Kauli ya papa na upotoshaji wa BBC makusudi

Kauli ya papa na upotoshaji wa BBC makusudi

We utatafsiri na kuchambua vitu kuliko hao native English speaker.
Yani sawa na mzungu aseme anaelewa kiswahiki kuliko native speakers...
Achana na wakatoliki fuata mafundisho ya dini yako tu, ya wakatoliki hayakusaidia kitu
 
Hata mimi nimeishia kucheka tu, maana kauli yake haisemi RC wafungishe ndoa za jinsia moja wala kuspoti ndoa za aina hiyo, bali wanaojihusisha na tabia hiyo.., wanaweza kubarikiwa wao kama binadamu..,Ila sio kubariki wanayoyafanya.
Nadhani wengi wa wanaotoa komenti zao hawakuusoma Waraka ule kwa kina na kuuelewa bali walichukua ufafanuzi uliopotoshwa kwa makusudi na vyombo vya Habari ambavyo pengine ni Wapinzani wa Ukatoliki kuwa ndivyo Waraka original unasema na wanajitahidi kweli-kweli kusambaza uongo huo ili ionekane ni kashfa (scandle) ndani ya Kanisa hilo.
 
Achana na wakatoliki fuata mafundisho ya dini yako tu, ya wakatoliki hayakusaidia kitu
Sisi tunasema kauli aliyosema papa nayo ni habari kama habari nyingine tu. Usiwe na hasira na wapokea habari we mkasirikie mtoa tamko
 
Sisi tunasema kauli aliyosema papa nayo ni habari kama habari nyingine tu. Usiwe na hasira na wapokea habari we mkasirikie mtoa tamko
Mnapotosha ili mjifurahishe tu lakini ukweli utabaki palepale, kanisa katoliki ni mbuyu usiotikisika kwa zaidi ya miaka 2000
 
Mnapotosha ili mjifurahishe tu lakini ukweli utabaki palepale, kanisa katoliki ni mbuyu usiotikisika kwa zaidi ya miaka 2000
Waache wajifurahishe uzuri kanisa katoliki linaandaa watu toka utotoni kujua misingi yake siyo akina mwamposa wanawachukulia ukubwani kwa sababu ya frustration zao. Ndo mana huwezi kumuona mseminari akisema eti naye ameokaka sijui kwa nani. Wanaoenda huko mara nyingi ni mbumbumbi wasiojua chochote
 
Waache wajifurahishe uzuri kanisa katoliki linaandaa watu toka utotoni kujua misingi yake siyo akina mwamposa wanawachukulia ukubwani kwa sababu ya frustration zao. Ndo mana huwezi kumuona mseminari akisema eti naye ameokaka sijui kwa nani. Wanaoenda huko mara nyingi ni mbumbumbi wasiojua chochote
Nakazia na kuongezea: Kanisa Katoliki lina UTARATIBU wake katika suala zima la Mawasiliano. Kama Vatican(Pope) akitoa TAMKO basi Wafuasi wa Kanisa hilo Duniani kote watalipokea Tamko hilo pamoja na Tafsiri yake kutoka au kupitia kwa Maaskofu wao, Mapadre wenye dhamana ya Kanisa mahalia na sio vinginevyo e.g. eti BBC,CNN, Youtube, n.k. n.k.
 
Wanasahau kwamba wateja wakubwa wa mashoga ni kutoka mikoa ya mwambao wa bahari hasahasa wa dini ileeeeee, ambayo kila mmmoja anaijua!
Ni kweli mkuu hata huyu papa wanatafiti wa mambo wanasema anatokea mikoa hiyo kumlaum ni kumuonea tu, kwani mkuu we mwanao akiwa shoga utamuua? Naiman utamuombea tu au ikiwezekana utamfungisha ndoa na bwana ampendae we ni nani hata kuhukumu haya mambo ya mwambao wanapotoka watu wa dini ileeeeee ambayo kila mmoja anaijua
 
