Pre GE2025 Kauli ya Nape na Mkuu wa Wilaya ya Longido kuwa serikali ya CCM inalazimisha ushindi katika uchaguzi zinahalalisha kuindoa CCM madarakani kwa nguvu

Pre GE2025 Kauli ya Nape na Mkuu wa Wilaya ya Longido kuwa serikali ya CCM inalazimisha ushindi katika uchaguzi zinahalalisha kuindoa CCM madarakani kwa nguvu

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Synthesizer

Platinum Member
Joined
Feb 15, 2010
Posts
12,699
Reaction score
22,598



Kawaida, chama cha siasa kilichopo madarakani kwa kuchaguliwa ki-demokrasia, hakipaswi kuondolewa madarakani kwa nguvu. Uhalali wa kuiondoa serikali madarakani unapaswa uwe kupitia sanduku la kura katika uchaguzi wa kidemokrasia, na kama kuna ukiukwaji wa haki za uchaguzi, mfumo wa sheria wa nchi unapaswa kurekebisha hilo.

Lakini pale inapothibitika kwamba chama kilicho madarakani kinatumia udanganyifu kuendelea kuwa madarakani, na haiwezekani kupata haki ya uchaguzi kupitia mfumo wa sheria au mahakama, ndipo inapokuwa halali kuiondoa serikali ya chama kilichopo madarakani kwa kutumia nguvu.

Kauli ya aliekuwa Mkuu wa Wilaya ya Longido, Marko Henry Ng'umbi, na ile ya Nape, na muundo wa sasa wa Katiba ya Tanzania vina athari kubwa sana juu ya jambo hili. Na si mara ya kwanza CCM wanafanya hivi, kwa kiburi, kujigamba na kujiona wako juu ya sheria, kama video kwenye hii thread inavyoonesha, kwamba wao wameshauingilia mfumo wa sheria na mahakama. Utaona kwamba, kama hadi sasa kumetolewa kauli ambazo zinaonyesha serikali ya CCM imekuwa ikitumia nguvu na hila kushinda uchaguzi, na uchaguzi mmojawapo ni ule wa raisi ambao hauwezi kupingwa Mahakamani, basi ni wazi kunakuwa hakuna njia nyingine ya kupata haki ya uchaguzi nchini bali kwa kutumia nguvu, ili kurudisha mazingira ya demokrasia na haki katika uchaguzi, pamoja na mfumo wa sheria ulio huru.

Na hili linatiwa nguvu na na muundo wa Katiba ya Tanzania ambayo hairuhusu matokeo ya uchaguzi wa raisi kupingwa Mahakamani. Katika mazingira hayo, swali linakuwa, kama tuna Katiba ambayo hairuhusu kwenda Mahakamani kupinga matokeo ya uchaguzi wa Raisi, na hali zimethibitishwa kwamba kunakuwa na utumiaji nguvu na hila kwa chama kilichopo madarakani wakati wa uchaguzi, hali hiyo itarekebishwa vipi? Labda wale watakaoona bado hali hii haitoi uhalali wa kutumia nguvu, watuambie suluhisho hapo linakuwa nini.

Nakumbuka maneno ya Nyerere na Mandela, ambao hata walienda mbali zaidi, kwa kusema iwapo kunakuwa na ukosefu wa uchaguzi wa kidemokrasia, na wale waliopo madarakani hawaruhusu mfumo wa kisheria uruhusu upatikanaji wa uhalali na haki katika uchaguzi, basi inafikia mahali mapambano ya silaha kudai haki yanakuwa halali. Je, Tanzania bado hatujafikia hali hizi? Au je, huko ndiko tunakoelekea?

