Kauli ya Rais Samia inaashiria kuwa CHADEMA hawako salama ndani ya chama hicho wapo vijana wake wa "Kitengo"

Alidondoka Idi Amin, Adolf Hitler, Jiwe,Pinochet, na kenge wengine, sembuse huyu kilaza
 
CHADEMA wamekomaa hawataki mazungumzo wao wanasema wamechoka turaona kama tutavuka salama salimini baada ya keshi sptemba 23
 
Kwa nini hukufikiria maongezi ya hicho kikao yalinaswa kwa vyombo vya udukuzi(bugging)??
 
Wazeni nje ya box, vikao vya chadema viwe live kwenye mitandao yote, YouTube, TikTok, Facebook, Instagram


Pia watu watoe maoni live kwenye comments mitandaoni,hapo intelijensia inakuwa haina kazi
Kuna vikao vya siri hivyo ndio serikali wanaviogopa
 
Kwa nini hukufikiria maongezi ya hicho kikao yalinaswa kwa vyombo vya udukuzi(bugging)??
Yote hayo yanawezekana serikali ina mbinu nyingi wanaweza hata kutumia wadukizi kunasa habari za wapinzani wao
 
Pale msibani alipozomewa masauni hakuna aliyepanga iwe hivyo, ni watu tu wana hasira na serikali ya ssh. ajikite kwenye utawala bora, adui yake sio chadema.
Kweli kabisa yeye angejika huko kama awali alipoingia madaraka na 4R alifanya vizuri mpaka nchi za magharibi na jumuiya za kimataifa zikampongeza nchi ya Tanzania ikaanza kurudi kwenye diplomasia yake ya zamani
 
Wanasiasa wa pinzani Nchi zetu hizi za dunia ya 3 wanapitia magumu sana time will tell
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…