Nyie Makolo vipi?? Si mlisha ambiwa nyie mimbumbu na viongozi wenu??Sahihi ni mashabiki wa Yanga hawana akili...
Ukitaka kujua hilo angalia thread zilivyoanzishwa na mashabiki wa uto toka jana...ndo utajua kuwa akili zipo finyu...
HahahahahahaMimi naomba kuhitimisha kwa kusrma hivi ile kauli ya Rage kwa wananchama na mashabiki ni sahihi kwa 💯%
Hebu fikiria Mangungu alimtumia nauli Caesar Manzoki kuja kuwasalimia tu hamjambo!! 😁 kwenye ule uchaguzi wao! Wanachama wakafurahishwa sana na kuamua kumpa kura Mangungu! Leo wanalia tena eti hawamtaki Mangungu!! 😁
Wakitolewa wawili nye wote vilazaHahahahaha sasa wapi kuna afadhali huko kwenye wawili au huko kwa ma mbumbumbu ? Hahahahaha
Hahahahahaha...dah..watanzania poleni sana....
Rage ajengewe sanamu ya kumbukumbu pale Mo Arena Bunju! Mimi naahidi mifuko 20 ya saruji.
Mangungu alisema wanahamia ZambiaKuna siku mtaandamana ....kuwa Simba ifutwe ligi kuu
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Huyu kiongozi anatisha sanaHawa wanamsimbazi hawaishiwi matatizo.....[emoji1][emoji1]
Walianza na slogan ya hatumtaki Robertinho baada ya kufanya vibaya then akatumbuliwa.
Wakaja na slogan ya hatumtaki Mangungu [emoji23], hapa Mangungu alikaza ( aling'ang'ania).
Then wakaja na slogan ya hatumtaki Try Again, nae alikaza kung'atuka [emoji23][emoji23].
Jana wameandamana hawamtaki Ramadhani Kayoko, refa wa mechi ya Jana. Sasa hii ni akili kweli? au kauli ya Rage ilikuwa sahihi kwamba mashabiki wa Simba ni Mbu Mbu mbu.
View attachment 2899444
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Afadhari wao kuliko wale wa WhatsApp channel
Kuna kipindi yalitaka kwenda kucheza ligi ya Kenya.Kuna siku mtaandamana ....kuwa Simba ifutwe ligi kuu
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Nauli ya china unaweza Kuta ni pesa ndefu tu[emoji23][emoji23]Mimi naomba kuhitimisha kwa kusema hivi ile kauli ya Rage kwa wanachama na mashabiki, ni sahihi kwa [emoji817]%
Hebu fikiria Mangungu alimtumia nauli Caesar Manzoki atoke China ili kuja kuwasalimia tu wanachama salamu ya hamjambo! kwenye ule uchaguzi wao!
Baada tu ya ile salam, Wanachama wakafurahishwa sana na kuamua kumpa Mangungu kura za kishindo! Halafu leo wanalia tena eti hawamtaki Mangungu!! Kama siyo kuchoshana ni nini huku!! [emoji16]
Mkuu unachukuliaje swala la Simba kuandamana hawamtaki refaSahihi ni kauli ya Manara 'Yanga wenye akili ni wawili tu" Bahati mbaya kwa hao wawili wewe haumo. Luck Eymael "Yanga wanabweka kama manyani" Kwenye hii kauli ya Eymael mleta mada humo.
Daaah nilicheka sana kipindi hichoMangungu alisema wanahamia Zambia
Aliona aweke kumbukumbuHuyu kiongozi anatisha sana
View attachment 2899663
Daaah kweli wakapimweNa wakaja na slogan ya HATUTAKI KUCHEZA UWANJA WA TAIFA kisa Babra kuzuiwa kuingia VIP na mwanae, wakajja na slogan ya kuchangisha hela ili kujenga uwanja wao wa bunju.
Kilichotokea hela yote ikapigwa
[emoji23][emoji23][emoji23]Kuna kipindi yalitaka kwenda kucheza ligi ya Kenya.