Kauli ya papa na upotoshaji wa BBC makusudi

Kauli ya papa na upotoshaji wa BBC makusudi

Kwani kubadili siku ya kupmzika (sabato), ilikuwa ni overnight process au ilichukua muda mrefu?

Kama kilikuwa kitendo cha masiku mengi, basi hata ushoga kufungishwa ndoa na mambo kama hayo haitakuwa kitu cha kukubalika mara moja kichwani pa wanadamu, bali itaingizwa kidogo kidogo hadi watu waone kawaida.

Hivyo, pope anarusha nyavu baharini mdogo mdogo kuset akili za watu kuzoea na kuona kawaida, kisha ndipo iwe halali.

Pole sana. Wewe enedelea kuabudu Sabato, wakati wenzako wanamwabudu Bwana wa Sabato.

Kristo alikufa kwa sababu ya kutotii sheria, na sheria kuu kwenye torati ilikuwa ni utii wa sabato. Ugomvi wa Kristo na wayahudi, wa mwanzo kabisa ni kutoitii sabato. Wakamtengenezea kesi ya uchochezi lakini hasa ilikuwa ni kwa sababu ya kutoitii sabato.

Mt. Paulo anasema, kama Kristo aliuawa kwa sababu ya kutoitii sheria (sabato). Akafufuka, akayashinda mauti, halafu sisi tuliokufa na Kristo na kufufuka naye, tukarudi kuitumikia sheria (sabato), basi kifo cha Kristo kilikuwa bure.

Ndiyo maana mitume wa Kristo, baada ya Kristo kufufuka, hawakuwa watumwa tena wa sabato. Walikutana siku ile ya kwanza ya juma, waliypiita siku ya Bwana au siku ya kumega mikate. Siku hiyo ya Bwana, ndiyo wafuasi wa Kristo wanakutana mpaka leo kutafakari ushindi wa Kristo, ushindi dhidi ya shetani, ushindi dhidi ya mauti.

Siku ya Bwana wala siyo siku ya sabato. Wengine wanakosea au wanapotosha kwa kudai eti kuna watu wameibadili sabato kuwa Jumapili, jambo ambalo siyo kweli. Sabato ni siku ya saba ambayo ni Jumamosi. Siku ya Bwana, ni siku ya kwanza ya Juma, yaani Jumapili. Hata hivyo mttime Paulo anasisitiza kuwa katika siku alizoziumba Mungu, hakuna iliyo bora zaidi. Zamani watu waliabudu sabato, lakini sasa wanatamiwa kumwabudu Bwana wa Sabato, na siyo siku.
 
Siwezi kukukasirikia Ila nakushangaa kwanini unalazimisha kitu ambacho hakipo au una maalahi nacho.
Mimi ni mtu wa kukubali ukweli haijalishi unauma kiasi gani maana kukataa ukweli hakufuti ukweli huo. Kukataa kauli ya papa haimaanishi itafuta maamuzi yake.
Huyo papa amekuwa ni mtu wa kutoa kauli zenye utata ambazo mara waje watu kuzitolea ufafanuzi kama mistari ya biblia vile.
Kasema, na vyombo karibu vyote vikubwa vimereport...
 
Mimi ni mtu wa kukubali ukweli haijalishi unauma kiasi gani maana kukataa ukweli hakufuti ukweli huo. Kukataa kauli ya papa haimaanishi itafuta maamuzi yake.
Huyo papa amekuwa ni mtu wa kutoa kauli zenye utata ambazo mara waje watu kuzitolea ufafanuzi kama mistari ya biblia vile.
Kasema, na vyombo karibu vyote vikubwa vimereport...
Papa Hana kauli tata, Kuna vyombo Kama BBC wanabeba ajenda ya ushoga. Wamekuwa wakimwuliza maswali kuhusu watu wanaojihusisha na Mambo ya ushoga anawapowajibu wanapenda kubadilisha ukweli wa like kilichosemwa.
Wakati wa Vita vya ghuba sijui ulikuwa na umri gani lakini BBC, CNN walidanganya wazi na baadae kujifanya kukiri huku lengo lao likiwa limeshatimia na ndicho kipindi tv ya aljaazera iliibuka na kupata umaarufu.
 