Ni kweli mkuu hata huyu papa wanatafiti wa mambo wanasema anatokea mikoa hiyo kumlaum ni kumuonea tu, kwani mkuu we mwanao akiwa shoga utamuua? Naiman utamuombea tu au ikiwezekana utamfungisha ndoa na bwana ampendae we ni nani hata kuhukumu haya mambo ya mwambao wanapotoka watu wa dini ileeeeee ambayo kila mmoja anaijua
Ewaaaaaaaa! 🤣
 
UPOTOSHAJI JUU YA KAULI YA PAPA FRANCIS NA KANISA LA ROMAN CATHORIC KUHUSU NDOA ZA JINSIA MOJA NA TAARIFA ZA VYOMBO VYA HABARI

Na Mansour Jumanne (Senior Journalist )

Kumekuwa na upotoshaji mkubwa saana ,ambao umenukuliwa na Vyombo vingi vya habari vya ndani na nje kuhusu Kauli aliyoitoa Papa kiufupi jambo hili limepotoshwa na Vyombo vingi vya ndani na nje ya Tanzania kwa ufupi Papa aliulizwa swali na waandishi kuhusu watu wanaojihusisha na ndoa za jinsia moja kwa maana ya ushoga na usagaji.

Swali hilo aliulizwa alipokuwa na mkutano na vijana ambao umekuwa ni utaratibu wake.

Aliulizwa yapo Mataifa yamepitisha sheria ya kuwauwa watu wanaojihusisha na ushoga na usagaji na pia yapo makanisa na jamii zimewatenga na hawaruhusiwi hata kusogelea Kanisa.

Papa akajibu,Hatutakiwi kuwauwa wala kuwatenga na akasema,inapotokea watu wanaojihusisha na usagaji,ushoga na usenge wameenda Kanisani wasifukuzwe wala kuadhibiwa kwa kuuliwa bali ni kazi ya Kanisa kuwapokea na kuwaombea ili wabadilike na kumrejea mwenyezi Mungu.

Papa alisema hayo kutokana na baadhi ya mataifa kuchukua uamuzi wa kuwauwa na kuwatenga.

Akasema kazi ya Kanisa siyo kuwauwa na Kuwatenga bali kuwapokea na kuwaombea.

Hili suala sielewi linaleta mkanganyiko wapi?

1.Je ni kosa kuwaombea mashoga na wasagaji ili waongoke?

2.Watenda dhambi adhabu yao ni kuwauwa ama kuwasaidia watoke dhambini?

Kanisa Katoliki katika moja ya Dogma zake ni kutokubaliana na adhabu ya Kifo.

Pamoja na Mataifa mengi kupitisha adhabu ya kifo msimamo wa Kanisa Katoliki haujawahi kuunga mkono adhabu ya kifo,siyo kwa mashoga na wasagaji tu bali hata kwa watenda dhambi wengine wanaoadhibiwa kifo.

Kiufuli Taarifa hiyo haina effects yeyote. Halafu “Vatican policy ndo nini? The Roman Catholic Church haiongonzwi na policy. Vatican as a state kama Tanzania has its policy. We don’t have policies in Religious matters.

Pope anapotoa anapoongea issue nzito ambayo huleta mabadiliko ya kiulimwengu kwanza lazima asome kilichoandikwa, pili lazima akae kwenye kiti maalum au tunaita “ex cathedra” Mengine kwenye mahojiano mbalimbali is just an opinion

Still a Pope is like any other bishops. We call him “ First among the equal” Pope alone hawezi fanya mabadiliko pale anapojisikia na kama akijaribu basi “Curia” itafanyakazi yake. When I have time I will write about…”killing in God’s name.

Changamoto ambazo zinausumbua ulimwengu wa habari kwa sasa ni pamoja na...
Misinformation,Disinformation,Propaganda,Black Propaganda,White Propaganda,Grey Propaganda,Fake news,Wrong sources,Hate Speeches,Single source,Defamation,Sedition.

Ukisoma Waraka uliotoka Jumatatu hii ya tarehe 18.12.2023.

