Kauli ya papa na upotoshaji wa BBC makusudi

Kauli ya papa na upotoshaji wa BBC makusudi

Acheni kumtetea PAPA,amekosea kweli, na mnahitaji Papa mwingine. huyu kawaharibia sana.
Mimi nimeelewa kama huyu ndugu muandishi.
Bakara au blessings ndani ya kanisa katoliki zipo kwa namna nyingi tofauti.
Anaposema wapate baraka inaweza kuwa katika sakaramenti zingine tofauti na ndoa mfano ubatizo, kipaimara, n.k.
Imeelezwa wazi kabisa msimamo wa kanisa juu ya ndoa ni kati ya mwanaume na mwanamke (si waume kwa waume au wakike kwa wakike).
 
Mimi nimeelewa kama huyu ndugu muandishi.
Bakara au blessings ndani ya kanisa katoliki zipo kwa namna nyingi tofauti.
Anaposema wapate baraka inaweza kuwa katika sakaramenti zingine tofauti na ndoa mfano ubatizo, kipaimara, n.k.
Imeelezwa wazi kabisa msimamo wa kanisa juu ya ndoa ni kati ya mwanaume na mwanamke (si waume kwa waume au wakike kwa wakike).
RUKSA IMETOKAA TAYARI HAPOO,WE NAE VIPI??UNASHINDWA TUH KUJIONGEZA??

DJ

WEKA ULE WIMBO UNAOSEMA MTAFUTE MTAFUTEEE,MTAFUTE WA KURUKA NAEEE,WE MTAFUTE MTAFUTE WA KUDANGA NAEEE,MOJA MOJA PAPA KARUHUSU TURUKEEE...!!!

TEH TEH TEH
 
zanzibar kuna nuka nini aisee? kule kwa yule afande.
KANISA KATOLIKI LINANUKA MAVII,ANGALIA SANA LINDA SANA MARINDA YAKO HAYAKO SALAMA TENAA

DJ

WEKA ULE WIMBO UNAOSEMA MTAFUTE MTAFUTEEE,MTAFUTE WA KURUKA NAEEE,WE MTAFUTE MTAFUTE WA KUDANGA NAEEE,MOJA MOJA PAPA KARUHUSU TURUKEEE...!!!

TEH TEH TEH
 
KANISA KATOLIKI LINANUKA MAVII,ANGALIA SANA LINDA SANA MARINDA YAKO HAYAKO SALAMA TENAA

DJ

WEKA ULE WIMBO UNAOSEMA MTAFUTE MTAFUTEEE,MTAFUTE WA KURUKA NAEEE,WE MTAFUTE MTAFUTE WA KUDANGA NAEEE,MOJA MOJA PAPA KARUHUSU TURUKEEE...!!!

TEH TEH TEH
kwa hapo nakubaliana na wewe, Papa kawaingiza cha kike sana hawa wakatoliki.
 
UPOTOSHAJI JUU YA KAULI YA PAPA FRANCIS NA KANISA LA ROMAN CATHORIC KUHUSU NDOA ZA JINSIA MOJA NA TAARIFA ZA VYOMBO VYA HABARI

Na Mansour Jumanne (Senior Journalist )

Kumekuwa na upotoshaji mkubwa saana ,ambao umenukuliwa na Vyombo vingi vya habari vya ndani na nje kuhusu Kauli aliyoitoa Papa kiufupi jambo hili limepotoshwa na Vyombo vingi vya ndani na nje ya Tanzania kwa ufupi Papa aliulizwa swali na waandishi kuhusu watu wanaojihusisha na ndoa za jinsia moja kwa maana ya ushoga na usagaji.

Swali hilo aliulizwa alipokuwa na mkutano na vijana ambao umekuwa ni utaratibu wake.

Aliulizwa yapo Mataifa yamepitisha sheria ya kuwauwa watu wanaojihusisha na ushoga na usagaji na pia yapo makanisa na jamii zimewatenga na hawaruhusiwi hata kusogelea Kanisa.

Papa akajibu,Hatutakiwi kuwauwa wala kuwatenga na akasema,inapotokea watu wanaojihusisha na usagaji,ushoga na usenge wameenda Kanisani wasifukuzwe wala kuadhibiwa kwa kuuliwa bali ni kazi ya Kanisa kuwapokea na kuwaombea ili wabadilike na kumrejea mwenyezi Mungu.

Papa alisema hayo kutokana na baadhi ya mataifa kuchukua uamuzi wa kuwauwa na kuwatenga.

Akasema kazi ya Kanisa siyo kuwauwa na Kuwatenga bali kuwapokea na kuwaombea.

Hili suala sielewi linaleta mkanganyiko wapi?

1.Je ni kosa kuwaombea mashoga na wasagaji ili waongoke?

2.Watenda dhambi adhabu yao ni kuwauwa ama kuwasaidia watoke dhambini?

Kanisa Katoliki katika moja ya Dogma zake ni kutokubaliana na adhabu ya Kifo.

Pamoja na Mataifa mengi kupitisha adhabu ya kifo msimamo wa Kanisa Katoliki haujawahi kuunga mkono adhabu ya kifo,siyo kwa mashoga na wasagaji tu bali hata kwa watenda dhambi wengine wanaoadhibiwa kifo.

