Kauli ya Rais Samia kwa wananchi akiwa Kariakoo kwamba "Serikali inawabeba" ina ukakasi

Kauli ya Rais Samia kwa wananchi akiwa Kariakoo kwamba "Serikali inawabeba" ina ukakasi

Idea ya Jiwe ya vitambulisho vya machinga ni bomu lililokuwa linasubiri kulipuka.Sio kwa utararibu huo,watu wanaacha kazi za maana kama kilimo,uvuvi,ufugaji n.k huko vijijini kwao,wanakuja kuwa machinga ,kuuza bidhaa toka China.Huko vijijini wameachwa wazee ndio wanaendeleza kilimo.Nguvu kazi yote inazurura mjini.Ilikuwa ni suala la muda uchumi unaotegemea kilimo kwa asilimia zaidi ya 70 ,ungeanguka!
Jiwe alitakiwa kutoa ruzuku kwa wakulima vijijini ,hata kwa kupunguza bei ya mbolea,mbegu na pembjeo kwa ujumla wake.ili kuwavuta kufanya kazi zenye tija huko vijijini badala ya kuzurura kutwa-kuchwa na biashara ambazo hazieleweki!
 
Idea ya Jiwe ya vitambulisho vya machinga ni bomu lililokuwa linasubiri kulipuka.Sio kwa utararibu huo,watu wanaacha kazi za maana kama kilimo,uvuvi,ufugaji n.k huko vijijini kwao,wanakuja kuwa machinga ,kuuza bidhaa toka China.Huko vijijini wameachwa wazee ndio wanaendeleza kilimo.Nguvu kazi yote inazurura mjini.Ilikuwa ni suala la muda uchumi unaotegemea kilimo kwa asilimia zaidi ya 70 ,ungeanguka!
Jiwe alitakiwa kutoa ruzuku kwa wakulima vijijini ,hata kwa kupunguza bei ya mbolea,mbegu na pembjeo kwa ujumla wake.ili kuwavuta kufanya kazi zenye tija huko vijijini badala ya kuzurura kutwa-kuchwa na biashara ambazo hazieleweki!
Hizo kazi wewe unaziona ni za maana? Yaani akalime nini? migomba? akavue nini? Nzi? Usiwaone wote wanaokimbilia mijini kama wajinga!
 
Hizo kazi wewe unaziona ni za maana? Yaani akalime nini? migomba? akavue nini? Nzi? Usiwaone wote wanaokimbilia mijini kama wajinga!
Wanakimbia sababu hawakuwekewa mazingira rafiki ya kuishi huko.Watoe ruzuku kwa wakulima kama watakimbilia mijini!
 
Wanaoibeba serikali ni Walipa kodi.

Machinga wanapigania mlo wa siku tu.
Unajidanganya sana Mkuu, wako nachinga wana kipato kikubwa kushinda watu wa ofisini wenye mshahara wa 2m , jambo usilo lijua likalie kimya
 
Idea ya Jiwe ya vitambulisho vya machinga ni bomu lililokuwa linasubiri kulipuka.Sio kwa utararibu huo,watu wanaacha kazi za maana kama kilimo,uvuvi,ufugaji n.k huko vijijini kwao,wanakuja kuwa machinga ,kuuza bidhaa toka China.Huko vijijini wameachwa wazee ndio wanaendeleza kilimo.Nguvu kazi yote inazurura mjini.Ilikuwa ni suala la muda uchumi unaotegemea kilimo kwa asilimia zaidi ya 70 ,ungeanguka!
Jiwe alitakiwa kutoa ruzuku kwa wakulima vijijini ,hata kwa kupunguza bei ya mbolea,mbegu na pembjeo kwa ujumla wake.ili kuwavuta kufanya kazi zenye tija huko vijijini badala ya kuzurura kutwa-kuchwa na biashara ambazo hazieleweki!
Matajir wa JF bana,, afu waeza kuta MTU kama huyu bado anaishi nyumbani kwa wazazi au kwa shemeji.


Kaa huko kijijini ulime wewe
 
Unajidanganya sana Mkuu, wako nachinga wana kipato kikubwa kushinda watu wa ofisini wenye mshahara wa 2m , jambo usilo lijua likalie kimya
Basi hao ni wakwepa kodi wakubwa. Walipe kodi stahiki
 
Back
Top Bottom