Kauli ya RC Chalamila ''Mtu akifia Polisi wanasema polisi kaua, lakini ikiwa ni hospitali ni mipango ya Mungu'' siyo ya kiungwana



Ujanja wa watu wa Jiji la dar ni kufungulia chemba za Choo mvua zikinyesha?

Au ujanja wao ni kupita madirishani kwenye daladala hata Kama halijajaa na mlango uko wazi?

Au ujanja wao ni kuokota makopo matupu ya maji na juice Kama ajira rasmi kwao?
 
Ujanja wa watu wa Jiji la dar ni kufungulia chemba za Choo mvua zikinyesha?

Au ujanja wao ni kupita madirishani kwenye daladala hata Kama halijajaa na mlango uko wazi?

Au ujanja wao ni kuokota makopo matupu ya maji na juice Kama ajira rasmi kwao?
Bila shaka na wewe utakuwa ndiyo wale wale.
 
Hiyu madako huwa anaropoka tu
 
Alafu kweli yaani sie watz na haka kamsemo ka mipango ya mungu kana kera kweli....sasa mungu toka lini akawa na mipango ya mtu afe? Rc yupo riight tuache huu ujinga wa mipango ya mungu....u afanya watu tuache kifikiri na kutatua changamoto mbali mbali.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…