Kiufuli Taarifa hiyo haina effects yeyote. Halafu “Vatican policy ndo nini? The Roman Catholic Church haiongonzwi na policy. Vatican as a state kama Tanzania has its policy. We don’t have policies in Religious matters.

Pope anapotoa anapoongea issue nzito ambayo huleta mabadiliko ya kiulimwengu kwanza lazima asome kilichoandikwa, pili lazima akae kwenye kiti maalum au tunaita “ex cathedra” Mengine kwenye mahojiano mbalimbali is just an opinion

Still a Pope is like any other bishops. We call him “ First among the equal” Pope alone hawezi fanya mabadiliko pale anapojisikia na kama akijaribu basi “Curia” itafanyakazi yake. When I have time I will write about…”killing in God’s name.

Changamoto ambazo zinausumbua ulimwengu wa habari kwa sasa ni pamoja na...
Misinformation,Disinformation,Propaganda,Black Propaganda,White Propaganda,Grey Propaganda,Fake news,Wrong sources,Hate Speeches,Single source,Defamation,Sedition.

Ukisoma Waraka uliotoka Jumatatu hii ya tarehe 18.12.2023.

Umesisitiza,msimamo wa Kanisa Katoliki unabaki kuwa ndoa ni Kati ya mwanaume na mwanamke na hautabadilika.

Ila watu hawa walioanguka dhambini kwa kujihusisha na ndoa za jinsia moja wasiuliwe wala kufukuzwa wanapokwenda Kanisani.

Waraka unesisitiza makasisi kuwapa huduma watu hawa kwa kuwaombea waongoke.

Kanisa limeelekeza kutowatenga bali kuwapa huduma za kiroho kama wadhambi wengine na ikibidi waungame na kuacha dhambi ya ushoga na usagaji.

Nadhani mkanganyiko ni msimamo wa Kanisa wa..
1.Kutowauwa

0757449757
Mansour Jumanne
Senior Journalist
Kuna wajinga hawawezi kukuelewa hata kidogo. Maana kwa upande wao wanatamani sana kuona Kanisa kubwa na lenye nguvu duniani kote kama Kanisa Takatifu Katoliki na la Mitume, linaanguka! Na hivyo kupata waumini wapya wa kuwapa sadaka za bure kwenye NGO's zao.
 
kwa hapo nakubaliana na wewe, Papa kawaingiza cha kike sana hawa wakatoliki.
Shida kanisa letu Lina endeshwa na brains kubwa Sasa wenye brain ndogo kama wewe au nyie hamtalielewa kamwe. Mtawaelewa akina mwamposa na mafuta ya kukanyaga tu. Shida ni elimu ndo shida kubwa
 
Shida kanisa letu Lina endeshwa na brains kubwa Sasa wenye brain ndogo kama wewe au nyie hamtalielewa kamwe. Mtawaelewa akina mwamposa na mafuta ya kukanyaga tu. Shida ni elimu ndo shida kubwa
kwamba kuukubali ushoga ni brain kubwa? kweli?
 
Acha bange we mtoto.
Suala la kuwaruhusu wabarikiwe mahusiano yao na kuwaombea unakosema wewe kunamahusiano gani?
Kashakosea kakosea acha kupalilia makosa huyu Mungu ikimpendeza amchukue tu
 
nina uhakika mimi nina elimu kubwa kuliko wewe. na hata ningekuwa na elimu ndogo, namshukuru Mungu sisapoti ushoga.
Kwa hiyo na we hapo unajiona una elimu. Ndo mana hamuelewi chochote. Nendeni kwa akina mwamposa wawadanganye na kujitajirikia kupitia ujinga wenu
 
,inapotokea watu wanaojihusisha na usagaji,ushoga na usenge wameenda Kanisani wasifukuzwe wala kuadhibiwa kwa kuuliwa bali ni kazi ya Kanisa kuwapokea na kuwaombea ili wabadilike na kumrejea mwenyezi Mungu.
Midume miwili inayofirana na kuishi pamoja kama couple inapoenda kanisa Katoliki ndio kwanza inabarikiwa kwa usenge wao, sasa hapo kuna kuwasaidia kweli wabadilike?
 
Shida kanisa letu Lina endeshwa na brains kubwa Sasa wenye brain ndogo kama wewe au nyie hamtalielewa kamwe. Mtawaelewa akina mwamposa na mafuta ya kukanyaga tu. Shida ni elimu ndo shida kubwa

Brains kubwa ndio hao mapadiri wenye kashfa ya kuwaingilia watoto kinyume na maumbile?!
Na sasa wameamua kuhalalisha ushoga na usagaji.
 
Hapana hii sio suluhisho. Ila wakitengwa na wakikemewa ipasavyo wataacha uchafu wao. Ila kufungamana nao ni sawa na kuwapa pongezi kwa kile wanachokifanya
mkuu huwezi kuwajua na tena tunapishana nao rodi!
sasa hapo utawatengaje? Maana hawajionyeshi!
 
Back
Top Bottom