Mambo yanayofanywa na CCM ndio mambo ambayo yalihalalisha tuwasaidie Zanzibar kwenye mapinduzi yao, Msumbiji, Zimbabwe, Uganda, nk, na hata kuwaunga mkono Biafra wa Nigeria katika mapambano yao ya silaha kutafuta uchaguzi ulio huru na halali. Na sasa tunaona kila sababu ya kufanya hilo ndani ya nchi yetu wenyewe - kuwaondoa CCM kwa nguvu kwa sababu hawana tena legitimacy ya kuondolewa kidemokrasia kwa kura, kwa sababu wamekuwa wakiihujumu hiyo demokrasia wakijua watajilinda nyuma ya Katiba yetu isiyoruhusu kupinga matokeo ya Uchaguzi wa Raisi Mahakamani, na kwamba wana uwezo wa ku-undermine judicial system ya nchi pale matokeo mengine ya uchaguzi yanapopelekwa mahakamani. Tukitaka kubadili Katiba wanazuia hili. Wanatuachia option gani?

PIA SOMA
- Kuelekea 2025 - Nape Nnauye: Matokeo ya kura inategemea nani anahesabu na nani anatangaza, ili mradi ukimaliza unasema Mungu nisamehe!

- Kuelekea 2025 - DC Longido: Mazingira ya 2020 na yale yaliyofanyika kwenye mapori yalitengenezwa na serikali ili tupite bila kupingwa!
 
Wewe unamwamini Nape na DC? 🐼
Kosa kubwa la Nape na Henry ni kutoa siri za CCM hadharani, sio kuongea uongo. Na ni wendawazimu wa hali ya juu sana kwa CCM kumchukulia hatua Mpina kwa yale aliyosema, na kuwaacha Nape na na Henry ambao hata walipaswa kufikishwa mahakamani kama walichosema ni uongo, kwa sababu kama ni uongo wana kosa kubwa la kuchochea machafuko nchini.

Lakini CCM sio wajinga, wanajua kuwapeleka Nape na Henry mahakamani ni kuwapa uwanja wa kuthibitisha kwamba walichosema ni ukweli, katika kujiteteta kwao. Hivyo basi, CCM ikiwapeleka mahakamani au vikao vya nidhamu itakuwa inajipiga risasi mguuni!
 
Wa
Wewe unamwamini Nape na DC? 🐼
Wabongo wanachukuliwa upepo na kuhadalaiwa nao wanajaa kichwa kichwa kwenye maigizo ya wana chama tawala wakijashtuka watu wameshasogeza yao kwa ukubwa wao,,wao wakibaki na muendelezo wa kuwa wanyonge
 
Kawaida, chama cha siasa kilichopo madarakani kwa kuchaguliwa ki-demokrasia, hakipaswi kuondolewa madarakani kwa nguvu. Uhalali wa kuiondoa serikali madarakani unapaswa uwe kupitia sanduku la kura katika uchaguzi wa kidemokrasia, na kama kuna ukiukwaji wa haki za uchaguzi, mfumo wa sheria wa nchi unapaswa kurekebisha hilo.

Lakini pale inapothibitika kwamba chama kilicho madarakani kinatumia udanganyifu kuendelea kuwa madarakani, na haiwezekani kupata haki ya uchaguzi kupitia mfumo wa sheria au mahakama, ndipo inapokuwa halali kuiondoa serikali ya chama kilichopo madarakani kwa kutumia nguvu.

Kauli ya aliekuwa Mkuu wa Wilaya ya Longido, Marko Henry Ng'umbi, na ile ya Nape, na muundo wa sasa wa Katiba ya Tanzania vina athari kubwa sana juu ya jambo hili. Utaona kwamba, kama hadi sasa kumetolewa kauli ambazo zinaonyesha serikali ya CCM imekuwa ikitumia nguvu na hila kushinda uchaguzi, na uchaguzi mmojawapo ni ule wa raisi ambao hauwezi kupingwa Mahakamani, basi ni wazi kunakuwa hakuna njia nyingine ya kupata haki ya uchaguzi nchini bali kwa kutumia nguvu, ili kurudisha mazingira ya demokrasia na haki katika uchaguzi.

