Kauli ya Rais Kikwete...

Kauli ya Rais Kikwete...

ZeMarcopolo

Platinum Member
Joined
May 11, 2008
Posts
14,040
Reaction score
7,303
"Tulipoingia madarakani mwaka 2005 tulifanya mambo mawili muhimu kuhusu mikopo kwa wanafunzi wa elimu ya juu. Kwanza uamuzi kwamba, mikopo itolewe kwa wanafunzi wa vyuo vikuu vya umma na vile visivyokuwa vya serikali. Kabla ya hapo ilihusu vyuo vya umma pekee. Pili kwamba, kila mwaka tuongeze fedha zinazotengwa kwa ajili ya Mfuko huo ili idadi ya wanafunzi wanaonufaika iongezeke. Tulikuta Mfuko ukiwa na shillingi billioni 56.1 unanufaisha wanafunzi 16,345 mwaka 2005. Tukaongeza kila mwaka na katika mwaka huu wa fedha (2012/13) tumetenga shillingi bilioni 345 zinazowanufaisha wanafunzi 98,772."
 
Mkuu kwa hiyo unasemaje?

Kiongozi,
Habari za siku?

Hii kauli nimeweka hapa ili wadau ambao hawajapata fursa ya kuisikia waisome na kama kuna mwenye maoni achangie, ingawa najua kuna wenzetu hawafurahii kauli kama hizi...
 
"Tulipoingia madarakani mwaka 2005 tulifanya mambo mawili muhimu kuhusu mikopo kwa wanafunzi wa elimu ya juu. Kwanza uamuzi kwamba, mikopo itolewe kwa wanafunzi wa vyuo vikuu vya umma na vile visivyokuwa vya serikali. Kabla ya hapo ilihusu vyuo vya umma pekee. Pili kwamba, kila mwaka tuongeze fedha zinazotengwa kwa ajili ya Mfuko huo ili idadi ya wanafunzi wanaonufaika iongezeke. Tulikuta Mfuko ukiwa na shillingi billioni 56.1 unanufaisha wanafunzi 16,345 mwaka 2005. Tukaongeza kila mwaka na katika mwaka huu wa fedha (2012/13) tumetenga shillingi bilioni 345 zinazowanufaisha wanafunzi 98,772."

Mmeshamnunua Mch. Mtikila kesho magomeni atatoa tamko... ( safi sana kamwe CDM forever, 20% Tanzania nziama ndio wanaosoma magazet na TV )
 
Mmeshamnunua Mch. Mtikila kesho magomeni atatoa tamko... ( safi sana kamwe CDM forever, 20% Tanzania nziama ndio wanaosoma magazet na TV )

Unajua nyinyi chadema ni watu wa ajabu sana. Wanafunzi wakifeli, solution mnayotoa ni maandamano. Mijadala ya elimu ikianzishwa mnaiharibu kama jinsi unavyofanya hapa. Sasa ulichoandika na thread hii vina uhusiano gani?

Watu werevu wameshawashtukia kuwa chadema hamna malengo mema na nchi yetu. Ndio maana mnachukizwa na mijadala ya maendeleo...
 
Mkuu kuna maana yoyote kama hayo maneno yanawakilishwa vilivyo na hali elimu inazidi kushuka viwango?

Hii kauli ya JK inanifanya nimalumu sana, kwa sababu kwa kufanikisha haya CCM wameingilia katika sekta ya elimu na kui handle kisiasa zaidi. Kuna rafiki yangu tuliongea naye hapa karibuni, katika kujadili ilikuwa wazi kuwa Vyuo sasa hivi (hata chuo mama cha UDSM) vimeshuka sana viwango vya elimu.

Mfano sasa hivi program requirements katika faculties tofauti zimeshuka sana, kuna zingine bila 4/4.5 ulikuwa huwezi kabisa kuwa enrolled but kwa sasa the same faculties (tegemeana na kozi) zinachukua hadi 2.5/3 ili tu serkali ya CCM ionekane imefanikiwa katika kuongeza idadi ya waliyokuwa enrolled...

Mkuu huoni kuwa hii kauli ya JK ni tatizo kubwa sana?
 
"Tulipoingia madarakani mwaka 2005 tulifanya mambo mawili muhimu kuhusu mikopo kwa wanafunzi wa elimu ya juu. Kwanza uamuzi kwamba, mikopo itolewe kwa wanafunzi wa vyuo vikuu vya umma na vile visivyokuwa vya serikali. Kabla ya hapo ilihusu vyuo vya umma pekee. Pili kwamba, kila mwaka tuongeze fedha zinazotengwa kwa ajili ya Mfuko huo ili idadi ya wanafunzi wanaonufaika iongezeke. Tulikuta Mfuko ukiwa na shillingi billioni 56.1 unanufaisha wanafunzi 16,345 mwaka 2005. Tukaongeza kila mwaka na katika mwaka huu wa fedha (2012/13) tumetenga shillingi bilioni 345 zinazowanufaisha wanafunzi 98,772."

