Kauli ya papa na upotoshaji wa BBC makusudi

Kauli ya papa na upotoshaji wa BBC makusudi

Mbona wafiraji unawapenda, iweje uwachukie wake zao? 😆
wafiraji na wafirwaji wote sehemu yao ni katika lile ziwa liwakalo moto na kiberiti. hii ndio mauti ya pili. mwogopeni Mungu. na hii inajumuisha wote, wanawake wanaofirwa, wanaume wanaofirwa, na wanaume wanaofira wanaume na wanawake. hukumu ipo juu yenu.
 
UPOTOSHAJI JUU YA KAULI YA PAPA FRANCIS NA KANISA LA ROMAN CATHORIC KUHUSU NDOA ZA JINSIA MOJA NA TAARIFA ZA VYOMBO VYA HABARI

Na Mansour Jumanne (Senior Journalist )

Kumekuwa na upotoshaji mkubwa saana ,ambao umenukuliwa na Vyombo vingi vya habari vya ndani na nje kuhusu Kauli aliyoitoa Papa kiufupi jambo hili limepotoshwa na Vyombo vingi vya ndani na nje ya Tanzania kwa ufupi Papa aliulizwa swali na waandishi kuhusu watu wanaojihusisha na ndoa za jinsia moja kwa maana ya ushoga na usagaji.

Swali hilo aliulizwa alipokuwa na mkutano na vijana ambao umekuwa ni utaratibu wake.

Aliulizwa yapo Mataifa yamepitisha sheria ya kuwauwa watu wanaojihusisha na ushoga na usagaji na pia yapo makanisa na jamii zimewatenga na hawaruhusiwi hata kusogelea Kanisa.

Papa akajibu,Hatutakiwi kuwauwa wala kuwatenga na akasema,inapotokea watu wanaojihusisha na usagaji,ushoga na usenge wameenda Kanisani wasifukuzwe wala kuadhibiwa kwa kuuliwa bali ni kazi ya Kanisa kuwapokea na kuwaombea ili wabadilike na kumrejea mwenyezi Mungu.

Papa alisema hayo kutokana na baadhi ya mataifa kuchukua uamuzi wa kuwauwa na kuwatenga.

Akasema kazi ya Kanisa siyo kuwauwa na Kuwatenga bali kuwapokea na kuwaombea.

Hili suala sielewi linaleta mkanganyiko wapi?

1.Je ni kosa kuwaombea mashoga na wasagaji ili waongoke?

2.Watenda dhambi adhabu yao ni kuwauwa ama kuwasaidia watoke dhambini?

Kanisa Katoliki katika moja ya Dogma zake ni kutokubaliana na adhabu ya Kifo.

Pamoja na Mataifa mengi kupitisha adhabu ya kifo msimamo wa Kanisa Katoliki haujawahi kuunga mkono adhabu ya kifo,siyo kwa mashoga na wasagaji tu bali hata kwa watenda dhambi wengine wanaoadhibiwa kifo.

Kiufuli Taarifa hiyo haina effects yeyote. Halafu “Vatican policy ndo nini? The Roman Catholic Church haiongonzwi na policy. Vatican as a state kama Tanzania has its policy. We don’t have policies in Religious matters.

Pope anapotoa anapoongea issue nzito ambayo huleta mabadiliko ya kiulimwengu kwanza lazima asome kilichoandikwa, pili lazima akae kwenye kiti maalum au tunaita “ex cathedra” Mengine kwenye mahojiano mbalimbali is just an opinion

Still a Pope is like any other bishops. We call him “ First among the equal” Pope alone hawezi fanya mabadiliko pale anapojisikia na kama akijaribu basi “Curia” itafanyakazi yake. When I have time I will write about…”killing in God’s name.

Changamoto ambazo zinausumbua ulimwengu wa habari kwa sasa ni pamoja na...
Misinformation,Disinformation,Propaganda,Black Propaganda,White Propaganda,Grey Propaganda,Fake news,Wrong sources,Hate Speeches,Single source,Defamation,Sedition.

Ukisoma Waraka uliotoka Jumatatu hii ya tarehe 18.12.2023.

Umesisitiza,msimamo wa Kanisa Katoliki unabaki kuwa ndoa ni Kati ya mwanaume na mwanamke na hautabadilika.

