Kauli ya Rais Samia inaashiria kuwa CHADEMA hawako salama ndani ya chama hicho wapo vijana wake wa "Kitengo"

Kauli ya Rais Samia inaashiria kuwa CHADEMA hawako salama ndani ya chama hicho wapo vijana wake wa "Kitengo"

Boi Manda

JF-Expert Member
Joined
Oct 26, 2023
Posts
388
Reaction score
506
Akihutubia kwenye maazimisho ya miaka 20 ya jeshi la Polisi mkoani Kilimanjaro Septamba 17, 2024 rais Samia Suluhu Hassan amesema kuwa uovu wote uliopangwa kwenye mkutano wa chama kimoja cha upinzani (CHADEMA) anazo taarifa zote

Rais amesema kuwa interenjesia ya vijana wake ina uwezo mkubwa imepata taarifa za kikao chao chote kilichofanyika Septemba 11 mwaka huu na kwamba uovu wao wote waliopanga juu ya Serikali yake ameufahamu

Hivi karibuni baada ya kifo cha kada wake aliyetekwa na kuuwawa na watu wanaodaiwa wasiojulikana viongozi wa CHADEMA walikutana Arusha na kufanya kikao cha dharura cha kamati kuu

Kikao hicho kilitoka na maazimio kuwa ifikapo septamba 23 mwaka huu vijana wote wa chama hicho nchi nzima wakutane jijini Dar na kufanya maandamano ya amani

Lengo la maandamano hayo ni kushinikiza watu waliomteka na kumuua kada wao Ally Kibao wanafahamika na kuchukulia hatua za kisheria na makada wake watatu Soka na wenzake waliotekwa na watu hao hao wasiojulikana waachiwe huru au kama wameuwawa miili yao ikabidhiwe kwa ndugu zao ili izikwe

Kauli ya Rais Samia kuwa interejensia ya vijana wake iko vizuri na ndio maana kilichojadiliwa kwenye kikao hicho cha CHADEMA hotuba nzima anayo na kujua uovu wao mwingine waliopanga inamaanisha kuwa vijana wake wa kitengo ni miongoni mwa baadhi ya viongozi wa juu wa chama hicho

Pia kauli hiyo ya Rais inaashiria kuwa kama sio baadhi ya viongozi wa juu wa chama hicho kuwa watu wa kitengo basi vijana wake wa TISS au Polisi wameweka vifaa vya kunasa sauti kwenye ukumbi uliofanyika kikao hicho cha dharura cha CHADEMA cha kamati kuu ambacho ni cha viongozi wa juu tupu (Vingunge)

Kama ni kweli kiongozi mmoja wapo wa juu wa CHADEMA ni mtu wa TISS basi yamkini chama hicho hakiko salama na siri zake nyingi zitaendelea kutoka na kufika Serikalini bila yao kujua nani anazipeleka

Hivyo CHADEMA wanahitaji nao kufanya intelejensi yao iliyotukuka ya kumbaini kiongozi au viongozi hao wa kamati kuu ya chama hicho ambao ni watu wa kitengo

Comasa

PIA SOMA
- Rais Dkt. Samia: Nina taarifa ya kikao chao cha Arusha, wanapanga uhalifu, Serikali ya Tanzania haiondoshwi hivyo
 
Ingekuwa vizuri kama angesema walisema nini, lakini kusema anajua walichosema hii inabaki kama kauli ramli
 
Mara ya kwanza kuona hii picha nikajua n watu wapo send-off

20240918_004527.jpg
 
Akihutubia kwenye maazimisho ya miaka 20 ya jeshi la Polisi mkoani Kilimanjaro Septamba 17, 2024 rais Samia Suluhu Hassan amesema kuwa uovu wote uliopangwa kwenye mkutano wa chama kimoja cha upinzani (CHADEMA) anazo taarifa zote

Rais amesema kuwa interenjesia ya vijana wake ina uwezo mkubwa imepata taarifa za kikao chao chote kilichofanyika Septemba 11 mwaka huu na kwamba uovu wao wote waliopanga juu ya Serikali yake ameufahamu