Sasa kwanini PRINCE RIZ1 Bado ana DENI CHUONI??? na alifanya kazi kwa LAU MASHA's LAW FIRM sasa ana LAW FIRM yake... Yeye halipi kama NANI???
 
Mkuu kuna maana yoyote kama hayo maneno yanawakilishwa vilivyo na hali elimu inazidi kushuka viwango?

Hii kauli ya JK inanifanya nimalumu sana, kwa sababu kwa kufanikisha haya CCM wameingilia katika sekta ya elimu na kui handle kisiasa zaidi. Kuna rafiki yangu tuliongea naye hapa karibuni, katika kujadili ilikuwa wazi kuwa Vyuo sasa hivi (hata chuo mama cha UDSM).

Mfano sasa hivi program requirements katika faculties tofauti zimeshuka sana, kuna zingine bila 4/4.5 ulikuwa huwezi kabisa kuwa enrolled but kwa sasa the same faculties (tegemeana na kozi) zinachukua hadi 2.5/3 ili tu serkali ya CCM ionekane imefanikiwa katika kuongeza idadi ya waliyokuwa enrolled...

Mkuu huoni kuwa hii kauli ya JK ni tatizo kubwa sana?

Je, CCM ndio inayoweka vigezo vya enrollment UDSM, Tumaini University, Muhimbili, SUA, MUM na kwingine?

Swala la vigezo vya mwanafunzi kuingia chuo kikuu ni juu ya academic department ya chuo, Serikali inachofanya ni kumuwezesha yule aliyepata admission kulipia gharama za masomo.
 
Sasa kwanini PRINCE RIZ1 Bado ana DENI CHUONI??? na alifanya kazi kwa LAU MASHA's LAW FIRM sasa ana LAW FIRM yake... Yeye halipi kama NANI???

Ndio maana nasema wafuasi wa chadema mna matatizo. Mnaleta "ukamanda' kwenye kila kitu!!!
 
"Tulipoingia madarakani mwaka 2005 tulifanya mambo mawili muhimu kuhusu mikopo kwa wanafunzi wa elimu ya juu. Kwanza uamuzi kwamba, mikopo itolewe kwa wanafunzi wa vyuo vikuu vya umma na vile visivyokuwa vya serikali. Kabla ya hapo ilihusu vyuo vya umma pekee. Pili kwamba, kila mwaka tuongeze fedha zinazotengwa kwa ajili ya Mfuko huo ili idadi ya wanafunzi wanaonufaika iongezeke. Tulikuta Mfuko ukiwa na shillingi billioni 56.1 unanufaisha wanafunzi 16,345 mwaka 2005. Tukaongeza kila mwaka na katika mwaka huu wa fedha (2012/13) tumetenga shillingi bilioni 345 zinazowanufaisha wanafunzi 98,772."

Mkuu Baada ya Kuona issue ya Lwakatare inawaendea Kombo naona mmeamua kutokea kwa style hii.
Mtatapatapa sana ila mwisho tutaweka ndani ya Jeneza tu
 
Hayo maboresho ya mfumo wa elimu ni vema yaendane na ubora wa elimu inayotolewa, vinginevyo hizo hela zitatumika kwa mambo mengine maana idadi ya wanafunzi wanaefeli inaongezeka. Mfano, matokeo yaliyopita, wanafunzi wenye sifa za kuendelea na kidato cha 5, hawafiki hata 30,000!
 
Mkuu kuna maana yoyote kama hayo maneno yanawakilishwa vilivyo na hali elimu inazidi kushuka viwango?

Hii kauli ya JK inanifanya nimalumu sana, kwa sababu kwa kufanikisha haya CCM wameingilia katika sekta ya elimu na kui handle kisiasa zaidi. Kuna rafiki yangu tuliongea naye hapa karibuni, katika kujadili ilikuwa wazi kuwa Vyuo sasa hivi (hata chuo mama cha UDSM) vimeshuka sana viwango vya elimu.

Mfano sasa hivi program requirements katika faculties tofauti zimeshuka sana, kuna zingine bila 4/4.5 ulikuwa huwezi kabisa kuwa enrolled but kwa sasa the same faculties (tegemeana na kozi) zinachukua hadi 2.5/3 ili tu serkali ya CCM ionekane imefanikiwa katika kuongeza idadi ya waliyokuwa enrolled...

Mkuu huoni kuwa hii kauli ya JK ni tatizo kubwa sana?