Ila watu hawa walioanguka dhambini kwa kujihusisha na ndoa za jinsia moja wasiuliwe wala kufukuzwa wanapokwenda Kanisani.

Waraka unesisitiza makasisi kuwapa huduma watu hawa kwa kuwaombea waongoke.

Kanisa limeelekeza kutowatenga bali kuwapa huduma za kiroho kama wadhambi wengine na ikibidi waungame na kuacha dhambi ya ushoga na usagaji.

Nadhani mkanganyiko ni msimamo wa Kanisa wa..
1.Kutowauwa

0757449757
Mansour Jumanne
Senior Journalist
acha upumbavu bhn hivi n sanamu ndo zimekupumbaza au sasa nenda kwenye website ya vatican washaweka taarifa radmi....afu uje tena kivingne......
 
Tatizo waandishi wengi wa kisasa hawako imformed na hawafanyi utafiti. Kabla ya kuandika na kushabikia uzushi kama huo mwandishi anapaswa kujua taratibu za kanisa katoliki, kama papa anao uwezo wa kutoa uamuzi mkubwa kama huo kupitia mahojiano tu.
Pili nini tafsiri sahihi ya neno la kiingereza blessing?
 
UPOTOSHAJI JUU YA KAULI YA PAPA FRANCIS NA KANISA LA ROMAN CATHORIC KUHUSU NDOA ZA JINSIA MOJA NA TAARIFA ZA VYOMBO VYA HABARI

Na Mansour Jumanne (Senior Journalist )

Kumekuwa na upotoshaji mkubwa saana ,ambao umenukuliwa na Vyombo vingi vya habari vya ndani na nje kuhusu Kauli aliyoitoa Papa kiufupi jambo hili limepotoshwa na Vyombo vingi vya ndani na nje ya Tanzania kwa ufupi Papa aliulizwa swali na waandishi kuhusu watu wanaojihusisha na ndoa za jinsia moja kwa maana ya ushoga na usagaji.

Swali hilo aliulizwa alipokuwa na mkutano na vijana ambao umekuwa ni utaratibu wake.

Aliulizwa yapo Mataifa yamepitisha sheria ya kuwauwa watu wanaojihusisha na ushoga na usagaji na pia yapo makanisa na jamii zimewatenga na hawaruhusiwi hata kusogelea Kanisa.

Papa akajibu,Hatutakiwi kuwauwa wala kuwatenga na akasema,inapotokea watu wanaojihusisha na usagaji,ushoga na usenge wameenda Kanisani wasifukuzwe wala kuadhibiwa kwa kuuliwa bali ni kazi ya Kanisa kuwapokea na kuwaombea ili wabadilike na kumrejea mwenyezi Mungu.

Papa alisema hayo kutokana na baadhi ya mataifa kuchukua uamuzi wa kuwauwa na kuwatenga.

Akasema kazi ya Kanisa siyo kuwauwa na Kuwatenga bali kuwapokea na kuwaombea.

Hili suala sielewi linaleta mkanganyiko wapi?

1.Je ni kosa kuwaombea mashoga na wasagaji ili waongoke?

2.Watenda dhambi adhabu yao ni kuwauwa ama kuwasaidia watoke dhambini?

Kanisa Katoliki katika moja ya Dogma zake ni kutokubaliana na adhabu ya Kifo.

Pamoja na Mataifa mengi kupitisha adhabu ya kifo msimamo wa Kanisa Katoliki haujawahi kuunga mkono adhabu ya kifo,siyo kwa mashoga na wasagaji tu bali hata kwa watenda dhambi wengine wanaoadhibiwa kifo.

Kiufuli Taarifa hiyo haina effects yeyote. Halafu “Vatican policy ndo nini? The Roman Catholic Church haiongonzwi na policy. Vatican as a state kama Tanzania has its policy. We don’t have policies in Religious matters.

Pope anapotoa anapoongea issue nzito ambayo huleta mabadiliko ya kiulimwengu kwanza lazima asome kilichoandikwa, pili lazima akae kwenye kiti maalum au tunaita “ex cathedra” Mengine kwenye mahojiano mbalimbali is just an opinion

Still a Pope is like any other bishops. We call him “ First among the equal” Pope alone hawezi fanya mabadiliko pale anapojisikia na kama akijaribu basi “Curia” itafanyakazi yake. When I have time I will write about…”killing in God’s name.

