Kauli ya papa na upotoshaji wa BBC makusudi

Anus is not engineered for sex.....tafsiri.....m.ku.nduu haukuumbwa kwa ajili ya kuf.iirwaa.
 
Kanisa katoliki lina historia ya kuwa na maamuzi tata ndio chanzo cha kuibuka makanisa mengine

Waprotestant waliitwa hivyo baada ya kupinga maamuzi ya kipindi kile ambayo waliona hayaendi sawa na imani ya kikristo.

Hivyo hata hili halishangazi historia imejirudia tena.

Labda tutaona kuzaliwa kwa makanisa mapya haya kanisa la Afrika ambalo litakataa tamaduni za kizungu kuingizwa kwenye kanisa.
 
Asante mkuu kwa ufafanuzi toshelevu!
 
Mzinzi na shoga wote hawa Mimi huwa nawaweka katika kundi moja.
 
mimi sio muislam, na sijasema tuwauwe, ila nimesema sitaki hata kusikia icho kitu. mbona unapenda sana kutaja kuua ua?
Uwezi kuziba masikio kukwepa ukweli. Mashoga wapo ktk jamii tunayoishi, huo ndiyo ukweli, na Papa kasema hawa si watu wa kutengwa wala kuuawa, ni watu wanaoitaji usaidizi ili warejee kwenye njia inayompendexa Mungu. Hapo kosa lake ni lipi kwa wale wanaomdhiaki yeye na kanisa analoliongoza?
 
Afu admins kwa nini mjadala wa ushoga na papa mnazuia replies ?msilete hisia kwenye mijadala huru
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…