Papa Hana kauli tata, Kuna vyombo Kama BBC wanabeba ajenda ya ushoga. Wamekuwa wakimwuliza maswali kuhusu watu wanaojihusisha na Mambo ya ushoga anawapowajibu wanapenda kubadilisha ukweli wa like kilichosemwa.
Wakati wa Vita vya ghuba sijui ulikuwa na umri gani lakini BBC, CNN walidanganya wazi na baadae kujifanya kukiri huku lengo lao likiwa limeshatimia na ndicho kipindi tv ya aljaazera iliibuka na kupata umaarufu.
Itafahamika.
Ingekuwa wamereport kuwa russua kadundwa huko ukraine au hamas kamalizwa na idf bila shaka haya mashaka usingekuwa nayo.
Binadamu tuna hali ya kuamini kile kinachotuoendeza.
 
Kauli kama ile ingetolewa hata na ustaadh wa huko buza ndani ndani huu uzi ungejaa kejeli za kuitukana dini ya ustaadh 😀,kitu kimekuja kasema papa mtu mkubwa zaidi kwenye dini ileee 😀,wenye dini kazi kwenu sasa boss kishatoa go ahead mtinduane 😂😂
 
UPOTOSHAJI JUU YA KAULI YA PAPA FRANCIS NA KANISA LA ROMAN CATHORIC KUHUSU NDOA ZA JINSIA MOJA NA TAARIFA ZA VYOMBO VYA HABARI

Na Mansour Jumanne (Senior Journalist )

Kumekuwa na upotoshaji mkubwa saana ,ambao umenukuliwa na Vyombo vingi vya habari vya ndani na nje kuhusu Kauli aliyoitoa Papa kiufupi jambo hili limepotoshwa na Vyombo vingi vya ndani na nje ya Tanzania kwa ufupi Papa aliulizwa swali na waandishi kuhusu watu wanaojihusisha na ndoa za jinsia moja kwa maana ya ushoga na usagaji.

Swali hilo aliulizwa alipokuwa na mkutano na vijana ambao umekuwa ni utaratibu wake.

Aliulizwa yapo Mataifa yamepitisha sheria ya kuwauwa watu wanaojihusisha na ushoga na usagaji na pia yapo makanisa na jamii zimewatenga na hawaruhusiwi hata kusogelea Kanisa.

Papa akajibu,Hatutakiwi kuwauwa wala kuwatenga na akasema,inapotokea watu wanaojihusisha na usagaji,ushoga na usenge wameenda Kanisani wasifukuzwe wala kuadhibiwa kwa kuuliwa bali ni kazi ya Kanisa kuwapokea na kuwaombea ili wabadilike na kumrejea mwenyezi Mungu.

Papa alisema hayo kutokana na baadhi ya mataifa kuchukua uamuzi wa kuwauwa na kuwatenga.

Akasema kazi ya Kanisa siyo kuwauwa na Kuwatenga bali kuwapokea na kuwaombea.

Hili suala sielewi linaleta mkanganyiko wapi?

1.Je ni kosa kuwaombea mashoga na wasagaji ili waongoke?

2.Watenda dhambi adhabu yao ni kuwauwa ama kuwasaidia watoke dhambini?

Kanisa Katoliki katika moja ya Dogma zake ni kutokubaliana na adhabu ya Kifo.

Pamoja na Mataifa mengi kupitisha adhabu ya kifo msimamo wa Kanisa Katoliki haujawahi kuunga mkono adhabu ya kifo,siyo kwa mashoga na wasagaji tu bali hata kwa watenda dhambi wengine wanaoadhibiwa kifo.

Kiufuli Taarifa hiyo haina effects yeyote. Halafu “Vatican policy ndo nini? The Roman Catholic Church haiongonzwi na policy. Vatican as a state kama Tanzania has its policy. We don’t have policies in Religious matters.

