Iran si alilipua kambi za USA kule Iraq au shasahau.Usichojua ni kwamba USA anamtafuta Iran kwa udi & uvumba ili amtifue kama shamba la viazi vitamu. All Israel thing vs Palestine ni just scapegoat. Unaelewa sasa!???
Hana hiyo jeuri,Irani ni mkubwa sio Kuwait wala Iraq ndio maana hawezi fanya chochoteUsichojua ni kwamba USA anamtafuta Iran kwa udi & uvumba ili amtifue kama shamba la viazi vitamu. All Israel thing vs Palestine ni just scapegoat. Unaelewa sasa!???
Mlisema ivyo ivyo kwa Palestin kwamba Israel sio chochote anawashindwa Palestin. Sasa mnakuja kwa Irani, na yeye yakimkuta mnakuja kuomba dunia isimame kwa sababu yakeHana hiyo jeuri,Irani ni mkubwa sio Kuwait wala Iraq ndio maana hawezi fanya chochote
We waache,tupo hapa!Mlisema ivyo ivyo kwa Palestin kwamba Israel sio chochote anawashindwa Palestin. Sasa mnakuja kwa Irani, na yeye yakimkuta mnakuja kuomba dunia isimame kwa sababu yake
Usijitoe ufahamu kwamba Palestina inalingana nguvu na Wayahudi? Mwambie Marekani aanzishe vita na Irani basi uone cha moto na hawezi kwa sababu anajua atakaekuwa wa kwanza kuumia ni IsraelMlisema ivyo ivyo kwa Palestin kwamba Israel sio chochote anawashindwa Palestin. Sasa mnakuja kwa Irani, na yeye yakimkuta mnakuja kuomba dunia isimame kwa sababu yake
Usichojua ni kwamba stori kama hizi zinawezekana JF tuUsichojua ni kwamba USA anamtafuta Iran kwa udi & uvumba ili amtifue kama shamba la viazi vitamu