Na hili linatiwa nguvu na na muundo wa Katiba ya Tanzania ambayo hairuhusu matokeo ya uchaguzi wa raisi kupingwa Mahakamani. Katika mazingira hayo, swali linakuwa, kama tuna Katiba ambayo hairuhusu kwenda Mahakamani kupinga matokeo ya uchaguzi wa Raisi, na hali zimethibitishwa kwamba kunakuwa na utumiaji nguvu na hila kwa chama kilichopo madarakani wakati wa uchaguzi, hali hiyo itarekebishwa vipi? Labda wale watakaoona bado hali hii haitoi uhalali wa kutumia nguvu, watuambie suluhisho hapo linakuwa nini.

Nakumbuka maneno ya Nyerere na Mandela, ambao hata walienda mbali zaidi, kwa kusema iwapo kunakuwa na ukosefu wa uchaguzi wa kidemokrasia, na wale waliopo madarakani hawaruhusu mfumo wa kisheria uruhusu upatikanaji wa uhalali na haki katika uchaguzi, basi inafikia mahali mapambano ya silaha kudai haki yanakuwa halali. Je, Tanzania bado hatujafikia hali hizi? Au je, huko ndiko tunakoelekea?

PIA SOMA
- Kuelekea 2025 - Nape Nnauye: Matokeo ya kura inategemea nani anahesabu na nani anatangaza, ili mradi ukimaliza unasema Mungu nisamehe!

- Kuelekea 2025 - DC Longido: Mazingira ya 2020 na yale yaliyofanyika kwenye mapori yalitengenezwa na serikali ili tupite bila kupingwa!
Wala, hawa wataondoka kwahiari yao siku si nyingi...
 
Kawaida, chama cha siasa kilichopo madarakani kwa kuchaguliwa ki-demokrasia, hakipaswi kuondolewa madarakani kwa nguvu. Uhalali wa kuiondoa serikali madarakani unapaswa uwe kupitia sanduku la kura katika uchaguzi wa kidemokrasia, na kama kuna ukiukwaji wa haki za uchaguzi, mfumo wa sheria wa nchi unapaswa kurekebisha hilo.

Lakini pale inapothibitika kwamba chama kilicho madarakani kinatumia udanganyifu kuendelea kuwa madarakani, na haiwezekani kupata haki ya uchaguzi kupitia mfumo wa sheria au mahakama, ndipo inapokuwa halali kuiondoa serikali ya chama kilichopo madarakani kwa kutumia nguvu.

Kauli ya aliekuwa Mkuu wa Wilaya ya Longido, Marko Henry Ng'umbi, na ile ya Nape, na muundo wa sasa wa Katiba ya Tanzania vina athari kubwa sana juu ya jambo hili. Utaona kwamba, kama hadi sasa kumetolewa kauli ambazo zinaonyesha serikali ya CCM imekuwa ikitumia nguvu na hila kushinda uchaguzi, na uchaguzi mmojawapo ni ule wa raisi ambao hauwezi kupingwa Mahakamani, basi ni wazi kunakuwa hakuna njia nyingine ya kupata haki ya uchaguzi nchini bali kwa kutumia nguvu, ili kurudisha mazingira ya demokrasia na haki katika uchaguzi.

Na hili linatiwa nguvu na na muundo wa Katiba ya Tanzania ambayo hairuhusu matokeo ya uchaguzi wa raisi kupingwa Mahakamani. Katika mazingira hayo, swali linakuwa, kama tuna Katiba ambayo hairuhusu kwenda Mahakamani kupinga matokeo ya uchaguzi wa Raisi, na hali zimethibitishwa kwamba kunakuwa na utumiaji nguvu na hila kwa chama kilichopo madarakani wakati wa uchaguzi, hali hiyo itarekebishwa vipi? Labda wale watakaoona bado hali hii haitoi uhalali wa kutumia nguvu, watuambie suluhisho hapo linakuwa nini.

Nakumbuka maneno ya Nyerere na Mandela, ambao hata walienda mbali zaidi, kwa kusema iwapo kunakuwa na ukosefu wa uchaguzi wa kidemokrasia, na wale waliopo madarakani hawaruhusu mfumo wa kisheria uruhusu upatikanaji wa uhalali na haki katika uchaguzi, basi inafikia mahali mapambano ya silaha kudai haki yanakuwa halali. Je, Tanzania bado hatujafikia hali hizi? Au je, huko ndiko tunakoelekea?