Pope anapotoa anapoongea issue nzito ambayo huleta mabadiliko ya kiulimwengu kwanza lazima asome kilichoandikwa, pili lazima akae kwenye kiti maalum au tunaita “ex cathedra” Mengine kwenye mahojiano mbalimbali is just an opinion

Still a Pope is like any other bishops. We call him “ First among the equal” Pope alone hawezi fanya mabadiliko pale anapojisikia na kama akijaribu basi “Curia” itafanyakazi yake. When I have time I will write about…”killing in God’s name.

Changamoto ambazo zinausumbua ulimwengu wa habari kwa sasa ni pamoja na...
Misinformation,Disinformation,Propaganda,Black Propaganda,White Propaganda,Grey Propaganda,Fake news,Wrong sources,Hate Speeches,Single source,Defamation,Sedition.

Ukisoma Waraka uliotoka Jumatatu hii ya tarehe 18.12.2023.

Umesisitiza,msimamo wa Kanisa Katoliki unabaki kuwa ndoa ni Kati ya mwanaume na mwanamke na hautabadilika.

Ila watu hawa walioanguka dhambini kwa kujihusisha na ndoa za jinsia moja wasiuliwe wala kufukuzwa wanapokwenda Kanisani.

Waraka unesisitiza makasisi kuwapa huduma watu hawa kwa kuwaombea waongoke.

Kanisa limeelekeza kutowatenga bali kuwapa huduma za kiroho kama wadhambi wengine na ikibidi waungame na kuacha dhambi ya ushoga na usagaji.

Nadhani mkanganyiko ni msimamo wa Kanisa wa..
1.Kutowauwa

0757449757
Mansour Jumanne
Senior Journalist
ACHA bla bla nenda kaolewe wewe unapitwaa
 
Hakuna upotoshaji wowote BBC waliofanya
 
UPOTOSHAJI JUU YA KAULI YA PAPA FRANCIS NA KANISA LA ROMAN CATHORIC KUHUSU NDOA ZA JINSIA MOJA NA TAARIFA ZA VYOMBO VYA HABARI

Na Mansour Jumanne (Senior Journalist )

Kumekuwa na upotoshaji mkubwa saana ,ambao umenukuliwa na Vyombo vingi vya habari vya ndani na nje kuhusu Kauli aliyoitoa Papa kiufupi jambo hili limepotoshwa na Vyombo vingi vya ndani na nje ya Tanzania kwa ufupi Papa aliulizwa swali na waandishi kuhusu watu wanaojihusisha na ndoa za jinsia moja kwa maana ya ushoga na usagaji.

Swali hilo aliulizwa alipokuwa na mkutano na vijana ambao umekuwa ni utaratibu wake.

Aliulizwa yapo Mataifa yamepitisha sheria ya kuwauwa watu wanaojihusisha na ushoga na usagaji na pia yapo makanisa na jamii zimewatenga na hawaruhusiwi hata kusogelea Kanisa.

Papa akajibu,Hatutakiwi kuwauwa wala kuwatenga na akasema,inapotokea watu wanaojihusisha na usagaji,ushoga na usenge wameenda Kanisani wasifukuzwe wala kuadhibiwa kwa kuuliwa bali ni kazi ya Kanisa kuwapokea na kuwaombea ili wabadilike na kumrejea mwenyezi Mungu.

Papa alisema hayo kutokana na baadhi ya mataifa kuchukua uamuzi wa kuwauwa na kuwatenga.

Akasema kazi ya Kanisa siyo kuwauwa na Kuwatenga bali kuwapokea na kuwaombea.

Hili suala sielewi linaleta mkanganyiko wapi?

1.Je ni kosa kuwaombea mashoga na wasagaji ili waongoke?

2.Watenda dhambi adhabu yao ni kuwauwa ama kuwasaidia watoke dhambini?

Kanisa Katoliki katika moja ya Dogma zake ni kutokubaliana na adhabu ya Kifo.

Pamoja na Mataifa mengi kupitisha adhabu ya kifo msimamo wa Kanisa Katoliki haujawahi kuunga mkono adhabu ya kifo,siyo kwa mashoga na wasagaji tu bali hata kwa watenda dhambi wengine wanaoadhibiwa kifo.