Mkuu Neiwa we acha tu, yale yale ya kila siku kutwambia uchumi unapaa.. makusanyo yameongezeka, tumejenga shule mamia kadhaa.. tarakimu ambazo hazina uhalisia katika maisha ya watanzania. Huko kushuka kwa elimu kama ulivo nukuu ni balaa mkuu, nasikia vyuo vilivyokuwa kuwa bora kama UDSM maabara ya wanafunzi 40 wanakaa zaidi ya miamoja. Tumeshuhudia wale walimu wa voda fasta ambao sasa matunda yake tayali form four mwaka huu imeleta uzao wa kwanza. Kwakweli siasa ikitangulia kila kitu madhara yake ni makubwa japo huonekana baada ya muda mrefu!.
 
Ndio maana nasema wafuasi wa chadema mna matatizo. Mnaleta "ukamanda' kwenye kila kitu!!!

UKAMANDA ndio NINI... Kukujibu wewe sio LAZIMA niwe CHADEMA... Kama kuna UKWELI kwanini nisiuseme? Kama ana DENI la KODI ya Walala HOI wa NCHI kwanini asilipe???

"To greed, all nature is insufficient"

 
kweli zimewafaidisha wanafunzi wanaofeli fom foo
ualimu.jpg
 
Mkuu Baada ya Kuona issue ya Lwakatare inawaendea Kombo naona mmeamua kutokea kwa style hii.
Mtatapatapa sana ila mwisho tutaweka ndani ya Jeneza tu

Chadema hampendi kusikia habari za maendeleo kwa sababu hamuitakii mema nchi yetu...
 
Hayo maboresho ya mfumo wa elimu ni vema yaendane na ubora wa elimu inayotolewa, vinginevyo hizo hela zitatumika kwa mambo mengine maana idadi ya wanafunzi wanaefeli inaongezeka. Mfano, matokeo yaliyopita, wanafunzi wenye sifa za kuendelea na kidato cha 5, hawafiki hata 30,000!

Ni kweli mkuu,

Hata hivyo ili tufanikiwe ni LAZIMA wataalam na utaalam uheshimiwe na wataalam watambue wajibu wao kwenye ujenzi wa taifa. Tulipo sasa kila lawama anatupiwa mwanasiasa as if nchi haina mtaalam hata mmoja.
 
  • Thanks
Reactions: FJM
"Tulipoingia madarakani mwaka 2005 tulifanya mambo mawili muhimu kuhusu mikopo kwa wanafunzi wa elimu ya juu. Kwanza uamuzi kwamba, mikopo itolewe kwa wanafunzi wa vyuo vikuu vya umma na vile visivyokuwa vya serikali. Kabla ya hapo ilihusu vyuo vya umma pekee. Pili kwamba, kila mwaka tuongeze fedha zinazotengwa kwa ajili ya Mfuko huo ili idadi ya wanafunzi wanaonufaika iongezeke. Tulikuta Mfuko ukiwa na shillingi billioni 56.1 unanufaisha wanafunzi 16,345 mwaka 2005. Tukaongeza kila mwaka na katika mwaka huu wa fedha (2012/13) tumetenga shillingi bilioni 345 zinazowanufaisha wanafunzi 98,772."

Mwaka 2015 kutakuwa na wanafunzi wasiozidi 18,000 watakaokuwa wana sifa ya kujiunga na vyuo vikuu.

Wanafunzi hao wanaweza kuchukuliwa na vyuo viwili tu, UDOM na SUA. Vyuo vingine vitakuwa havina wanafunzi wa mwaka wa kwanza mwaka 2015.

Na hayo ndio maendeleo.
 
Mwaka 2015 kutakuwa na wanafunzi wasiozidi 18,000 watakaokuwa wana sifa ya kujiunga na vyuo vikuu.

Wanafunzi hao wanaweza kuchukuliwa na vyuo viwili tu, UDOM na SUA. Vyuo vingine vitakuwa havina wanafunzi wa mwaka wa kwanza mwaka 2015.

Na hayo ndio maendeleo.

Hiyo ni changamoto, lazima itafutiwe ufumbuzi.

Vilevile tukumbuke kuwa wanaojiunga chuo kikuu sio watu fresh from form six peke yao.
 
Chadema hampendi kusikia habari za maendeleo kwa sababu hamuitakii mema nchi yetu...
Hatupendi Kauli za Ki Laghai za Mkwe.re, kama hiyo kwako ni Tafsiri kuwa CDM kutuitakii Mema nchi, Basi tuko Tayari Kubeba hiyo Dhambi
 
Unajua nyinyi chadema ni watu wa ajabu sana. Wanafunzi wakifeli, solution mnayotoa ni maandamano. Mijadala ya elimu ikianzishwa mnaiharibu kama jinsi unavyofanya hapa. Sasa ulichoandika na thread hii vina uhusiano gani?

Watu werevu wameshawashtukia kuwa chadema hamna malengo mema na nchi yetu. Ndio maana mnachukizwa na mijadala ya maendeleo...

Anayezuia mijadala ya elimu bungeni ni spika toka CDM? Wabunge wanaosema "ndiyooooooooooooo" kupinga mijadala hiyo bungeni ni wa CDM?
 
Back
Top Bottom