Hivi karibuni baada ya kifo cha kada wake aliyetekwa na kuuwawa na watu wanaodaiwa wasiojulikana viongozi wa CHADEMA walikutana Arusha na kufanya kikao cha dharura cha kamati kuu

Kikao hicho kilitoka na maazimio kuwa ifikapo septamba 23 mwaka huu vijana wote wa chama hicho nchi nzima wakutane jijini Dar na kufanya maandamano ya amani

Lengo la maandamano hayo ni kushinikiza watu waliomteka na kumuua kada wao Ally Kibao wanafahamika na kuchukulia hatua za kisheria na makada wake watatu Soka na wenzake waliotekwa na watu hao hao wasiojulikana waachiwe huru au kama wameuwawa miili yao ikabidhiwe kwa ndugu zao ili izikwe

Kauli ya Rais Samia kuwa interejensia ya vijana wake iko vizuri na ndio maana kilichojadiliwa kwenye kikao hicho cha CHADEMA hotuba nzima anayo na kujua uovu wao mwingine waliopanga inamaanisha kuwa vijana wake wa kitengo ni miongoni mwa baadhi ya viongozi wa juu wa chama hicho

Pia kauli hiyo ya rais inaashiria kuwa kama sio baadhi ya viongozi wa juu wa chama hicho kuwa watu wa kitengo basi vijana wake wa TISS au Polisi wameweka vifaa vya kunasa sauti kwenye ukumbi uliofanyika kikao hicho cha dharura cha CHADEMA cha kamati kuu ambacho ni cha viongozi wa juu tupu (Vingunge)

Kama ni kweli kiongozi mmoja wapo wa juu wa CHADEMA ni mtu wa TISS basi yamkini chama hicho hakiko salama na siri zake nyingi zitaendelea kutoka na kufika Serikalini bila yao kujua nani anazipeleka

Hivyo CHADEMA wanahitaji nao kufanya intelejensi yao iliyotukuka ya kumbaini kiongozi au viongozi hao wa kamati kuu ya chama hicho ambao ni watu wa kitengo

Comasa
Angekisema walichojadili.

Alisema tu anajua walichokusema hii ni Kauli ya jumla mno.

Watu wakikutana ni lazima waseme.

Sasa wanasema Nini? Hiki ndicho angekitaja!
 
Mbwembwe tu hakuna kitu

Assumptions zinasumbua kwa sana.

Anapima maji na unga.

09/23 tuko kwa njia na vichaka kusaka wape dwa wetu.

Atulie bana
Alaaa ya kwamba kule M 23 na upepo mnauhamishia huku ninyi S 23?!!!

Tanzania haina serikali ya SAMAKI....
 
@erthrocyte ameniblock nisimtag🤣🤣

Si Kawaida yake.....huyu Queen wa JF nyakati za wanga leo haonekani humu.....
 
Kwenye hili la kupanga Uhalifu ni uongo, Ama Rais Kadanganywa ama kaamua kuzusha mwenyewe ili atimize lengo lake la kuwaumiza Chadema

Maazimio yote ya Chadema huwekwa hadharani, hawajawahi kuficha

Hii haitakuwa mara ya kwanza kwa Rais kuongea yasiyokuwepo, Wakati wanamkamata Mbowe alisrma Mbowe ni gaidi na kwamba Wenzake walikwisha Hukumiwa, lakini ni akina nani waliohukumiwa kabla ya Mbowe kukamatwa?
 
Akihutubia kwenye maazimisho ya miaka 20 ya jeshi la Polisi mkoani Kilimanjaro Septamba 17, 2024 rais Samia Suluhu Hassan amesema kuwa uovu wote uliopangwa kwenye mkutano wa chama kimoja cha upinzani (CHADEMA) anazo taarifa zote

Rais amesema kuwa interenjesia ya vijana wake ina uwezo mkubwa imepata taarifa za kikao chao chote kilichofanyika Septemba 11 mwaka huu na kwamba uovu wao wote waliopanga juu ya Serikali yake ameufahamu

Hivi karibuni baada ya kifo cha kada wake aliyetekwa na kuuwawa na watu wanaodaiwa wasiojulikana viongozi wa CHADEMA walikutana Arusha na kufanya kikao cha dharura cha kamati kuu