PIA SOMA
- Kuelekea 2025 - Nape Nnauye: Matokeo ya kura inategemea nani anahesabu na nani anatangaza, ili mradi ukimaliza unasema Mungu nisamehe!

- Kuelekea 2025 - DC Longido: Mazingira ya 2020 na yale yaliyofanyika kwenye mapori yalitengenezwa na serikali ili tupite bila kupingwa!
Bila matumizi ya nguvu, CCM haitatoka pale juu.
 
Nape ni kiongozi mwandamizi kasema kweli tupu
Haiwezekani Nape au huyu Marko wawe walisema uongo. Ni kwamba waliteleza tu kutamka kitu ambacho ni siri ndani ya CCM. Na kama CCM wanabisha wawapeleke mahakamani maana kauli zao ni uchochezi wa kiwango ambacho hakijawahi kutokea nchini. Polisi wanasubiri nini kuwakamata?

Katika kuadhimisha miaka 60 ya JWTZ, raisi Samia mwenyewe amewakumbusha JWTZ wana wajibu wa kuilinda mipaka ya Tanzania na Katiba ya Nchi. Mfano wa kufanya hivi tumeambiwa ni vita vya Kagera, na pale Raisi Magufuli alipokufa na kuna watu walitaka Samia asisimikwe kuwa Raisi. Sasa JWTZ, kama wanajua wana wajibu wa kuilinda Katiba ya Nchi, ambayo wanaona wazi CCM inaikiuka kwa makusudi, wanasubiri nini?
 
Kawaida, chama cha siasa kilichopo madarakani kwa kuchaguliwa ki-demokrasia, hakipaswi kuondolewa madarakani kwa nguvu. Uhalali wa kuiondoa serikali madarakani unapaswa uwe kupitia sanduku la kura katika uchaguzi wa kidemokrasia, na kama kuna ukiukwaji wa haki za uchaguzi, mfumo wa sheria wa nchi unapaswa kurekebisha hilo.

Lakini pale inapothibitika kwamba chama kilicho madarakani kinatumia udanganyifu kuendelea kuwa madarakani, na haiwezekani kupata haki ya uchaguzi kupitia mfumo wa sheria au mahakama, ndipo inapokuwa halali kuiondoa serikali ya chama kilichopo madarakani kwa kutumia nguvu.

Kauli ya aliekuwa Mkuu wa Wilaya ya Longido, Marko Henry Ng'umbi, na ile ya Nape, na muundo wa sasa wa Katiba ya Tanzania vina athari kubwa sana juu ya jambo hili. Utaona kwamba, kama hadi sasa kumetolewa kauli ambazo zinaonyesha serikali ya CCM imekuwa ikitumia nguvu na hila kushinda uchaguzi, na uchaguzi mmojawapo ni ule wa raisi ambao hauwezi kupingwa Mahakamani, basi ni wazi kunakuwa hakuna njia nyingine ya kupata haki ya uchaguzi nchini bali kwa kutumia nguvu, ili kurudisha mazingira ya demokrasia na haki katika uchaguzi.

Na hili linatiwa nguvu na na muundo wa Katiba ya Tanzania ambayo hairuhusu matokeo ya uchaguzi wa raisi kupingwa Mahakamani. Katika mazingira hayo, swali linakuwa, kama tuna Katiba ambayo hairuhusu kwenda Mahakamani kupinga matokeo ya uchaguzi wa Raisi, na hali zimethibitishwa kwamba kunakuwa na utumiaji nguvu na hila kwa chama kilichopo madarakani wakati wa uchaguzi, hali hiyo itarekebishwa vipi? Labda wale watakaoona bado hali hii haitoi uhalali wa kutumia nguvu, watuambie suluhisho hapo linakuwa nini.