Umesisitiza,msimamo wa Kanisa Katoliki unabaki kuwa ndoa ni Kati ya mwanaume na mwanamke na hautabadilika.

Ila watu hawa walioanguka dhambini kwa kujihusisha na ndoa za jinsia moja wasiuliwe wala kufukuzwa wanapokwenda Kanisani.

Waraka unesisitiza makasisi kuwapa huduma watu hawa kwa kuwaombea waongoke.

Kanisa limeelekeza kutowatenga bali kuwapa huduma za kiroho kama wadhambi wengine na ikibidi waungame na kuacha dhambi ya ushoga na usagaji.

Nadhani mkanganyiko ni msimamo wa Kanisa wa..
1.Kutowauwa

0757449757
Mansour Jumanne
Senior Journalist
mie ni muislamu lakini huu uongo anaosingiziwa papa nitamtetea kwa nguvu zote
 
mie ni muislamu lakini huu uongo anaosingiziwa papa nitamtetea kwa nguvu zote
Hii Haina Udini Uislamu Wala Ukristo Sio Muislamu Tu Anatakiwa Kupinga Hata Mkristo,acha Kutetea Upuuzi Unashindwa Tetea Dini Yako Hata Kwa Sadaka Ya Mia Tano, Leo Unasema Unamtetea Papa Tena Kwa Nguvu Zako Zote
 
Papa, wachungaji, manabii, mapadre watapita ila neno la Mungu litasimama.

Tujifunze na tuamini neno la Mungu kuwa ni kweli na amina.

Imani iliyojengwa kwa msingi wa neno la Mungu hautatikisika, ila kama umejengwa kwa maoni na mawazo ya watu lazima ibomoke.
 
kusema ukweli, sihitaji hata kuwasikia. hata kujadili tu inatia kichefuchefu.
Hapa Tanzania mashoga walio wengi ni Waislam na mnaishi nao, kwanini hamjawaua?. Binadamu sijuhi ni kwann tuna tabia za kinafiki, mnaishi na tatizo lakini mbele za watu mnajifanya hamlijuhi. Zanzibar na Mombasa kwa Africa Mashariki wanaongoza kwa mashoga, na walio wengi ni jamii ya Kiislam, Papa ndiye anaewatuma?

Ukatoriki unaamini Yesu alikuja kuwaokoa wenye dhambi, siyo kuuwa wenye dhambi, "mgojwa uitaji tabibu zaii kuliko mwenye siha". Papa kosa lake nini kuimiza watenda dhambi waokolewe na kurudishwa kwenye mstari unaompendexa Mungu?
 
Hapa Tanzania mashoga walio wengi ni Waislam na mnaishi nao, kwanini hamjawaua?. Binadamu sijuhi ni kwann tuna tabia za kinafiki, mnaishi na tatizo lakini mbele za watu mnajifanya hamlijuhi. Zanzibar na Mombasa kwa Africa Mashariki wanaongoza kwa mashoga, na walio wengi ni jamii ya Kiislam, Papa ndiye anaewatuma?

Ukatoriki unaamini Yesu alikuja kuwaokoa wenye dhambi, siyo kuuwa wenye dhambi, "mgojwa uitaji tabibu zaii kuliko mwenye siha". Papa kosa lake nini kuimiza watenda dhambi waokolewe na kurudishwa kwenye mstari unaompendexa Mungu?
mimi sio muislam, na sijasema tuwauwe, ila nimesema sitaki hata kusikia icho kitu. mbona unapenda sana kutaja kuua ua?
 
UPOTOSHAJI JUU YA KAULI YA PAPA FRANCIS NA KANISA LA ROMAN CATHORIC KUHUSU NDOA ZA JINSIA MOJA NA TAARIFA ZA VYOMBO VYA HABARI

Na Mansour Jumanne (Senior Journalist )

Kumekuwa na upotoshaji mkubwa saana ,ambao umenukuliwa na Vyombo vingi vya habari vya ndani na nje kuhusu Kauli aliyoitoa Papa kiufupi jambo hili limepotoshwa na Vyombo vingi vya ndani na nje ya Tanzania kwa ufupi Papa aliulizwa swali na waandishi kuhusu watu wanaojihusisha na ndoa za jinsia moja kwa maana ya ushoga na usagaji.