Kiufuli Taarifa hiyo haina effects yeyote. Halafu “Vatican policy ndo nini? The Roman Catholic Church haiongonzwi na policy. Vatican as a state kama Tanzania has its policy. We don’t have policies in Religious matters.

Pope anapotoa anapoongea issue nzito ambayo huleta mabadiliko ya kiulimwengu kwanza lazima asome kilichoandikwa, pili lazima akae kwenye kiti maalum au tunaita “ex cathedra” Mengine kwenye mahojiano mbalimbali is just an opinion

Still a Pope is like any other bishops. We call him “ First among the equal” Pope alone hawezi fanya mabadiliko pale anapojisikia na kama akijaribu basi “Curia” itafanyakazi yake. When I have time I will write about…”killing in God’s name.

Changamoto ambazo zinausumbua ulimwengu wa habari kwa sasa ni pamoja na...
Misinformation,Disinformation,Propaganda,Black Propaganda,White Propaganda,Grey Propaganda,Fake news,Wrong sources,Hate Speeches,Single source,Defamation,Sedition.

Ukisoma Waraka uliotoka Jumatatu hii ya tarehe 18.12.2023.

Umesisitiza,msimamo wa Kanisa Katoliki unabaki kuwa ndoa ni Kati ya mwanaume na mwanamke na hautabadilika.

Ila watu hawa walioanguka dhambini kwa kujihusisha na ndoa za jinsia moja wasiuliwe wala kufukuzwa wanapokwenda Kanisani.

Waraka unesisitiza makasisi kuwapa huduma watu hawa kwa kuwaombea waongoke.

Kanisa limeelekeza kutowatenga bali kuwapa huduma za kiroho kama wadhambi wengine na ikibidi waungame na kuacha dhambi ya ushoga na usagaji.

Nadhani mkanganyiko ni msimamo wa Kanisa wa..
1.Kutowauwa

0757449757
Mansour Jumanne
Senior Journalist
UBARIKIWE KWA HUO UFAFANUZI KUNA WAJINGA NA WAPUMBAVU WENGI WANAENDELEA KUPOTOSHA ILA LAANA YA MUNGU ITAWAADHIBU

Sent from my SM-A145R using JamiiForums mobile app
 
Labda wanafikiri dhambi ni ushoga na usagaji tu!!, Kama hata uongo, wizi, ukahaba na mengine maovu mengi basi tutawafukuza wote kanisani, daima tambua kanisa ni la wenye dhambi,
Kwa sisi wakristo kwenye biblia Yesu aliulizwa kwa nn anashinda na kula na wenye dhambi?? Akawajibu wenye afya hawahitaji tabibu bali wagonjwa, sasa kama utawafukuza msaada wataupata wapi, inabidi wawe karibu na kanisa ili waongoke


MWISHO MWENYE KUHUKUMU NI MUNGU PEKEE SIO BINADAMU, MSIJIPE MAMLAKA HAYO, KUMBUKENI WENGINE HUONGOKA SIKU YA MWISHO YA KIFO CHAO, MWENYEZI MUNGU AWAONGOZE
Wanasahau kwamba wateja wakubwa wa mashoga ni kutoka mikoa ya mwambao wa bahari hasahasa wa dini ileeeeee, ambayo kila mmmoja anaijua!
 
Wanasahau kwamba wateja wakubwa wa mashoga ni kutoka mikoa ya mwambao wa bahari hasahasa wa dini ileeeeee, ambayo kila mmmoja anaijua!
Mbona mimi siijui aisee? Hebu kuwa jasiri halafu unitajie.
BTW: Komenti yako haina uhusiano na alichoandika blessed Fanikio.
 
Hata mimi nimeishia kucheka tu, maana kauli yake haisemi RC wafungishe ndoa za jinsia moja wala kuspoti ndoa za aina hiyo, bali wanaojihusisha na tabia hiyo.., wanaweza kubarikiwa wao kama binadamu..,Ila sio kubariki wanayoyafanya.
 
Back
Top Bottom