Nakumbuka maneno ya Nyerere na Mandela, ambao hata walienda mbali zaidi, kwa kusema iwapo kunakuwa na ukosefu wa uchaguzi wa kidemokrasia, na wale waliopo madarakani hawaruhusu mfumo wa kisheria uruhusu upatikanaji wa uhalali na haki katika uchaguzi, basi inafikia mahali mapambano ya silaha kudai haki yanakuwa halali. Je, Tanzania bado hatujafikia hali hizi? Au je, huko ndiko tunakoelekea?

PIA SOMA
- Kuelekea 2025 - Nape Nnauye: Matokeo ya kura inategemea nani anahesabu na nani anatangaza, ili mradi ukimaliza unasema Mungu nisamehe!

- Kuelekea 2025 - DC Longido: Mazingira ya 2020 na yale yaliyofanyika kwenye mapori yalitengenezwa na serikali ili tupite bila kupingwa!
Upo sahihi sana. Hakuna pa kuongeza wala kupunguza. Kwa ujumla unapokuwa na chama kama CCM, ikawepo serikali na vyombo vya dola, kama lilivyo TISS na jeshi la Polisi la Tanzania, halafu hao waovu wakawa wamejitengenezea katiba na sheria mbaya ili kuulinda uovu wao, kufuata taratibu za mfumo wowote waliouweka, inakuwa ni kupoteza muda. Haiwezekani kupatikana haki kupitia uchaguzi, wala kwa kutumia katiba au mahakama. Maana huko kote hawa waovu wanakuwa wametengeneza mifumo ya kulinda na kuendeleza uovu wao. Na hapo ndipo unapokuja uhalali wa Serikali ya namna hii ya CCM, kuondolewa kwa nguvu, kwa kutumia nguvu ya umma au mapinduzi ya kijeshi kama huko jeshini kukiwa na wazalendo wa kweli. Lakini mara nyingi huko kwenye vyombo vya ulinzi na usalama, huwa wanawaweka watu wao kwaajili ya kulinda mifumo ovu waliyoitengeneza.

Kwa ujumla, kwa mazingira ya Tanzania kwa sasa, hakuna tofauti na utawala wa mkoloni, na huenda ni aheri ya ukoloni. Ukoloni huu wa CCM ni mbaya kuliko wa Mjerumani.Ukoloni ni mfumo unaowezesha mtawala kuwatawala watu wa jamii fulani bila ya watawaliwa kuwa na uhuru wa kuamua nani awe kiongozi wao, waongozwe kwa mtumo na utaratibu gani.

Utaratibu ambao ungewawezesha wananchi kuamua namna ya kuongozwa ni ule ambao ungekuwa umeelekezwa na katiba mpya ambayo wananchi wanakuwa wameiandaa kama mwongozo mkuu. Katiba mpya CCM na watawala wake hawataki. Maana yake wanataka wawatawale watanzania kwa namna wanayotaka wao bila ya wananchi kuwa na mamlaka yoyote. Watanzania wametaka kuwepo na Tume huru ya uchaguzi, CCM hawataki, kwa sababu wanataka wananchi wasiwe na namna ya kuamua waongozwe na nani. Wananchi wanataka Mahakama na Bunge iwe mihimili huru, CCM hawataki, kwa sababu wanajua kuwa wao ni waovu, hivyo hawataki kuwepo na chombo chochote huru kinachoweza kusimamia haki, na wao kutokana na uovu wao, wakaondolewa kwa njia za haki na za kikatiba.

Tanzania chini ya CCM, ndiyo nchi pekee ambayo Rais hata akapata kura 10, halafu Tume ya Uchaguzi ya Rais ikamtangaza kuwa mtu fulani ni Rais, hakuna anayeruhusiwa kuhoji mahali popote. Sasa mazingira ya hivyo, si aheri hata ya ukoloni wa Mwingereza uliokuwepo kabla ya uhuru?

Kwa ujumla Tanzania na Watanzania wapo kwenye mazingira magumu ya kuutafuta uhuru na haki, kuliko hata yale mapambano ya kumwondoa mkoloni.
 