Changamoto ambazo zinausumbua ulimwengu wa habari kwa sasa ni pamoja na...
Misinformation,Disinformation,Propaganda,Black Propaganda,White Propaganda,Grey Propaganda,Fake news,Wrong sources,Hate Speeches,Single source,Defamation,Sedition.

Ukisoma Waraka uliotoka Jumatatu hii ya tarehe 18.12.2023.

Umesisitiza,msimamo wa Kanisa Katoliki unabaki kuwa ndoa ni Kati ya mwanaume na mwanamke na hautabadilika.

Ila watu hawa walioanguka dhambini kwa kujihusisha na ndoa za jinsia moja wasiuliwe wala kufukuzwa wanapokwenda Kanisani.

Waraka unesisitiza makasisi kuwapa huduma watu hawa kwa kuwaombea waongoke.

Kanisa limeelekeza kutowatenga bali kuwapa huduma za kiroho kama wadhambi wengine na ikibidi waungame na kuacha dhambi ya ushoga na usagaji.

Nadhani mkanganyiko ni msimamo wa Kanisa wa..
1.Kutowauwa

0757449757
Mansour Jumanne
Senior Journalist
Labda wanafikiri dhambi ni ushoga na usagaji tu!!, Kama hata uongo, wizi, ukahaba na mengine maovu mengi basi tutawafukuza wote kanisani, daima tambua kanisa ni la wenye dhambi,
Kwa sisi wakristo kwenye biblia Yesu aliulizwa kwa nn anashinda na kula na wenye dhambi?? Akawajibu wenye afya hawahitaji tabibu bali wagonjwa, sasa kama utawafukuza msaada wataupata wapi, inabidi wawe karibu na kanisa ili waongoke


MWISHO MWENYE KUHUKUMU NI MUNGU PEKEE SIO BINADAMU, MSIJIPE MAMLAKA HAYO, KUMBUKENI WENGINE HUONGOKA SIKU YA MWISHO YA KIFO CHAO, MWENYEZI MUNGU AWAONGOZE
 
Shida kanisa letu Lina endeshwa na brains kubwa Sasa wenye brain ndogo kama wewe au nyie hamtalielewa kamwe. Mtawaelewa akina mwamposa na mafuta ya kukanyaga tu. Shida ni elimu ndo shida kubwa
Papa kalegeza misimamo ya ushoga..
Kasema mapadri wawabariki mashoga lakini nje ya kanisa..
Kama kuwabariki nje ya kanusa sio kitu kikubwa kwanini ametoa ruhusa?
Wazungu huwajui wewe
Ushoga kwao ni utamaduni
 
Tatizo waandishi wengi wa kisasa hawako imformed na hawafanyi utafiti. Kabla ya kuandika na kushabikia uzushi kama huo mwandishi anapaswa kujua taratibu za kanisa katoliki, kama papa anao uwezo wa kutoa uamuzi mkubwa kama huo kupitia mahojiano tu.
Pili nini tafsiri sahihi ya neno la kiingereza blessing?
Kwa hiyo CNN, BBC, Times wote wamekosea mkuu na hawakuelewa vizuri?
 
Acheni kumtetea PAPA,amekosea kweli, na mnahitaji Papa mwingine. huyu kawaharibia sana.

Ni wapuuzi na waongo ndio wanaweza kusambaza au hata kuamini kuwa Papa ameruhusu ndoa za jinsia moja. Ni uwongo mkubwa.

Papa alichosisitiza ni kuwa ushoga ni dhambi lakini siyo jinai kiasi cha mtu hao watu kuadhibiwa kwa kufungwa au kuuawa. Kanisa Katoliki halina utaratibu wa kuwaadhibu watenda dhambi, bali linasisitoza toba.

Tena kwa kukazia zaidi alisema kuwa ndoa ni kati ya mume na mke tu. Hayo mambo ya ushoga inaweza kuwa ni union tu lakini haiwezi kuitwa ni ndoa.
 
Wewe unajua maana ya neno "blessing" kwa wakatoliki?
We utatafsiri na kuchambua vitu kuliko hao native English speaker.
Yani sawa na mzungu aseme anaelewa kiswahiki kuliko native speakers...
 