Swali hilo aliulizwa alipokuwa na mkutano na vijana ambao umekuwa ni utaratibu wake.

Aliulizwa yapo Mataifa yamepitisha sheria ya kuwauwa watu wanaojihusisha na ushoga na usagaji na pia yapo makanisa na jamii zimewatenga na hawaruhusiwi hata kusogelea Kanisa.

Papa akajibu,Hatutakiwi kuwauwa wala kuwatenga na akasema,inapotokea watu wanaojihusisha na usagaji,ushoga na usenge wameenda Kanisani wasifukuzwe wala kuadhibiwa kwa kuuliwa bali ni kazi ya Kanisa kuwapokea na kuwaombea ili wabadilike na kumrejea mwenyezi Mungu.

Papa alisema hayo kutokana na baadhi ya mataifa kuchukua uamuzi wa kuwauwa na kuwatenga.

Akasema kazi ya Kanisa siyo kuwauwa na Kuwatenga bali kuwapokea na kuwaombea.

Hili suala sielewi linaleta mkanganyiko wapi?

1.Je ni kosa kuwaombea mashoga na wasagaji ili waongoke?

2.Watenda dhambi adhabu yao ni kuwauwa ama kuwasaidia watoke dhambini?

Kanisa Katoliki katika moja ya Dogma zake ni kutokubaliana na adhabu ya Kifo.

Pamoja na Mataifa mengi kupitisha adhabu ya kifo msimamo wa Kanisa Katoliki haujawahi kuunga mkono adhabu ya kifo,siyo kwa mashoga na wasagaji tu bali hata kwa watenda dhambi wengine wanaoadhibiwa kifo.

Kiufuli Taarifa hiyo haina effects yeyote. Halafu “Vatican policy ndo nini? The Roman Catholic Church haiongonzwi na policy. Vatican as a state kama Tanzania has its policy. We don’t have policies in Religious matters.

Pope anapotoa anapoongea issue nzito ambayo huleta mabadiliko ya kiulimwengu kwanza lazima asome kilichoandikwa, pili lazima akae kwenye kiti maalum au tunaita “ex cathedra” Mengine kwenye mahojiano mbalimbali is just an opinion

Still a Pope is like any other bishops. We call him “ First among the equal” Pope alone hawezi fanya mabadiliko pale anapojisikia na kama akijaribu basi “Curia” itafanyakazi yake. When I have time I will write about…”killing in God’s name.

Changamoto ambazo zinausumbua ulimwengu wa habari kwa sasa ni pamoja na...
Misinformation,Disinformation,Propaganda,Black Propaganda,White Propaganda,Grey Propaganda,Fake news,Wrong sources,Hate Speeches,Single source,Defamation,Sedition.

Ukisoma Waraka uliotoka Jumatatu hii ya tarehe 18.12.2023.

Umesisitiza,msimamo wa Kanisa Katoliki unabaki kuwa ndoa ni Kati ya mwanaume na mwanamke na hautabadilika.

Ila watu hawa walioanguka dhambini kwa kujihusisha na ndoa za jinsia moja wasiuliwe wala kufukuzwa wanapokwenda Kanisani.

Waraka unesisitiza makasisi kuwapa huduma watu hawa kwa kuwaombea waongoke.

Kanisa limeelekeza kutowatenga bali kuwapa huduma za kiroho kama wadhambi wengine na ikibidi waungame na kuacha dhambi ya ushoga na usagaji.

Nadhani mkanganyiko ni msimamo wa Kanisa wa..
1.Kutowauwa

0757449757
Mansour Jumanne
Senior Journalist
Umeliweka sawia!
 

Attachments

  • Screenshot_2023-12-20-06-08-33-27.jpg
    Screenshot_2023-12-20-06-08-33-27.jpg
    40.5 KB · Views: 3
Back
Top Bottom