Upo sahihi sana. Hakuna pa kuongeza wala kupunguza. Kwa ujumla unapokuwa na chama kama CCM, ikawepo serikali na vyombo vya dola, kama lilivyo TISS na jeshi la Polisi la Tanzania, halafu hao waovu wakawa wamejitengenezea katiba na sheria mbaya ili kuulinda uovu wao, kufuata taratibu za mfumo wowote waliouweka, inakuwa ni kupoteza muda. Haiwezekani kupatikana haki kupitia uchaguzi, wala kwa kutumia katiba au mahakama. Maana huko kote hawa waovu wanakuwa wametengeneza mifumo ya kulinda na kuendeleza uovu wao. Na hapo ndipo unapokuja uhalali wa Serikali ya namna hii ya CCM, kuondolewa kwa nguvu, kwa kutumia nguvu ya umma au mapinduzi ya kijeshi kama huko jeshini kukiwa na wazalendo wa kweli. Lakini mara nyingi huko kwenye vyombo vya ulinzi na usalama, huwa wanawaweka watu wao kwaajili ya kulinda mifumo ovu waliyoitengeneza.

Kwa ujumla, kwa mazingira ya Tanzania kwa sasa, hakuna tofauti na utawala wa mkoloni, na huenda ni aheri ya ukoloni. Ukoloni huu wa CCM ni mbaya kuliko wa Mjerumani.Ukoloni ni mfumo unaowezesha mtawala kuwatawala watu wa jamii fulani bila ya watawaliwa kuwa na uhuru wa kuamua nani awe kiongozi wao, waongozwe kwa mtumo na utaratibu gani.

Utaratibu ambao ungewawezesha wananchi kuamua namna ya kuongozwa ni ule ambao ungekuwa umeelekezwa na katiba mpya ambayo wananchi wanakuwa wameiandaa kama mwongozo mkuu. Katiba mpya CCM na watawala wake hawataki. Maana yake wanataka wawatawale watanzania kwa namna wanayotaka wao bila ya wananchi kuwa na mamlaka yoyote. Watanzania wametaka kuwepo na Tume huru ya uchaguzi, CCM hawataki, kwa sababu wanataka wananchi wasiwe na namna ya kuamua waongozwe na nani. Wananchi wanataka Mahakama na Bunge iwe mihimili huru, CCM hawataki, kwa sababu wanajua kuwa wao ni waovu, hivyo hawataki kuwepo na chombo chochote huru kinachoweza kusimamia haki, na wao kutokana na uovu wao, wakaondolewa kwa njia za haki na za kikatiba.

Tanzania chini ya CCM, ndiyo nchi pekee ambayo Rais hata akapata kura 10, halafu Tume ya Uchaguzi ya Rais ikamtangaza kuwa mtu fulani ni Rais, hakuna anayeruhusiwa kuhoji mahali popote. Sasa mazingira ya hivyo, si aheri hata ya ukoloni wa Mwingereza uliokuwepo kabla ya uhuru?

Kwa ujumla Tanzania na Watanzania wapo kwenye mazingira magumu ya kuutafuta uhuru na haki, kuliko hata yale mapambano ya kumwondoa mkoloni.
Umenena vema sana Mkuu! Hili liko wazi sana, na bila nguvu halitabadilishwa. Watanzania wana option ya kubadlisha uongozi kidemokrasia - lakini CCM wanahujumu chaguzi. Tukisema uchaguzi wa Raisi ulichakachuliwa - CCM wanajitangaza washindi na Kusema matokeo ya uchaguzi wa Raisi hayapelekwi Mahakamani. Watu wakienda Mahakamani kulalamikia matokeo ya uchaguzi wa wabunge na serikali za mitaa - CCM wanaingilia hukumu za mahakama. Tukitaka kurekebisha Katiba kuzuia haya - CCM wanazuia mchakato wa kubadili Katiba. Sasa ni nini kilichobaki kufanywa?
 
Back
Top Bottom