UPOTOSHAJI JUU YA KAULI YA PAPA FRANCIS NA KANISA LA ROMAN CATHORIC KUHUSU NDOA ZA JINSIA MOJA NA TAARIFA ZA VYOMBO VYA HABARI

Papa akajibu; ".....Hatutakiwi kuwauwa wala kuwatenga na akasema,inapotokea watu wanaojihusisha na usagaji,ushoga na usenge wameenda Kanisani wasifukuzwe wala kuadhibiwa kwa kuuliwa bali ni kazi ya Kanisa kuwapokea na kuwaombea ili wabadilike na kumrejea mwenyezi Mungu..."

Kama Papa alijibu hivi, then, bila hata kujitetea saaana hapa ndugu deblabant, kumbe ni kweli haina maana ya kuwa Kanisa Katoliki limerihusu ndoa za jinsia moja...

Pamoja na kuwa haya ni maoni yake binafsi Papa lakini pia huu ndio ukweli wenyewe ya namna ambayo kanisa linapaswa kumtendea mwenye dhambi yeyote anapokuwa ndani ya kanisa. Dhambi si ushoga na usagaji tu. Makanisani na misikitini kuna waongo, mafisadi, wezi, waongo, watukanaji nk nk. Wote hawa wanalihitaji kanisa kuwasadia kubadili mienendo yao mibaya na kushika mwenendo mwema na mpya...

Kama makanisa yatakuwa na utamaduni wa kuwatenga au kuwanyanyapaa wenye dhambi, basi hiyo itakuwa ni kwenda kinyume na mafundisho ya injili ya Yesu Kristo na Kwa namna hii maana yake ni kusema kuwa Yesu Kristo hakuwa na maana kuja kuuokoa ulimwengu..

Yesu Kristo mwenyewe katika maisha yake na huduma yake hapa duniani alikuwa ni rafiki wa wenye dhambi wote. Kamwe hakuwahi kumnyanyapaa mwenye dhambi awaye yeyote aliyekuja kwake..

Katika kitabu cha Yohana sura ya 8, tunamuona Yesu akiwa ameletewa mwanamke mmoja na wafia dini wakimshitaki kwa kutumia sheria ya Musa (TORATI) ya kuwa amefumaniwa akifanya uzinzi na kwa mujibu wa sheria hiyo eti mtu wa namna hiyo hupigwa kwa mawe mpaka afe. Wakamuuliza wewe Yesu unasemaje?

Yesu aliwajibu jibu rahisi sana lililowatawanya wote mmoja mmoja na akabaki mwanamke peke yake akiwa na Yesu. Aliwaambia;

"....ni kweli, sheria ya Musa inasema hivyo. Hata hivyo, mimi nataka yeyote miongoni mwenu mnaomshitaki mama huyu ambaye hana dhambi, basi awe wa kwanza kumtupia jiwe mwanamke huyu.."

Kwa jibu hilo, mmoja baada ya mwingine aliondoka bila kuaga kuthibitisha kuwa kumbe hata wao walikuwa na dhambi kubwa na pengine nyingi na mbaya zaidi kuliko ya huyu mama...!

Ndivyo ilivyo hata kwa sisi leo. Tuna tabia ya kuwahukumu wengine zaidi kuliko kujiangalia na kujihurumia sisi kwanza.

Watu wamekomaa tukidhani ubaya au dhambi ni ushoga na usagaji tu. Tunasahau Kila mtu ni mwenye dhambi (uchafu) katika kiwango na range yake...

Kanisa linalowanyanyapaa mashoga na wasagaji hilo sio kanisa la Yesu Kristo. Kazi ya kanisa ni kurekebisha tabia za watu. Ni kubadilisha tabia za watu kutoka kwenye mwenendo mbaya na kuwaongoza kwenda kwenye mwenendo mwema unaokubalika mbele ya Mungu Kwa kutumia mafundisho ya injili ya Yesu Kristo..

Kanisa halibariki mwenendo mbaya. Kanisa linawakaribisha wote wenye mwenendo mbaya katika jamii mfano: mashoga, wasagaji, watukanaji, majambazi, wezi, wauaji, mafisadi, wazinzi, waasherati, wachoyo, wabinafsi, wakorofi, wapiga waume su wake zao nk nk na kanisa litawabadilisha na kuwa watu wema..

Asante
 
Back
Top Bottom