Kikao hicho kilitoka na maazimio kuwa ifikapo septamba 23 mwaka huu vijana wote wa chama hicho nchi nzima wakutane jijini Dar na kufanya maandamano ya amani

Lengo la maandamano hayo ni kushinikiza watu waliomteka na kumuua kada wao Ally Kibao wanafahamika na kuchukulia hatua za kisheria na makada wake watatu Soka na wenzake waliotekwa na watu hao hao wasiojulikana waachiwe huru au kama wameuwawa miili yao ikabidhiwe kwa ndugu zao ili izikwe

Kauli ya Rais Samia kuwa interejensia ya vijana wake iko vizuri na ndio maana kilichojadiliwa kwenye kikao hicho cha CHADEMA hotuba nzima anayo na kujua uovu wao mwingine waliopanga inamaanisha kuwa vijana wake wa kitengo ni miongoni mwa baadhi ya viongozi wa juu wa chama hicho

Pia kauli hiyo ya Rais inaashiria kuwa kama sio baadhi ya viongozi wa juu wa chama hicho kuwa watu wa kitengo basi vijana wake wa TISS au Polisi wameweka vifaa vya kunasa sauti kwenye ukumbi uliofanyika kikao hicho cha dharura cha CHADEMA cha kamati kuu ambacho ni cha viongozi wa juu tupu (Vingunge)

Kama ni kweli kiongozi mmoja wapo wa juu wa CHADEMA ni mtu wa TISS basi yamkini chama hicho hakiko salama na siri zake nyingi zitaendelea kutoka na kufika Serikalini bila yao kujua nani anazipeleka

Hivyo CHADEMA wanahitaji nao kufanya intelejensi yao iliyotukuka ya kumbaini kiongozi au viongozi hao wa kamati kuu ya chama hicho ambao ni watu wa kitengo

Comasa

PIA SOMA
- Rais Dkt. Samia: Nina taarifa ya kikao chao cha Arusha, wanapanga uhalifu, Serikali ya Tanzania haiondoshwi hivyo
Hawa wamefika mbali sana , kwamba mtu kwa nafasi yake anachochea, anadanganya ili kulinda tumbo lake , huku akileta mpasuko mkubwa kama sio mtikisiko katika taifa, hili halivumiliki , SSH awe makini sana ,anaowamini wenda wapo na nia hovu kukiko huovu wenyewe ,hii ni hatari kuu katika taifa , ila all in all tutavuka tu, asema Bwana
 
Akihutubia kwenye maazimisho ya miaka 20 ya jeshi la Polisi mkoani Kilimanjaro Septamba 17, 2024 rais Samia Suluhu Hassan amesema kuwa uovu wote uliopangwa kwenye mkutano wa chama kimoja cha upinzani (CHADEMA) anazo taarifa zote

Rais amesema kuwa interenjesia ya vijana wake ina uwezo mkubwa imepata taarifa za kikao chao chote kilichofanyika Septemba 11 mwaka huu na kwamba uovu wao wote waliopanga juu ya Serikali yake ameufahamu

Hivi karibuni baada ya kifo cha kada wake aliyetekwa na kuuwawa na watu wanaodaiwa wasiojulikana viongozi wa CHADEMA walikutana Arusha na kufanya kikao cha dharura cha kamati kuu

Kikao hicho kilitoka na maazimio kuwa ifikapo septamba 23 mwaka huu vijana wote wa chama hicho nchi nzima wakutane jijini Dar na kufanya maandamano ya amani

Lengo la maandamano hayo ni kushinikiza watu waliomteka na kumuua kada wao Ally Kibao wanafahamika na kuchukulia hatua za kisheria na makada wake watatu Soka na wenzake waliotekwa na watu hao hao wasiojulikana waachiwe huru au kama wameuwawa miili yao ikabidhiwe kwa ndugu zao ili izikwe

Kauli ya Rais Samia kuwa interejensia ya vijana wake iko vizuri na ndio maana kilichojadiliwa kwenye kikao hicho cha CHADEMA hotuba nzima anayo na kujua uovu wao mwingine waliopanga inamaanisha kuwa vijana wake wa kitengo ni miongoni mwa baadhi ya viongozi wa juu wa chama hicho

