imedum kwa miaka mingi san.. fuatilia upinzani wakifukuzwa bungeni utadhani vibaka tena kushikwa juu na askari wa bunge!!!
 
Umeshindwa kumuelewa kabisa Zungu.

Huyo I ina Waitara anawafahamu ujeuri wao kuanzia jeshini, kishwachapa sana vichwa jeshoni mpaka wakamheshimu.

Huyo alikuwa "role model" ya vijana wa Kariakoo walioenda jeshini enzi za Nyerere. Licha ya wengi wengine, minunda ya Kiarabu ya Kariakoo iliyoenda jeshini alikuwa huyo na kama mliwahi kumsikia na matmrehem TamTamim, rubani wa ndege za kivita, alikufa siku ya sherehe pale uwanja wa taifa. Alijitahidi sana akaidondosha ndege nje ya uwanja, la sivyo ingekuwa janga la kitaifa, ingedondokwa bdani ya uwanja, ingeuwa wengi sana. Mwenyezi Mungu amrehemu.

Hao mashujaa wetu Kariakoo.
Hoja si kwenda jeshini.Hoja ni kuielewa hoja na kumchukulia mtu kwa uongeaji wake.Anakuwa "bitter" sababu ya jamaa kutokea CDM na kuingia CCM.Ni hilo tu na hana utetezi mwingine.
 
Back
Top Bottom