Kauli ya RC Chalamila ''Mtu akifia Polisi wanasema polisi kaua, lakini ikiwa ni hospitali ni mipango ya Mungu'' siyo ya kiungwana

Kauli ya RC Chalamila ''Mtu akifia Polisi wanasema polisi kaua, lakini ikiwa ni hospitali ni mipango ya Mungu'' siyo ya kiungwana

Bado hujamaliza kusema! Kabla ya kuteuliwa na Jiwe kuwa RC, eti alikuwa Assistant Lecturer kwenye chuo kimoja kikuu pale Iringa mjini! [emoji16]

Enzi hizo alikuwa ni mrugaruga tu anayeimba nyimbo za kabila lake la Kihehe na kupigwa kwenye redio yao maarufu hapo Iringa ya Ebony Fm!! Halafu leo hii eti anapewa mamlaka ya kuwa RC wa Jiji la wajanja kama Dar!! [emoji16]


Ujanja wa watu wa Jiji la dar ni kufungulia chemba za Choo mvua zikinyesha?

Au ujanja wao ni kupita madirishani kwenye daladala hata Kama halijajaa na mlango uko wazi?

Au ujanja wao ni kuokota makopo matupu ya maji na juice Kama ajira rasmi kwao?
 
Ujanja wa watu wa Jiji la dar ni kufungulia chemba za Choo mvua zikinyesha?

Au ujanja wao ni kupita madirishani kwenye daladala hata Kama halijajaa na mlango uko wazi?

Au ujanja wao ni kuokota makopo matupu ya maji na juice Kama ajira rasmi kwao?
Bila shaka na wewe utakuwa ndiyo wale wale.
 
Akiongea wakati wa kukabidhi magari manne ya wagonjwa kwenye hafla iliyofanyika Hospitali ya Rufaa ya Amana wakati wa hafla ya kukabidhi Chalamila amesema "Hii sekata ina Umungu ndani yake, leo nikifa mikononi mwa Polisi watu watasema Polisi wameuwa, lakini Hospitali wanasema ni mipango ya Mungu"

Chalamila amesema kutokana na umuhimu wa sekta ya afya kuwa ya kipekee mtu hata akifa Hospitalini ndugu sio rahisi kwenda mahakamani kulalamika tofauti na mtu anaefia mikononi mwa Jeshi la Polisi watu uenda Mahakamani.


Hiyu madako huwa anaropoka tu
 
Alafu kweli yaani sie watz na haka kamsemo ka mipango ya mungu kana kera kweli....sasa mungu toka lini akawa na mipango ya mtu afe? Rc yupo riight tuache huu ujinga wa mipango ya mungu....u afanya watu tuache kifikiri na kutatua changamoto mbali mbali.
 
Back
Top Bottom