Pia kauli hiyo ya Rais inaashiria kuwa kama sio baadhi ya viongozi wa juu wa chama hicho kuwa watu wa kitengo basi vijana wake wa TISS au Polisi wameweka vifaa vya kunasa sauti kwenye ukumbi uliofanyika kikao hicho cha dharura cha CHADEMA cha kamati kuu ambacho ni cha viongozi wa juu tupu (Vingunge)

Kama ni kweli kiongozi mmoja wapo wa juu wa CHADEMA ni mtu wa TISS basi yamkini chama hicho hakiko salama na siri zake nyingi zitaendelea kutoka na kufika Serikalini bila yao kujua nani anazipeleka

Hivyo CHADEMA wanahitaji nao kufanya intelejensi yao iliyotukuka ya kumbaini kiongozi au viongozi hao wa kamati kuu ya chama hicho ambao ni watu wa kitengo

Comasa

PIA SOMA
- Rais Dkt. Samia: Nina taarifa ya kikao chao cha Arusha, wanapanga uhalifu, Serikali ya Tanzania haiondoshwi hivyo
Wahalifu wote washughulikiwe kisheria wasituletee fujo.
 
Akihutubia kwenye maazimisho ya miaka 20 ya jeshi la Polisi mkoani Kilimanjaro Septamba 17, 2024 rais Samia Suluhu Hassan amesema kuwa uovu wote uliopangwa kwenye mkutano wa chama kimoja cha upinzani (CHADEMA) anazo taarifa zote

Rais amesema kuwa interenjesia ya vijana wake ina uwezo mkubwa imepata taarifa za kikao chao chote kilichofanyika Septemba 11 mwaka huu na kwamba uovu wao wote waliopanga juu ya Serikali yake ameufahamu

Hivi karibuni baada ya kifo cha kada wake aliyetekwa na kuuwawa na watu wanaodaiwa wasiojulikana viongozi wa CHADEMA walikutana Arusha na kufanya kikao cha dharura cha kamati kuu

Kikao hicho kilitoka na maazimio kuwa ifikapo septamba 23 mwaka huu vijana wote wa chama hicho nchi nzima wakutane jijini Dar na kufanya maandamano ya amani

Lengo la maandamano hayo ni kushinikiza watu waliomteka na kumuua kada wao Ally Kibao wanafahamika na kuchukulia hatua za kisheria na makada wake watatu Soka na wenzake waliotekwa na watu hao hao wasiojulikana waachiwe huru au kama wameuwawa miili yao ikabidhiwe kwa ndugu zao ili izikwe

Kauli ya Rais Samia kuwa interejensia ya vijana wake iko vizuri na ndio maana kilichojadiliwa kwenye kikao hicho cha CHADEMA hotuba nzima anayo na kujua uovu wao mwingine waliopanga inamaanisha kuwa vijana wake wa kitengo ni miongoni mwa baadhi ya viongozi wa juu wa chama hicho

Pia kauli hiyo ya Rais inaashiria kuwa kama sio baadhi ya viongozi wa juu wa chama hicho kuwa watu wa kitengo basi vijana wake wa TISS au Polisi wameweka vifaa vya kunasa sauti kwenye ukumbi uliofanyika kikao hicho cha dharura cha CHADEMA cha kamati kuu ambacho ni cha viongozi wa juu tupu (Vingunge)

Kama ni kweli kiongozi mmoja wapo wa juu wa CHADEMA ni mtu wa TISS basi yamkini chama hicho hakiko salama na siri zake nyingi zitaendelea kutoka na kufika Serikalini bila yao kujua nani anazipeleka

Hivyo CHADEMA wanahitaji nao kufanya intelejensi yao iliyotukuka ya kumbaini kiongozi au viongozi hao wa kamati kuu ya chama hicho ambao ni watu wa kitengo

Comasa

PIA SOMA
- Rais Dkt. Samia: Nina taarifa ya kikao chao cha Arusha, wanapanga uhalifu, Serikali ya Tanzania haiondoshwi hivyo
vijana wa kitengo wapo kila mahali
 
Back
Top Bottom